Ushauri: Yanga ijikite Kombe la Shirikisho

Ushauri: Yanga ijikite Kombe la Shirikisho

Mkuu huyu kijana atakuwa kajifunza kitu kwenye maisha

Huu ushauri ubebe kisha ufikishe kwa makolo wenzako

Kibao kimegeuka

HHahahahahahaaa

Unaendeleaje?


Cc : Shadeeya

Makolo walikuwa na kibri sana kabla ya kutokomea mafichoni kusiko julikana sasa .

😂😁😁Simba SC ndio shirikisho
Sielewi mnachokebehi ni nini wakati mwezi wa 4 nilikuja na uzi mwingine kama huu kuiongelea Simba kwenda Shirikisho.

 
Sielewi mnachokebehi ni nini wakati mwezi wa 4 nilikuja na uzi mwingine kama huu kuiongelea Simba kwenda Shirikisho.

Polee sana mkuu😂😂😂🤣😁
 
Sielewi mnachokebehi ni nini wakati mwezi wa 4 nilikuja na uzi mwingine kama huu kuiongelea Simba kwenda Shirikisho.

Unajaribu kujikosha

Aaahaaaa

Uzi wa kwanza ndo unamata
 
Sielewi mnachokebehi ni nini wakati mwezi wa 4 nilikuja na uzi mwingine kama huu kuiongelea Simba kwenda Shirikisho.

Mmeshirikishwa tayari, we jisemeshe lolote lile, MPO SHIRIKISHOOOOOOOOOO..!!
 
Wydad haijashuka kiwango, shida ya Wydad niliwahi kuisema katika uzi mmoja kabla hata mechi za makundi hazijaanza ni kuwa haina forward lineup nzuri. Hili tatizo wamekuwa nalo kwa muda sasa ndiyo maana wanapata shida kupata magoli. Wydad iliyocheza na Simba QF na kwenda hadi fainali msimu uliopita ndiyo ile ile iliyocheza nayo mechi hizi mbili za mwisho. Kwa hiyo niambie hiko kiwango chao kimeshuka toka lini?

Yaani kweli Medeama unaiweka katika kundi la timu zenye viwango, Medeama ambayo mlijihakikishia point 6 hadi juzi tu hapa? Kwanza tunaongelea Medeama ipi, ile mliyocheza nayo Ghana au hii ya juzi maana mmecheza na Medeama mbili tofauti.
Akili za mbilikimo hizi
 
Sielewi mnachokebehi ni nini wakati mwezi wa 4 nilikuja na uzi mwingine kama huu kuiongelea Simba kwenda Shirikisho.

mlisema msha wahi fika fainali shirikisho sasa mnaenda kujifunza nini tena leteni kombe la loser hapa
 
Halafu mimi sioni big deal Simba kwenda shirikisho. Ina maana mnaoicheka leo mnaona mashindano hayana maana. Zile medali mmezitupa? Aliyesema shirikisho ni kombe la losers mpo naye huko huko utopoloni.
Sawa ila si tulikubaliana wote kwamba uko ni kwa losers.
 
Halafu mimi sioni big deal Simba kwenda shirikisho. Ina maana mnaoicheka leo mnaona mashindano hayana maana. Zile medali mmezitupa? Aliyesema shirikisho ni kombe la losers mpo naye huko huko utopoloni.
Lazima usione ni big deal, maana kwa sasa ni kwenu huko. Ni big deal kwa vile anayekwenda huko ni mshindi wa tatu.

Kuhusu kombe la LUZA, mliendelea kusema hivyo hata baada ya Manara kuondoka....!!! By the way, kuna misemo kadhaa ya 5imba imekufa natural death, mfano;
1. Sisi wa kimatifa, chaliii
2. Kombe la LUZA leo hii hadi wewe SAYVILLE unaonyesha kukana kauli zenu..!!!

By the way kuhama kwa Manara hakuhama na kauli zake alizokuwa anazitoa akiwa huko. Kauli zinabaki kuwa za 5imba. Ingekuwa kuhama unahama na mambo yako yote, Saido alivyohamia kwenu angekuja na magoli aliyoyafunga akiwa Yanga..!!!
 
Sawa ila si tulikubaliana wote kwamba uko ni kwa losers.
Msikilize huyu hapa chini..!!



Anasema
1. Wa makombe mengine wanakaa hukooo nyuma gizani..!! LEO YUPO GIZANI
2. Wa ligi ya mabingwa ndo wanaonekana wana akili. Leo yupo kwa wasio na akili.

Yaani hawa wasimeze kauli, waendelee nazo hizi hizi kama walivyokuwa WANAROPOKA wakati ule

CC Kalpana, Mshana Jr, cocastic et el
 
Na wewe fika fainali upewe medali basi

Sawa ila si tulikubaliana wote kwamba uko ni kwa losers.

Lazima usione ni big deal, maana kwa sasa ni kwenu huko. Ni big deal kwa vile anayekwenda huko ni mshindi wa tatu.

Kuhusu kombe la LUZA, mliendelea kusema hivyo hata baada ya Manara kuondoka....!!! By the way, kuna misemo kadhaa ya 5imba imekufa natural death, mfano;
1. Sisi wa kimatifa, chaliii
2. Kombe la LUZA leo hii hadi wewe SAYVILLE unaonyesha kukana kauli zenu..!!!

By the way kuhama kwa Manara hakuhama na kauli zake alizokuwa anazitoa akiwa huko. Kauli zinabaki kuwa za 5imba. Ingekuwa kuhama unahama na mambo yako yote, Saido alivyohamia kwenu angekuja na magoli aliyoyafunga akiwa Yanga..!!!
Ni jambo lililo wazi kuwa Shirikisho ni mashindano yasiyo na hadhi sawa kulingana na Champions League na hata AFL, sasa sijui huu mjadala unahusu nini hasa. Kuna mtu anapinga hilo?

Simba bado anashiriki mashindano ya Kimataifa, ikiwemo AFL ambapo mpaka dakika hii Yanga hana uhakika wa kujumuishwa wakati Simba tayari imo. Katika rank za CAF, Simba bado imeiacha Yanga. Kuna anayepinga haya?

Saido alipohamia Simba kutoka Geita, magoli yake yaliendelea kuhesabika alipokuwa anagombania ufungaji bora.

Kwenda Shirikisho ni jambo jema kwa Simba kwa sasa kama nilivyosema katika uzi ule nwingine iwapo itajipanga vizuri.
 
Back
Top Bottom