Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mwanaume unatumia picha yenye app ambayo watermark yake ni lovenesspicha
Unatia mashaka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume unatumia picha yenye app ambayo watermark yake ni lovenesspicha
Unatia mashaka sana
Kama kuna kaukweli vile. Maana mmoja kati yao akianzisha tu uzi, basi mwingine lazima asogee kumsapoti!! 😁kitu nme notice huyo Scars na Sayville ni jitu moja ID tofauti
Angalia avatar zao jiongezeKama kuna kaukweli vile. Maana mmoja kati yao akianzisha tu uzi, basi mwingine lazima asogee kumsapoti!! [emoji16]
Ni kama tu yule mdogo wangu wa hiyari! Akipigwa tu umeme, muda huo huo unashangaa Cognizant na Minocycline wanaibuka kutoka mafichoni.
Hivi katika michuano ya msimu huu ni timu ipi nyingine iliyotoa point 10 zaidi ya kundi lenu tu. Yaani timu moja anajihakikishia kufuzu mapema kabisa. Lakini makundi mengine yote hakuna anayejua kitatokea nini juu ya msimamo wa kundi hadi mechi ya tano pengine au mechi ya mwishoni huko.Sio kundi la kifo ni kwamba wewe hauna mikazo ya kubattle na hizo timu
Sisi tumeongoza ligi tukiwa juu ya Al Ahly, El Merrick, na As Vita
Hapo nazungumzia El Merrick yule aliyekuwa tishio sio huyu aliyekuja juzi akiwa na migogoro nchini kwake.
Kundi hili mlilopo nyie angekuwa Simba angeongoza kundi akiwa mbele ya wakwanza
Unamaanisha nini? Sijakupata vizuriKama kuna kaukweli vile. Maana mmoja kati yao akianzisha tu uzi, basi mwingine lazima asogee kumsapoti!! 😁
Ni kama tu yule mdogo wangu wa hiyari! Akipigwa tu umeme, muda huo huo unashangaa Cognizant na Minocycline wanaibuka kutoka mafichoni.
Kuna mangese huwa yanakaa chini kuandika ujinga mwingi sana.Mpaka sasa katika hatua ya makundi hakuna matokeo ya Yanga ambayo yamekuwa tofauti au ya kushangaza sana tofauti na yale tuliyoyatarajia. Labla yale ya kushindwa kupata point 3 kutoka kwa Medeama kule Ghana. Kutoka suluhu na mwarabu kwa Mkapa si matokeo ya kushangaza, Yanga alihitaji ushindi katika mechi ile kama ambavyo Al Ahly alihitaji sare.
Kundi la Yanga lilikuwa linatabirika na mpaka sasa limevurugwa na mechi moja tu, ule ushindi wa Medeama dhidi ya CRB na ndiyo ambacho kimekuja kuipa matumaini Yanga mpaka sasa.
Yanga ikielekeza nguvu kule shirikisho, kwa kikosi ilichonacho na wakiongeza nguvu maeneo machache wana nafasi ya kufanya vizuri kutokana na aina na quality ya timu zilizoko kule. Huku Klabu Bingwa kuna wenyewe na wenyewe ndiyo sisi.
Shida ni kwamba kwenda shirikisho inabidi ipunguze nguvu kwenye kutafuta ubingwa wa NBC na wakati mwingine ijipige shoti ishike nafasi ya 3 au ya 4 ili iwe inadondokea huko Shirikisho kwa sababu kuna dalili zote Simba itaendelea kuipatia Tanzania nafasi za kutosha kimataifa.
Sisi huku hatuna mzaha ni sisi tu tulipoteana wenyewe hapo katikatiHivi katika michuano ya msimu huu ni timu ipi nyingine iliyotoa point 10 zaidi ya kundi lenu tu. Yaani timu moja anajihakikishia kufuzu mapema kabisa. Lakini makundi mengine yote hakuna anayejua kitatokea nini juu ya msimamo wa kundi hadi mechi ya tano pengine au mechi ya mwishoni huko.
Hadi wewe umeingia mkenge kuandika huu utumbo?Kama kuna kaukweli vile. Maana mmoja kati yao akianzisha tu uzi, basi mwingine lazima asogee kumsapoti!! 😁
Ni kama tu yule mdogo wangu wa hiyari! Akipigwa tu umeme, muda huo huo unashangaa Cognizant na Minocycline wanaibuka kutoka mafichoni.
Ana maanisha mimi na wewe ni mtu mmojaUnamaanisha nini? Sijakupata vizuri
Duh. Huu uzi umewagusa pabaya sana ndiyo maana wamekimbilia matusi na hatimaye baada ya kushindwa kote huko wamefikia kwenye hoja za kuswitch ID. Bahati mbaya au nzuri sikuja hata na uzi wa kuwatukana, nimewaambia ukweli plain and simpo kwa faida yao wenyewe.Ana maanisha mimi na wewe ni mtu mmoja
Yani na switch tu ID
Hao ni vibogoyo wa ubongo
Mkuu nimecheka sana hii komenti yakoNdio akili hizi hizi unategemea kuja kutafutia mke na kulea familia utakapotoka kuishi kwa shemeji?
Kama hapa navyo jijibu mwenyeweUtoto raha sana mtu anajiuliza alf ana hi jibu mwenyewe,
Sijui ulivyokuwa unaandika ulitafakari unachokiandika!Sisi huku hatuna mzaha ni sisi tu tulipoteana wenyewe hapo katikati
Kiufupi ile nafasi ya Asec ilikuwa yetu
Ile situation haikuwa mzahaSijui ulivyokuwa unaandika ulitafakari unachokiandika!
"Sisi huku hatuna mzaha" maanake mmejijumuisha kwa wasio na mzaha.
"Sisi tu tulipoteana wenyewe hapo katikati" maanake mmejiweka kwenye kundi la wafanya mzaha.
Situation ipi hiyoIle situation haikuwa mzaha
Mgogoro wa SimbaSituation ipi hiyo
😂😂😂 au yipe.We kama katika enzi zako mpira ulicheza basi ulikuwa Sarpong wa miaka hiyo.