Ushauri: Wilaya za Kibaha na Bagamoyo zihamishiwe Dar es Salaam, Mbagala na Kigamboni zipelekwe mkoa wa Pwani

Ushauri: Wilaya za Kibaha na Bagamoyo zihamishiwe Dar es Salaam, Mbagala na Kigamboni zipelekwe mkoa wa Pwani

Unafanya nisijue tunacho bishania ila naheshimu hoja zako.

Wilaya ya kilwa Ina watu 190,000 peke, pamoja na ukubwa wote ilionao hivyo kuiunganisha na mkuranga Bado hujatatua.

Dar Es Salaam Ina wakazi Milioni sita mpaka Saba hivi yaani Ina zaidi ya asilimia kumi ya idadi ya watu Tanzania nzima.

Mbagala ndio Jimbo linaloongoza kwa idadi ya watu Dar es Salaam yote ikifuatiwa na Jimbo la ukonga
Chamazi ndio kata inayoongoza kwa idadi kubwa ya watu kuliko kata yoyote iliyokuwa ndani ya mkoa wa Dar es salaam ikifuatiwa na kata ya Msongola ilala

Mbagala ukiitoa nje ya Dar es Salaam inajisimamia yenye na kuwa na Mamlaka ya jiji kwa vigezo vyetu.

Inasadikika Mbagala Ina zaidi ya wakazi Milioni Mbili na zaidi

Lakini Kigamboni na gongo la mboto au Mkuranga inaweza kuipita Mbagala kwa sababu Mbagala imeshajaa labda iongozewe maeneo kutoka mkuranga kama watu wanavyo taka Yale Yale ya kutaka maeneo yaliyoendelea kutoka mkuranga yaletwe dar es salaam

Napendekeza Lile Lile kuanzishwe Metropolis ndio dawa
Hapo sawa mkuu tumeelewana
 
Kwahiyo mtu akitoka Mbagala au Kigamboni ambako utakua ni mkoa wa pwani na anata kwenda Chalinze kwenye mkoa wake huo huo bado itamlazimu kupitia mkoani Dar, right?? Then unakua umefanya nini? Mi kwa mtazamo wangu, mkoa wote wa pwani hasa wilaya za Bagamoyo, Kibaha, Chalinze zingeingia Dar tu, baadhi ya maeneo ya Kilwa yapelekwe Lindi au laa na yenyewe yaje Dar tu
Kilwahaipo mkoa wa pwani.
 
Kipindi nakua mji ulikuwa mwisho ubungo, pale lilipo jengo la Tanesco ndio ulikuwa mzani wa kupima malori ambao sasa uko mkoa wa Pwani, Dar inakuwa kuelekea kaskazini,npaka wa Dar na kibaha unafutika, mpaka wa Dar, Bagamoyo unafutika kwa kasi sababu ya ujenzi unaokuwa kwa kasi ya ajabu.

Jiografia ya mkoa wa Pwani inashangaza sana, mtu wa Bagamoyo akitaka kwenda Rufijii au mafia lazima apitie Dar au apande chombo cha baharini. Ushauri wangu

Hizi wilaya mbili Kibaha na Bagamoyo zije Dar, ili kubalance mapato na uchumi wa mkoa wa Pwani Kigamboni na Mbagala yote iende Pwani,waungane na Mkuranga,Kisarawe, Mafia Kibiti na Rufiji.

Faida zake:

Jiji la Dar eS Salaam litapumua kwa kupata ardhi ya kutosha na kukua kwa kasi ya ajabu kibaha itakuwa kama urusi kwa technology na viwanda na Bagamoyo zitakuwa kama ukraine kwa utalii, pata picha chalinze iwe ni sehemu ya Dar es Salaam.

Tuje Pwani sasa.

