Vipi ww yanakuhusu nini, au una vielement vya umalaya Malaya kila ukiona nyuzi unakimbilia upo sawa kweli we pomolehuu ujinga wa kwenda kusoma ukiwa unapigia mahesabu vyeo ni ujinga. hiyo hela ya kusoma masters au PhD ungefuga mbuzi tuu mwalimu ungekuwa mbali sana. acha umbulula.
We mtoto huko shule unafanya nn au unakunywa uji tu unarudi pumbavu we!Huyu hana hoja. Kusoma sana sio kigezo cha kupata Cheo. Cheo kinazingatia weledi na umahiri wa kazi husika. Unaweza ukawa bookish lakini uwezo wa kuongoza watu au taasisi ukawa zero!
Au syo🤣Ni vizuri ila kuna wakati mwingine hao wenye elimu kubwa wanaweza kuwa na uwezo mdogo kiutendaji. Kwa nchi yetu ninavyoona kadri mtu anavyozidi kuwa na elimu kubwa ndivyo ufanisi wake kazini unapungua au anakuwa anafanya maamuzi ambayo hata mlioko chini mnashanga.
Sasa hayo yanatuhusu nini...unawaza mapenzi tu acha ujingaNina mchepuko huko Mkuranga ni mwalimu mkuu,yaani mpaka aibu naona mimi jinsi asivyo na uwezo wala uelewa wa nini anatakiwa kufanya kwenye kutimiza majukumu yake.
Na huyu ni wa diploma ya kujiendeleza.
Anavyopiga madongo wenzake wenye shahada moja ama mbili sasa, ni hatari tupu.
labda kama huna akili. kwenye utumishi wa umma kuna ngazi/vidato huwezi kutoka zako huko na PhD ya maandazi kutoka darasani mpka kuwa afisa elimu. acha ujinga.Vipi ww yanakuhusu nini, au una vielement vya umalaya Malaya kila ukiona nyuzi unakimbilia upo sawa kweli we pomole
Wewe kmmmk uyo jamaa mbona kaandika point?Ngumi ya gizani imefanya kazi. Pole msomi.
Umeandika mwenyewe, mimi ningejuaje kama ni wewe?
Halafu una tabia za kike, seems to be a woman.
Umejaa umbea kisa umekosa madaraka.
Kwa taarifa yako huyo mwenye elimu ndogo amefanyiwa vetting na kuonekana anafaa kuliko wewe mwenye masters ya umbea.
Unathubutuje kuyasema viongozi wenye elimu ndogo hufanya figisi kwa wenye elimu kubwa?
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Hii comment iingizwe kwenye mtaala mpya wa elimu.Mtu kuwa na elimu kubwa, inatafsiri wewe ni mtu wa kimataifa; ukishakuwa na hiyo elimu hutakiwi kufikiria mishahara wala posho; we fanya machapisho yenye tija kimataifa, utakuwa unaitwa kwenye presentation huko nje na kupiga hela.
Kusoma huku ukitegemea mshahara au vyeo; unakuwa na elimu ya karatasi lakini kichwani unakuwa hamna kitu.
Unatakiwa u- act kisomi; Dunia ikutambua wewe ni nani; tunategemea siku moja utaitwa pale Harvard au Oxford ukafanye 'presentation'.
Basi ndio maana industry ya elimu imejaa watu vilaza. Kama kuwa na maarifa makubwa sio kipaumbele hii sekta itaendelea kujaza wajinga kila leolabda kama huna akili. kwenye utumishi wa umma kuna ngazi/vidato huwezi kutoka zako huko na PhD ya maandazi kutoka darasani mpka kuwa afisa elimu. acha ujinga.
anza kuwa mwalimu wa darasa perform vizuri watu wakuone kwa utendaji kazi mzuri unaoendana na elimu yako hiyo, utapewa shule kuwa mkuu (kilicho bora hakijifichi)
baadaye afisa elimu kata, baadaye sasa unaweza kuwa afsa elimu taaluma
baadaye afisa elimu na kuendelea......huko juu
sasa wwe kenge umetoka zako chuo leo umebebelea hicho ki-PhD chako maandazi unatamba nacho mtaani.
vitu haviendi hivyo wewe mpuuzi.
Nyie wenye masters/PhD komaeni na utafiti na consultancy, hapo ndio umuhimu wa elimu zenu utaonekana.Kwa miaka ya sasa ni rahisi sana kuona mwalimu ana Masters/PhD lakini yupo tu anafundisha huko shuleni, ila mabosi wake wote wana Shahada. Huyu mwalimu mwenye Masters/PhD anaambulia kuhujumiwa tu na mabosi hao ili kumkatisha tamaa.
Mfano, anaweza akawa amepata mchongo mahali pengine kutokana na sifa alizonazo akaandika barua, lakini still maboss wake wakagoma kumpitishia barua zake kwa madai Walimu hawatoshi[emoji3] na mengine mengi.
Hivyo basi, tunaomba wizara husika itoe mwongozo ambao utapunguza hujuma za kupata vyeo na nafasi mbalimbali za hawa walimu wenye Masters/PhD.
