Ushauri wenu kwenye hili ndugu zangu

Ushauri wenu kwenye hili ndugu zangu

Simple tu, chukua mil 20 nunua nyumba, chukua mil 1 oa mtumishi, mil 15 ingiza kwenye biashara. Uwezo wa kusave pesa unao nakushauri kafanye biashara ya wakala NMB, CRDB, MPESA nk.

Kumbuka kama umeweza kusave mil 40 hiyo biashara itakulipa sana na utaweza kuendesha familia
 
Sasa anapokuwa "Asifanye biashara" hiyo experience ya biashara ataipata wapi??

Na Kazi ya nini ikiwa ana mtaji wa kuingia mtaani?

Mbona sisi tuliokwenye ajira tunawaonea wivu walio na biashara?

#YNWA
Yeye bado ana nafasi ya kupata ajira na tena ndio cv yake imeanza kujengeka kwanini aache career yake wakati ndio imeanza kunawiri? Onaona anasema amefanya kazi miaka 2 tu na ameweka kibindoni 40M na ni kazi ya kujishikisha tu, je akipata kazi yenyewe kuweka 50M kila mwaka itakuwa kawaida kwake.
 
Yeye bado ana nafasi ya kupata ajira na tena ndio cv yake imeanza kujengeka kwanini aache career yake wakati ndio imeanza kunawiri? Onaona anasema amefanya kazi miaka 2 tu na ameweka kibindoni 40M na ni kazi ya kujishikisha tu, je akipata kazi yenyewe kuweka 50M kila mwaka itakuwa kawaida kwake.

Mnaroho za uoga za kupenda ajira kuliko kujiajiri.
Tujiajiri kwa Sana bana ili kutengeneza ajira nyingi.

#YNWA
 
Sio woga ni uangalifu na priory setting. Hakuna anayependa kujiajiri kama mimi ila kuna wakati lazima uajiriwe halafu uachane na ajira.
Mnaroho za uoga za kupenda ajira kuliko kujiajiri.
Tujiajiri kwa Sana bana ili kutengeneza ajira nyingi.

#YNWA
oga
 
Mimi ni kijana nimemaliza chuo kikuu miaka kadhaa imepita sasa, Umri wangu ni miaka 31 (sina mke wala mtoto), baada ya kuangaika sana kutafuta ajira mpaka kufikia kukata tamaa atimaye Mungu wa mbinguni, muumba mbingu na nchi akaniona na kunipatia kisehemu kidogo cha kujishikiza (project flani hivi),

Tangu nianze kufanya kazi nina miaka 3 sasa, na kila pesa niliokuwa napata nilikuwa najitahidi kadri ya uwezo wangu ku-save kadri niwezavyo maana nilikuwa nikifikilia kipindi sina ajira nimepitia kwenye moto mkali sana wa mawazo na kukosa pesa ata ya kupeleka CV sehemu.

Kwa sasa bado nipo kwenye ajira hii (project) na hii project inaelekea kuisha ndani ya miezi minne kutoka ivi sasa, na nimejaribu kutuma sana CV kuomba sehemu mbalimbali ila sijapata mrejesho wowote tangu mwaka jana, na kwenye hii project mpaka sasa nime-bahatika ku-save jumla ya kiasi cha shillingi milion 40.

Sijawahi kufanya biashara popote pale katika maisha yangu, na katika kazi zangu izi katika hii kampuni zinabana sana muda wangu kufanya kazi zingine binafsi.

Natamani sana nipate kazi sehemu nyingine baada ya hii kuisha, ila ndio ivyo nimejaribu sana kutuma CV mpaka sasa sijapata ata interview moja ya kuitwa,

Natamani pia labda ningeanzisha biashara ila sijawai kufanya biashara yoyote,

Kuna muda nawaza basi ngoja nitumie hii pesa kujenga tu nyumba maana sina nyumba, (ila kiwanja ninacho tayari),

Kuna muda nawaza sijui niitumie hii pesa kununua nyumba badala ya kujenga.