Pwani kwa kupewa Kigamboni na Mbagala itachangamka sana, tatizo la Pwani ni kukosa amsha amsha. Mbagala itakuwa Dubai mpya kwa biashara mpaka sasa Mbagala inazidi baadhi ya mikoa kwa idadi ya watu na amsha amsha ya kibiashara njoo Mbagala kuanzia saa kumi jioni mpaka saa nne usiku hutaamini macho yako kila aina ya biashara utaikuta .pata picha Mbagala iko Pwani na na sehemu ya Kigamboni itakuwa Paris au Spain sehemu za kula bata kwenye fukwe.

Bandari ibaki Dar.Wakazi wengi wa Mbagala wana asili ya Pwani au Kusini mwa Tanzania, watafurahi kurudi nyumbani kwa style nyingine.
Chawa wa mama mfikishieni hii
Kwani mbagala ni wilaya?
 
Unafanya nisijue tunacho bishania ila naheshimu hoja zako.

Wilaya ya kilwa Ina watu 190,000 peke, pamoja na ukubwa wote ilionao hivyo kuiunganisha na mkuranga Bado hujatatua.

Dar Es Salaam Ina wakazi Milioni sita mpaka Saba hivi yaani Ina zaidi ya asilimia kumi ya idadi ya watu Tanzania nzima.

Mbagala ndio Jimbo linaloongoza kwa idadi ya watu Dar es Salaam yote ikifuatiwa na Jimbo la ukonga
Chamazi ndio kata inayoongoza kwa idadi kubwa ya watu kuliko kata yoyote iliyokuwa ndani ya mkoa wa Dar es salaam ikifuatiwa na kata ya Msongola ilala

Mbagala ukiitoa nje ya Dar es Salaam inajisimamia yenye na kuwa na Mamlaka ya jiji kwa vigezo vyetu.

Inasadikika Mbagala Ina zaidi ya wakazi Milioni Mbili na zaidi

Lakini Kigamboni na gongo la mboto au Mkuranga inaweza kuipita Mbagala kwa sababu Mbagala imeshajaa labda iongozewe maeneo kutoka mkuranga kama watu wanavyo taka Yale Yale ya kutaka maeneo yaliyoendelea kutoka mkuranga yaletwe dar es salaam

Napendekeza Lile Lile kuanzishwe Metropolis ndio dawa
Kikubwa ni Serikali kuhakikisha wilaya zinazounguka mkoa wa DSM zinakuwa na huduma zote muhimu hakuna watu wataokimbilia Dar kama sasa
 
Kikubwa ni Serikali kuhakikisha wilaya zinazounguka mkoa wa DSM zinakuwa na huduma zote muhimu hakuna watu wataokimbilia Dar kama sasa
we ulipotoka mkoani kulikua hakuna maji,umeme au huduma???

Kinachowaleta wafu dar si huduma za serikali bali ni fursa za ajira,biashara na mambo ya kipato!! Hakuna kitu kinachohamisha watu kama hiki
 
Nashauri bagamoyo na kibahana kisarawe ziletwe dar

Kigamboni na mbagala zibaki dar

Mkoa wa wa pwani ubaki na rufiji, kibiti, mafia na wamege part of lindi
 
Kibaha na bagamoyo zitabikia zilipo

Na hata Mhe SSH alipo kwenda Mkuranga last time wana mkuranga wenyewe wali propose ilo na waliambiwa wajiandaae kimipango then likipatikana fungu basi watafikiriwa

Which is true, unakuta mtu anakaa mkuranga anataka kuja ofisi ya mkoa anasafiri mpaka Dsm then akamate mwendokasi mpaka kimara then mwendokasi tena wa kuja kibaha
Kumbe shida ni barabara, ijengwe ring road ya kuunganisha Bagamoyo-kibaha-kisarawe-mkuranga bila kupita jijini Dar
 
Hili suala nimekua nikiling'amua pia.
Dar es salaam needs expansion kama si sasa basi huko mbele itahitajika hivyo.