Hata ikiwezekana wafanyiwe interview kupata hizo nafasi za uongozi ili hujuma zipungue/ziishe kabisa.
Mwalimu nchi haipaswi kuendeshwa kwa wingi wa vyeti inatakiwa iendeshwe kwa ueledi na uchapaka kazi, wengi wanaenda kusoma iliwapande vyeo na siyo ufanisi kazini, kusoma ni jambo jema sn lakini kwa Tanzania ni ajili ya vyeti pekee, Ulaya kuna Professor anafundisha primary school na maslahi yake ni makubwa kuliko Waziri, maybe ungeshauri walimu waboreshewe maslahi yao.Kwa miaka ya sasa ni rahisi sana kuona mwalimu ana Masters/PhD lakini yupo tu anafundisha huko shuleni, ila mabosi wake wote wana Shahada. Huyu mwalimu mwenye Masters/PhD anaambulia kuhujumiwa tu na mabosi hao ili kumkatisha tamaa.
Mfano, anaweza akawa amepata mchongo mahali pengine kutokana na sifa alizonazo akaandika barua, lakini still maboss wake wakagoma kumpitishia barua zake kwa madai Walimu hawatoshi😀 na mengine mengi.
Hivyo basi, tunaomba wizara husika itoe mwongozo ambao utapunguza hujuma za kupata vyeo na nafasi mbalimbali za hawa walimu wenye Masters/PhD.
Hata ikiwezekana wafanyiwe interview kupata hizo nafasi za uongozi ili hujuma zipungue/ziishe kabisa.
Hili ni tawi la CCMMwalimu usikilizwe unalo neno.
Ndiyo maana huwa mnakuwa na matabaka mno.
Muanze kwa kukifuta Chama cha walimu wezi Tanzania C.W.T
Well said, Biden ana bachelor lakini anaendesha Marekani yenye maprofessor zaidi ya milioni 5Nyie wenye masters/PhD komaeni na utafiti na consultancy, hapo ndio umuhimu wa elimu zenu utaonekana.
Uongozi hauna uhusiano na elimu kubwa, hata darasa la 4 anaejua kusoma na kuandika anaweza kuongoza vizuri kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi kabisa, basi ingekuwa kigezo pekee cha uongozi basi Rais wa nchi lazima angekuwa Professor, ufanisi, uadilifu, uchapa kazi na hekima na busara ndiyo nguzo za uongozi ulio bora na siyo haya makaratasiNikubaliane na wewe. Hata hoja ya mshikaji inakosa mashiko kwa kuweka kigezo cha elimu badala ya ufanisi, ingawa elimu huchangia pia ufanisi.
Shida yetu bongo ni hii, mtu akiwa na elimu kubwa hudharau kiongozi anayemkuta kwenye kituo cha kazi.
Anataka mara moja yeye ndo awe kiongozi. Hakuna uvumilivu.
Na yule kiongozi akigundua kuwa anabezwa na huyu msomi, atatafuta namna ya kumkomoa. Migogoro huanzia hapo.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Tuanze kwanza kuwachukulia hatua wale tunaodhani wanaelimu lakini wanaahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kutumikia kundi fulani ama kujipendekeza pengine hata uoga. Herding behavior is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering or group objectives, (conflict of interest ) or fearKwa miaka ya sasa ni rahisi sana kuona mwalimu ana Masters/PhD lakini yupo tu anafundisha huko shuleni, ila mabosi wake wote wana Shahada. Huyu mwalimu mwenye Masters/PhD anaambulia kuhujumiwa tu na mabosi hao ili kumkatisha tamaa.
Mfano, anaweza akawa amepata mchongo mahali pengine kutokana na sifa alizonazo akaandika barua, lakini still maboss wake wakagoma kumpitishia barua zake kwa madai Walimu hawatoshi😀 na mengine mengi.
Hivyo basi, tunaomba wizara husika itoe mwongozo ambao utapunguza hujuma za kupata vyeo na nafasi mbalimbali za hawa walimu wenye Masters/PhD.
Hata ikiwezekana wafanyiwe interview kupata hizo nafasi za uongozi ili hujuma zipungue/ziishe kabisa.
Pole Sana aiseeMwalimu nchi haipaswi kuendeshwa kwa wingi wa vyeti inatakiwa iendeshwe kwa ueledi na uchapaka kazi, wengi wanaenda kusoma iliwapande vyeo na siyo ufanisi kazini, kusoma ni jambo jema sn lakini kwa Tanzania ni ajili ya vyeti pekee, Ulaya kuna Professor anafundisha primary school na maslahi yake ni makubwa kuliko Waziri, maybe ungeshauri walimu waboreshewe maslahi yao.
Mkuu hivi unajua u Prof. unapatikanaje? Pitia kitabu Cha TCU uelewa zaidi,Upo sahihi kabisa, basi ingekuwa kigezo pekee cha uongozi basi Rais wa nchi lazima angekuwa Professor, ufanisi, uadilifu, uchapa kazi na hekima na busara ndiyo nguzo za uongozi ulio bora na siyo haya makaratasi