Ushauri Wizara ya Elimu: Nyadhifa zitolewe kwa kuzingatia Kiwango cha Elimu, kipaumbele kikiwa kwenye elimu ya juu zaidi

Ushauri Wizara ya Elimu: Nyadhifa zitolewe kwa kuzingatia Kiwango cha Elimu, kipaumbele kikiwa kwenye elimu ya juu zaidi

Kwa miaka ya sasa ni rahisi sana kuona mwalimu ana Masters/PhD lakini yupo tu anafundisha huko shuleni, ila mabosi wake wote wana Shahada.
Unamaanisha nn unaposema mwalimu ana masters/PhD Ila mabosi zake wana shahada?

Kwani hizo masters/PhD siyo shahada? Au hujui maana ya shahada?

Sasa kama kitu kidogo tu kama hiki hujui, unajua nn Sasa? Wewe una makaratasi tu yanayokutambulisha kuwa una masters/PhD lkn kichwani wewe ni chekechea.
 
Unamaanisha nn unaposema mwalimu ana masters/PhD Ila mabosi zake wana shahada?

Kwani hizo masters/PhD siyo shahada? Au hujui maana ya shahada?

Sasa kama kitu kidogo tu kama hiki hujui, unajua nn Sasa? Wewe una makaratasi tu yanayokutambulisha kuwa una masters/PhD lkn kichwani wewe ni chekechea.
Shahada maana yake maua
 
Ngumi ya gizani imefanya kazi. Pole msomi.

Umeandika mwenyewe, mimi ningejuaje kama ni wewe?

Halafu una tabia za kike, seems to be a woman.

Umejaa umbea kisa umekosa madaraka.

Kwa taarifa yako huyo mwenye elimu ndogo amefanyiwa vetting na kuonekana anafaa kuliko wewe mwenye masters ya umbea.

Unathubutuje kuyasema viongozi wenye elimu ndogo hufanya figisi kwa wenye elimu kubwa?



Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Ni maoni yake,jifunze kuheshimu maoni ya mtu. Hebu mkosoe Kwa hoja leta maoni yako bila matusi
 
Mimi naona anahoja nzuri kama mtumishi amejiendeleza na anataka kuondoka kwenda kutumia kile alichosomea ni vema akaruhusiwa bila mizengwe, HATA HIVYO TUSISOME KWAAJILI YA KUTAFUTA VYEO . Iwe ni kwaajili ya kuboresha na kuimalisha taaluma zetu.Cheo kije bila kukitfuta lakini ukikosa isiwe nongwa. na umuheshimu aliyepo.
 
Ngumi ya gizani imefanya kazi. Pole msomi.

Umeandika mwenyewe, mimi ningejuaje kama ni wewe?

Halafu una tabia za kike, seems to be a woman.

Umejaa umbea kisa umekosa madaraka.

Kwa taarifa yako huyo mwenye elimu ndogo amefanyiwa vetting na kuonekana anafaa kuliko wewe mwenye masters ya umbea.

Unathubutuje kuyasema viongozi wenye elimu ndogo hufanya figisi kwa wenye elimu kubwa?



Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Inategemea na idara ila kama ni idara ya elimu hakuna kitu,,wengi huku chini wanapata madaraka wakiwa na uwezo mdogo ,,mfumo upo very corrupt mpaka chupi zinawapa watu madaraka,,,
Kama mtu unajitambua lazima tu utaingia mgogoro na watawala kisa tu wanapenda kutumia nguvu nyingi kuliko maarifa,,

Kuna mwaka nilikuwa naomba uhamisho niliingia mgogoro na
,afisa elimu,,afisa utumishi mpaka mkurugenzi,,lakini kwa vile nilikuwa najiamini nilienda nao mpaka nikahama,,

Yaani watu wananyanyasika mno kutokana na viongozi wasiokuwa na weledi.
N.B watumishi tujitahidi kujisomea sheria za utumishi,,standing order na kanuni mbalimbali zinaweza zikatusaidia,,mimi kilichonisaidia ni ufahmu mdogo wa vikanuni ikawa kila nikienda kufuatilia barua narefer kwenye vikanuni ,,,walinijengea uhasama ila mwisho wa siku nikaondoka.

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
We Kama wataka cheo kaloge tu
Manake yale maziro ndo yanapewa kwa vyupi na kujikombakomba
Au hamia kwenye mashirika wanakothamini elimu,uwezo na weledi
Hao walimu hata fomufoo felia anaweza kuamrisha na elimu yako kisa anampa uvungu DED 🤣🤣
 
Mshikaji alienda kusoma apewe madaraka. Imekula kwake ameamua kulalamika.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Ukitaka uishe kwa stress basi kasome utegemee utapata madaraka,,ni bora hiyo hela uifanyie uwekezaji mwingine,,
madaraka huku chini ni rushwa na kujikombakomba,,uwe na uwezo wa kukubali kila kitu unachoelekezwa na mkubwa wako,,
Cha msingi ni kutambua kuwa hatuwezi wote tukapata madaraka hivo ukihisi binafsi yako hakuna maisha nje ya madaraka basi yatafute tu utayapata iwe kwa njia halali ama isiyo halali..

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Inategemea na idara ila kama ni idara ya elimu hakuna kitu,,wengi huku chini wanapata madaraka wakiwa na uwezo mdogo ,,mfumo upo very corrupt mpaka chupi zinawapa watu madaraka,,,
Kama mtu unajitambua lazima tu utaingia mgogoro na watawala kisa tu wanapenda kutumia nguvu nyingi kuliko maarifa,,

Kuna mwaka nilikuwa naomba uhamisho niliingia mgogoro na
,afisa elimu,,afisa utumishi mpaka mkurugenzi,,lakini kwa vile nilikuwa najiamini nilienda nao mpaka nikahama,,

Yaani watu wananyanyasika mno kutokana na viongozi wasiokuwa na weledi.
N.B watumishi tujitahidi kujisomea sheria za utumishi,,standing order na kanuni mbalimbali zinaweza zikatusaidia,,mimi kilichonisaidia ni ufahmu mdogo wa vikanuni ikawa kila nikienda kufuatilia barua narefer kwenye vikanuni ,,,walinijengea uhasama ila mwisho wa siku nikaondoka.

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Hongera Sana kwa kufight
 
Inaonekana kinachoangaliwa ni uchawa siyo sifa ya elimu, wengine wanasema connection na labda ndumba zinatumika pia. Siyo kawaida mtu mwenye PhD kwenye taasisi kuwa chini ya watu wenye bachelor au hata masters kwa kisingizio cha vetting......ndo maana nchi hii maendeleo tutayasikia redioni.​
 
Back
Top Bottom