Psychologiacally people are uncomfortable to live outside dar es salaam's boundaries

Hivyo kwa maana ya kukuza uchumi wa mji ni lazima tuepuke retention of population humo jijini kwa kuliongezea mipaka ya kijiografia.

View attachment 2132029

Kuna faida kadhaa kufanya hivyo kuliko kubaki hivyo lilivyo
Kibaha, bagamoyo namkuranga zipewe hadhi ya manispaa, ila zibakie mkoa wa pwani na kuwe na ring road ya kuunganisha manispaa hizo bila ya kupita katikati ya Dar
 
Wewe ndio ufikirie mkuu, people's wants services delivers sio ukubwa wa eneo!Zambia wana mikoa isiyozidi 15,Botswana sio zaidi ya 12 na SA ambayo ni kubwa kuliko yetu Ina mikoa 9tu(na wanataka kuipunguza)maendeleo sio utitiri wa wilaya au mikoa, middle class wewe Lina utarudi and smell roses on the ground?
Zambia ina idadi ya watu nusu ya Tanzania
 
Dar ibaki kuwa wilaya yenye hadhi ya jiji
Na wilaya za Dar?? Ambazo kila moja in a idadi ya watu kuliko wilaya karibu zote tz unazungumziaje, Ilala tu na Kinondoni kila moja ina watu zaidi ya milioni mbili sasa
 
Hawakatazwi ila niswala tu ka kisaikolojia kuna mdau kadema hapo juu mtu yuko radhi aishi chanika ila sio vizuri mkuranga na umbali ni ule ule,waafrika wengi hatujazoea kuishi mj A na kufanya kazi mji B tofauti na wenzetu huko wenye miundo mbinu bora,ngoja tusubiri treni ya umeme labda tutakuwa tunalala morogoro asubuhi kazi kariakoo
Ishu ni kuwa mkuranga sio manispaa, wakazi wa mkuranga hawana baraza la peke yao kujadili maendeleo ya mkuranga wao wanakaa pamoja na vijiji vya pwani wilayani kwao, kinachotakiwa ni mkuranga, kibaha na kisarawe na Bagamoyo kupewa hadhi ya manispaa kila moja, halafu kuwe na ring road ya kuunganisha manispaa hizo nne za pwani
 
Huo u ded na udc kumbuka ni ajira za watu pia
With all my respect kwako, kujibia hii hoja kwa kiwango hiki iam afraid kuwa safari ya generation yako ni ndefu sana,serikali sio wajibu wake to creat employment, wajibu wake ni kufungua fursa ili watu wajiajiri na private sector itengeneze ajira
 
Zambia ina idadi ya watu nusu ya Tanzania
Why mnazaana kama simbilisi?,why uzae mitoto mingi wakati huna uwezo wa kuwatunza?,middle class wa Botswana wapo very educated, they're making a lot of sex ILA hawazai!,itawachukua miaka 30 kufikia idadi ya wakazi wa Dar pekee!,Tswanas &others wapo less than 3M,nchi ya kufikirika wanakimbilia 70M, umasikini mtupu
 
the stoe w
Kimsingi dsm ibaki kama ilivyo..ila ardh yote irudi serikalini na wakazi wadsm wahamishwe serikali ijenge magorofa appartments za kutosha kisha warususiwe kuja kupangisha tu..hakuna kuruhusu mtu kujenge kama unataka kujenge nenda kajenge pwani huko.

#MaendeleoHaya
the stone whichhhhh,the stone which the builder built the house,,,,,,rEJECTEDDDDDDD,REJECTED,REJECTED REJECTED
 
Mimi ningekua na uwezo ningehamisha mkoa mzima wa pwani na morogoro na kuuleta Dar ili kutengeneza mkoa mmoja, service delivery ingekua ndio msingi sio utitiri wa hii kitu,nchi nzima mikoa 12 tu.
Mungu wangu.......


Morogoro hii hii ambayo ukiigawa zinatoka dar es salaam Tano au saba????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom