Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora hata mende ana akili kuliko hili koloWydad haijashuka kiwango, shida ya Wydad niliwahi kuisema katika uzi mmoja kabla hata mechi za makundi hazijaanza ni kuwa haina forward lineup nzuri. Hili tatizo wamekuwa nalo kwa muda sasa ndiyo maana wanapata shida kupata magoli. Wydad iliyocheza na Simba QF na kwenda hadi fainali msimu uliopita ndiyo ile ile iliyocheza nayo mechi hizi mbili za mwisho. Kwa hiyo niambie hiko kiwango chao kimeshuka toka lini?
Yaani kweli Medeama unaiweka katika kundi la timu zenye viwango, Medeama ambayo mlijihakikishia point 6 hadi juzi tu hapa? Kwanza tunaongelea Medeama ipi, ile mliyocheza nayo Ghana au hii ya juzi maana mmecheza na Medeama mbili tofauti.
Hivi mashabiki wa yanga hii timu mlichaguliwa kuishabikia au mliipenda wenyewe? Hivi mtu unaanzaje kuwa shabiki wa gongowazi? Hua najiuliza sana hili swali.
Mpaka sasa katika hatua ya makundi hakuna matokeo ya Yanga ambayo yamekuwa tofauti au ya kushangaza sana tofauti na yale tuliyoyatarajia. Labla yale ya kushindwa kupata point 3 kutoka kwa Medeama kule Ghana. Kutoka suluhu na mwarabu kwa Mkapa si matokeo ya kushangaza, Yanga alihitaji ushindi katika mechi ile kama ambavyo Al Ahly alihitaji sare.
Kundi la Yanga lilikuwa linatabirika na mpaka sasa limevurugwa na mechi moja tu, ule ushindi wa Medeama dhidi ya CRB na ndiyo ambacho kimekuja kuipa matumaini Yanga mpaka sasa.
Yanga ikielekeza nguvu kule shirikisho, kwa kikosi ilichonacho na wakiongeza nguvu maeneo machache wana nafasi ya kufanya vizuri kutokana na aina na quality ya timu zilizoko kule. Huku Klabu Bingwa kuna wenyewe na wenyewe ndiyo sisi.
Shida ni kwamba kwenda shirikisho inabidi ipunguze nguvu kwenye kutafuta ubingwa wa NBC na wakati mwingine ijipige shoti ishike nafasi ya 3 au ya 4 ili iwe inadondokea huko Shirikisho kwa sababu kuna dalili zote Simba itaendelea kuipatia Tanzania nafasi za kutosha kimataifa.
Wewe ni Mpumbavu!!! Shabiki mpumbavu usikete historia kushindanisha kinachozungumziwa sasa mjinga weweeSio kundi la kifo ni kwamba wewe hauna mikazo ya kubattle na hizo timu
Sisi tumeongoza ligi tukiwa juu ya Al Ahly, El Merrick, na As Vita
Hapo nazungumzia El Merrick yule aliyekuwa tishio sio huyu aliyekuja juzi akiwa na migogoro nchini kwake.
Kundi hili mlilopo nyie angekuwa Simba angeongoza kundi akiwa mbele ya wakwanza
Wewe ni Stupid!!Mbona hilo jambo lipo wazi
Hatukatai sio kila timu inapofanya vibaya sababu inakuwa migogoro
Ila ishu ya Simba ipo clear ni kama tu ishu ya viingilio kwenye mechi za Simba kimataifa kuwekwa 3,000
Inafahamika kiingilio kimewekwa 3,000 kwasababu mashabiki hawafurahishwi na mwenendo wa timu na hivyo wametia mgomo.
Ndiyo hiyohiyo Medeama nayoizungumzia ambayo wewe inawezekana ungeambulia point moja. Yanga ingekua kundi lenu ingekua inaongoza mpaka sasa. Timu zote unga unga atleast Asec, ila wengine wote hamna kituYaani kweli Medeama unaiweka katika kundi la timu zenye viwango, Medeama ambayo mlijihakikishia point 6 hadi juzi tu hapa? Kwanza tunaongelea Medeama ipi, ile mliyocheza nayo Ghana au hii ya juzi maana mmecheza na Medeama mbili tofauti.
Without a doubtYanga ya sasa ingeweza kufanya vile?
Mbumbumbu fcMpaka sasa katika hatua ya makundi hakuna matokeo ya Yanga ambayo yamekuwa tofauti au ya kushangaza sana tofauti na yale tuliyoyatarajia. Labla yale ya kushindwa kupata point 3 kutoka kwa Medeama kule Ghana. Kutoka suluhu na mwarabu kwa Mkapa si matokeo ya kushangaza, Yanga alihitaji ushindi katika mechi ile kama ambavyo Al Ahly alihitaji sare.
Kundi la Yanga lilikuwa linatabirika na mpaka sasa limevurugwa na mechi moja tu, ule ushindi wa Medeama dhidi ya CRB na ndiyo ambacho kimekuja kuipa matumaini Yanga mpaka sasa.
Yanga ikielekeza nguvu kule shirikisho, kwa kikosi ilichonacho na wakiongeza nguvu maeneo machache wana nafasi ya kufanya vizuri kutokana na aina na quality ya timu zilizoko kule. Huku Klabu Bingwa kuna wenyewe na wenyewe ndiyo sisi.
Shida ni kwamba kwenda shirikisho inabidi ipunguze nguvu kwenye kutafuta ubingwa wa NBC na wakati mwingine ijipige shoti ishike nafasi ya 3 au ya 4 ili iwe inadondokea huko Shirikisho kwa sababu kuna dalili zote Simba itaendelea kuipatia Tanzania nafasi za kutosha kimataifa.
Kumbe na wewe ni mbumbumbu...aisee,ongelea kundi uliopo sasa hivi..unaleta taarifa za kundi la miaka kenda ilopita?aisee,UNASHINDWA MFUNGA MAKHIRIKHIRI ,UNASHINDWA MFUNGA ASEC NYUMBAN ,SIJUI UNATAMBA NINI?Sio kundi la kifo ni kwamba wewe hauna mikazo ya kubattle na hizo timu
Sisi tumeongoza ligi tukiwa juu ya Al Ahly, El Merrick, na As Vita
Hapo nazungumzia El Merrick yule aliyekuwa tishio sio huyu aliyekuja juzi akiwa na migogoro nchini kwake.
Kundi hili mlilopo nyie angekuwa Simba angeongoza kundi akiwa mbele ya wakwanza
Wewe ni mbumbumbu ,aka visingizio fcMbona hilo jambo lipo wazi
Hatukatai sio kila timu inapofanya vibaya sababu inakuwa migogoro
Ila ishu ya Simba ipo clear ni kama tu ishu ya viingilio kwenye mechi za Simba kimataifa kuwekwa 3,000
Inafahamika kiingilio kimewekwa 3,000 kwasababu mashabiki hawafurahishwi na mwenendo wa timu na hivyo wametia mgomo.
Hahaaaaa, hapa wazazi wake wamepata hasara.Ndio akili hizi hizi unategemea kuja kutafutia mke na kulea familia utakapotoka kuishi kwa shemeji?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]Ndio akili hizi hizi unategemea kuja kutafutia mke na kulea familia utakapotoka kuishi kwa shemeji?
Narudia tena Rage ajengewe Mnara kabisaKwahiyo kabisa ukakaa ukafikiria na unaona umeleta booonge la thread!
Kwani nyie mna tofauti gani na sisi hadi upate nguvu ya kutoa ushauri?