Ushauri: Yanga ijikite Kombe la Shirikisho

Ushauri: Yanga ijikite Kombe la Shirikisho

Sielewi mnachokebehi ni nini wakati mwezi wa 4 nilikuja na uzi mwingine kama huu kuiongelea Simba kwenda Shirikisho.

Wameku feitoto
 
Ni jambo lililo wazi kuwa Shirikisho ni mashindano yasiyo na hadhi sawa kulingana na Champions League na hata AFL, sasa sijui huu mjadala unahusu nini hasa. Kuna mtu anapinga hilo?

Simba bado anashiriki mashindano ya Kimataifa, ikiwemo AFL ambapo mpaka dakika hii Yanga hana uhakika wa kujumuishwa wakati Simba tayari imo. Katika rank za CAF, Simba bado imeiacha Yanga. Kuna anayepinga haya?

Saido alipohamia Simba kutoka Geita, magoli yake yaliendelea kuhesabika alipokuwa anagombania ufungaji bora.

Kwenda Shirikisho ni jambo jema kwa Simba kwa sasa kama nilivyosema katika uzi ule nwingine iwapo itajipanga vizuri.
😂😁😁
 
Ni jambo lililo wazi kuwa Shirikisho ni mashindano yasiyo na hadhi sawa kulingana na Champions League na hata AFL, sasa sijui huu mjadala unahusu nini hasa. Kuna mtu anapinga hilo?

Simba bado anashiriki mashindano ya Kimataifa, ikiwemo AFL ambapo mpaka dakika hii Yanga hana uhakika wa kujumuishwa wakati Simba tayari imo. Katika rank za CAF, Simba bado imeiacha Yanga. Kuna anayepinga haya?

Saido alipohamia Simba kutoka Geita, magoli yake yaliendelea kuhesabika alipokuwa anagombania ufungaji bora.

Kwenda Shirikisho ni jambo jema kwa Simba kwa sasa kama nilivyosema katika uzi ule nwingine iwapo itajipanga vizuri.
Saido alihama na magoli yake, lakini pointi zilizokusanywa na magoli hayo hazikuhamia alikohamia..!!
 
Ni jambo lililo wazi kuwa Shirikisho ni mashindano yasiyo na hadhi sawa kulingana na Champions League na hata AFL, sasa sijui huu mjadala unahusu nini hasa. Kuna mtu anapinga hilo?

Simba bado anashiriki mashindano ya Kimataifa, ikiwemo AFL ambapo mpaka dakika hii Yanga hana uhakika wa kujumuishwa wakati Simba tayari imo. Katika rank za CAF, Simba bado imeiacha Yanga. Kuna anayepinga haya?

Saido alipohamia Simba kutoka Geita, magoli yake yaliendelea kuhesabika alipokuwa anagombania ufungaji bora.

Kwenda Shirikisho ni jambo jema kwa Simba kwa sasa kama nilivyosema katika uzi ule nwingine iwapo itajipanga vizuri.
Chukueni points zenu za CAF labda mtafika nafasi ya pili
 
1717600256632.png
 
Saido alihama na magoli yake, lakini pointi zilizokusanywa na magoli hayo hazikuhamia alikohamia..!!
Mbona unaendelea kuhamisha goli. Ulisema magoli, sasa hivi unasema pointi.

Embu tujikite kwenye mada, Shirikisho halina hadhi sawa na mashindano mengine ya CAF, hilo tulikuwa tunasema toka mwanzo, ni vizuri kuona sasa tunaongea lugha moja.
 
Niliwaambia hawakutaka kusikia.

Za ndaani, kuna majadiliano yanaendelea ndani ya Yanga ili ijipige shoti msimu huu ili mwakani ikacheze Shirikisho.
 
This time nyie ndo mmejikita shirikisho.
Hakuna ubaya, kila kitu mipango. Shirikisho kuna pesa nzuri tu ndiyo maana kuna waarabu na pesa zao kuna timu zao zimejikita huku zinajiokotea tu maokoto kila mwaka.
 
Hakuna ubaya, kila kitu mipango. Shirikisho kuna pesa nzuri tu ndiyo maana kuna waarabu na pesa zao kuna timu zao zimejikita huku zinajiokotea tu maokoto kila mwaka.
Ukiambiwa uchague kati ya shirikisho na klabu bingwa(ACL)utaenda wapi?
 
Ukiambiwa uchague kati ya shirikisho na klabu bingwa(ACL)utaenda wapi?
Shirikisho yalikuwa ni mashindano sahihi kwa Simba msimu huu kwa kuwa timu inajengwa upya bila pressure na inaweza kupata matokeo. Klabu bingwa ingekuwa too much kujenga timu.

Simba inaweza kuamua kukaa misimu miwili Shirikisho ndiyo irudi Klabu Bingwa ikiwa imara zaidi.

Soma pia uzi huu.

Labda Simba kwenda Kombe la Shirikisho ni jambo jema kwa sasa
 
Back
Top Bottom