Nipo kwenye msongo wa mawazo sana, msaada wenu wa ushauri ndugu zangu wana JmaiiForum
Ushauri wangu kwako jenga nyumba! Chukua m30, jenga nyumba weka wapangaji halafu m10, fanya biashara unayoona inafaa. Naamini ukijenga nyumba kwaajili ya buashara huwezi kosa laki tano kila mwezi kutokana na mapato ya hiyo nyumba
 
Mimi ni kijana nimemaliza chuo kikuu miaka kadhaa imepita sasa, Umri wangu ni miaka 31 (sina mke wala mtoto), baada ya kuangaika sana kutafuta ajira mpaka kufikia kukata tamaa atimaye Mungu wa mbinguni, muumba mbingu na nchi akaniona na kunipatia kisehemu kidogo cha kujishikiza (project flani hivi),

Tangu nianze kufanya kazi nina miaka 3 sasa, na kila pesa niliokuwa napata nilikuwa najitahidi kadri ya uwezo wangu ku-save kadri niwezavyo maana nilikuwa nikifikilia kipindi sina ajira nimepitia kwenye moto mkali sana wa mawazo na kukosa pesa ata ya kupeleka CV sehemu.

Kwa sasa bado nipo kwenye ajira hii (project) na hii project inaelekea kuisha ndani ya miezi minne kutoka ivi sasa, na nimejaribu kutuma sana CV kuomba sehemu mbalimbali ila sijapata mrejesho wowote tangu mwaka jana, na kwenye hii project mpaka sasa nime-bahatika ku-save jumla ya kiasi cha shillingi milion 40.

Sijawahi kufanya biashara popote pale katika maisha yangu, na katika kazi zangu izi katika hii kampuni zinabana sana muda wangu kufanya kazi zingine binafsi.

Natamani sana nipate kazi sehemu nyingine baada ya hii kuisha, ila ndio ivyo nimejaribu sana kutuma CV mpaka sasa sijapata ata interview moja ya kuitwa,

Natamani pia labda ningeanzisha biashara ila sijawai kufanya biashara yoyote,

Kuna muda nawaza basi ngoja nitumie hii pesa kujenga tu nyumba maana sina nyumba, (ila kiwanja ninacho tayari),

Kuna muda nawaza sijui niitumie hii pesa kununua nyumba badala ya kujenga.

Nipo kwenye msongo wa mawazo sana, msaada wenu wa ushauri ndugu zangu wana JmaiiForum

40m ni mtaji mkubwa sana. Nunua shamba uanzishe integrated farming. Fuga mbuzi kwa wingi na ng’ombe kidogo wa maziw au nyama. Kwenye hilo wekeza 20m tu, nyingine 20 tafuta biashara yenye kuleta return in short term ili uwe na mzunguko endelevu usije ukapagawa kwa ukata wakati unasubiri mifugo.
 

Attachments

  • IMG_2710.jpg
    IMG_2710.jpg
    2.3 MB · Views: 5
Mimi ni kijana nimemaliza chuo kikuu miaka kadhaa imepita sasa, Umri wangu ni miaka 31 (sina mke wala mtoto), baada ya kuangaika sana kutafuta ajira mpaka kufikia kukata tamaa atimaye Mungu wa mbinguni, muumba mbingu na nchi akaniona na kunipatia kisehemu kidogo cha kujishikiza (project flani hivi),

Tangu nianze kufanya kazi nina miaka 3 sasa, na kila pesa niliokuwa napata nilikuwa najitahidi kadri ya uwezo wangu ku-save kadri niwezavyo maana nilikuwa nikifikilia kipindi sina ajira nimepitia kwenye moto mkali sana wa mawazo na kukosa pesa ata ya kupeleka CV sehemu.

Kwa sasa bado nipo kwenye ajira hii (project) na hii project inaelekea kuisha ndani ya miezi minne kutoka ivi sasa, na nimejaribu kutuma sana CV kuomba sehemu mbalimbali ila sijapata mrejesho wowote tangu mwaka jana, na kwenye hii project mpaka sasa nime-bahatika ku-save jumla ya kiasi cha shillingi milion 40.

Sijawahi kufanya biashara popote pale katika maisha yangu, na katika kazi zangu izi katika hii kampuni zinabana sana muda wangu kufanya kazi zingine binafsi.

Natamani sana nipate kazi sehemu nyingine baada ya hii kuisha, ila ndio ivyo nimejaribu sana kutuma CV mpaka sasa sijapata ata interview moja ya kuitwa,

Natamani pia labda ningeanzisha biashara ila sijawai kufanya biashara yoyote,

Kuna muda nawaza basi ngoja nitumie hii pesa kujenga tu nyumba maana sina nyumba, (ila kiwanja ninacho tayari),

Kuna muda nawaza sijui niitumie hii pesa kununua nyumba badala ya kujenga.

Nipo kwenye msongo wa mawazo sana, msaada wenu wa ushauri ndugu zangu wana JmaiiForum
Kijana, miaka 31 no mke Wala watoto , umemaliza chuo miaka kadhaa imepita Sasa, afu miaka mitatu ya kazi😁 Sasa hapo tuelewaje tujumlishe na ile 31 au tutoe miaka mitatu kwenye 31
 
Kijana, miaka 31 no mke Wala watoto , umemaliza chuo miaka kadhaa imepita Sasa, afu miaka mitatu ya kazi😁 Sasa hapo tuelewaje tujumlishe na ile 31 au tutoe miaka mitatu kwenye 31

Unamtaka aoe ili achunwe hizo mil 40 fasta...

#YNWA
 
Mimi ni kijana nimemaliza chuo kikuu miaka kadhaa imepita sasa, Umri wangu ni miaka 31 (sina mke wala mtoto), baada ya kuangaika sana kutafuta ajira mpaka kufikia kukata tamaa atimaye Mungu wa mbinguni, muumba mbingu na nchi akaniona na kunipatia kisehemu kidogo cha kujishikiza (project flani hivi),

Tangu nianze kufanya kazi nina miaka 3 sasa, na kila pesa niliokuwa napata nilikuwa najitahidi kadri ya uwezo wangu ku-save kadri niwezavyo maana nilikuwa nikifikilia kipindi sina ajira nimepitia kwenye moto mkali sana wa mawazo na kukosa pesa ata ya kupeleka CV sehemu.

Kwa sasa bado nipo kwenye ajira hii (project) na hii project inaelekea kuisha ndani ya miezi minne kutoka ivi sasa, na nimejaribu kutuma sana CV kuomba sehemu mbalimbali ila sijapata mrejesho wowote tangu mwaka jana, na kwenye hii project mpaka sasa nime-bahatika ku-save jumla ya kiasi cha shillingi milion 40.

Sijawahi kufanya biashara popote pale katika maisha yangu, na katika kazi zangu izi katika hii kampuni zinabana sana muda wangu kufanya kazi zingine binafsi.

Natamani sana nipate kazi sehemu nyingine baada ya hii kuisha, ila ndio ivyo nimejaribu sana kutuma CV mpaka sasa sijapata ata interview moja ya kuitwa,

Natamani pia labda ningeanzisha biashara ila sijawai kufanya biashara yoyote,

Kuna muda nawaza basi ngoja nitumie hii pesa kujenga tu nyumba maana sina nyumba, (ila kiwanja ninacho tayari),

Kuna muda nawaza sijui niitumie hii pesa kununua nyumba badala ya kujenga.

Nipo kwenye msongo wa mawazo sana, msaada wenu wa ushauri ndugu zangu wana JmaiiForum
Jiunge na utt amis mfuko wa liquid fund ukiwa unasubiri cha kufanya kila mwezi faida hapo itakuwa 390000 hadi 400000
 
Simple tu, chukua mil 20 nunua nyumba, chukua mil 1 oa mtumishi, mil 15 ingiza kwenye biashara. Uwezo wa kusave pesa unao nakushauri kafanye biashara ya wakala NMB, CRDB, MPESA nk.

Kumbuka kama umeweza kusave mil 40 hiyo biashara itakulipa sana na utaweza kuendesha familia
Nimepokea mawazo yako, nashukuru.
 
40m ni mtaji mkubwa sana. Nunua shamba uanzishe integrated farming. Fuga mbuzi kwa wingi na ng’ombe kidogo wa maziw au nyama. Kwenye hilo wekeza 20m tu, nyingine 20 tafuta biashara yenye kuleta return in short term ili uwe na mzunguko endelevu usije ukapagawa kwa ukata wakati unasubiri mifugo.
Nimepokea mawazo yako, nashukuru.
 
Ushauri wangu kwako jenga nyumba! Chukua m30, jenga nyumba weka wapangaji halafu m10, fanya biashara unayoona inafaa. Naamini ukijenga nyumba kwaajili ya buashara huwezi kosa laki tano kila mwezi kutokana na mapato ya hiyo nyumba
Nimepokea mawazo yako, nashukuru.
 
Simple tu, chukua mil 20 nunua nyumba, chukua mil 1 oa mtumishi, mil 15 ingiza kwenye biashara. Uwezo wa kusave pesa unao nakushauri kafanye biashara ya wakala NMB, CRDB, MPESA nk.

Kumbuka kama umeweza kusave mil 40 hiyo biashara itakulipa sana na utaweza kuendesha familia
Nimepokea mawazo yako, nashukuru.
 
Back
Top Bottom