Ushauri: Yanga ijikite Kombe la Shirikisho

Ushauri: Yanga ijikite Kombe la Shirikisho

Mwanaume unatumia picha yenye app ambayo watermark yake ni lovenesspicha

Unatia mashaka sana
20231221_103211.jpg
 
kitu nme notice huyo Scars na Sayville ni jitu moja ID tofauti
Kama kuna kaukweli vile. Maana mmoja kati yao akianzisha tu uzi, basi mwingine lazima asogee kumsapoti!! 😁

Ni kama tu yule mdogo wangu wa hiyari! Akipigwa tu umeme, muda huo huo unashangaa Cognizant na Minocycline wanaibuka kutoka mafichoni.
 
Sio kundi la kifo ni kwamba wewe hauna mikazo ya kubattle na hizo timu

Sisi tumeongoza ligi tukiwa juu ya Al Ahly, El Merrick, na As Vita

Hapo nazungumzia El Merrick yule aliyekuwa tishio sio huyu aliyekuja juzi akiwa na migogoro nchini kwake.

Kundi hili mlilopo nyie angekuwa Simba angeongoza kundi akiwa mbele ya wakwanza
Hivi katika michuano ya msimu huu ni timu ipi nyingine iliyotoa point 10 zaidi ya kundi lenu tu. Yaani timu moja anajihakikishia kufuzu mapema kabisa. Lakini makundi mengine yote hakuna anayejua kitatokea nini juu ya msimamo wa kundi hadi mechi ya tano pengine au mechi ya mwishoni huko.
 
Kama kuna kaukweli vile. Maana mmoja kati yao akianzisha tu uzi, basi mwingine lazima asogee kumsapoti!! 😁

Ni kama tu yule mdogo wangu wa hiyari! Akipigwa tu umeme, muda huo huo unashangaa Cognizant na Minocycline wanaibuka kutoka mafichoni.
Unamaanisha nini? Sijakupata vizuri
 
Mpaka sasa katika hatua ya makundi hakuna matokeo ya Yanga ambayo yamekuwa tofauti au ya kushangaza sana tofauti na yale tuliyoyatarajia. Labla yale ya kushindwa kupata point 3 kutoka kwa Medeama kule Ghana. Kutoka suluhu na mwarabu kwa Mkapa si matokeo ya kushangaza, Yanga alihitaji ushindi katika mechi ile kama ambavyo Al Ahly alihitaji sare.

Kundi la Yanga lilikuwa linatabirika na mpaka sasa limevurugwa na mechi moja tu, ule ushindi wa Medeama dhidi ya CRB na ndiyo ambacho kimekuja kuipa matumaini Yanga mpaka sasa.

Yanga ikielekeza nguvu kule shirikisho, kwa kikosi ilichonacho na wakiongeza nguvu maeneo machache wana nafasi ya kufanya vizuri kutokana na aina na quality ya timu zilizoko kule. Huku Klabu Bingwa kuna wenyewe na wenyewe ndiyo sisi.

Shida ni kwamba kwenda shirikisho inabidi ipunguze nguvu kwenye kutafuta ubingwa wa NBC na wakati mwingine ijipige shoti ishike nafasi ya 3 au ya 4 ili iwe inadondokea huko Shirikisho kwa sababu kuna dalili zote Simba itaendelea kuipatia Tanzania nafasi za kutosha kimataifa.
Kuna mangese huwa yanakaa chini kuandika ujinga mwingi sana.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hivi katika michuano ya msimu huu ni timu ipi nyingine iliyotoa point 10 zaidi ya kundi lenu tu. Yaani timu moja anajihakikishia kufuzu mapema kabisa. Lakini makundi mengine yote hakuna anayejua kitatokea nini juu ya msimamo wa kundi hadi mechi ya tano pengine au mechi ya mwishoni huko.
Sisi huku hatuna mzaha ni sisi tu tulipoteana wenyewe hapo katikati

Kiufupi ile nafasi ya Asec ilikuwa yetu
 
Wakati kundi linapangwa lilikuwa
1.Aly Ahly
2. Belouzdad
3.Yanga
4.Mediama .
Na ndivyo msimamo utakavyokuwa hadi mwisho. Yanga washukuru Ahly na Belouzdad kutocheza mechi yao ya 4 angalau nao wameonja hiyo nafasi ya pili kwa muda.
 
Kama kuna kaukweli vile. Maana mmoja kati yao akianzisha tu uzi, basi mwingine lazima asogee kumsapoti!! 😁

Ni kama tu yule mdogo wangu wa hiyari! Akipigwa tu umeme, muda huo huo unashangaa Cognizant na Minocycline wanaibuka kutoka mafichoni.
Hadi wewe umeingia mkenge kuandika huu utumbo?
 
Ana maanisha mimi na wewe ni mtu mmoja

Yani na switch tu ID

Hao ni vibogoyo wa ubongo
Duh. Huu uzi umewagusa pabaya sana ndiyo maana wamekimbilia matusi na hatimaye baada ya kushindwa kote huko wamefikia kwenye hoja za kuswitch ID. Bahati mbaya au nzuri sikuja hata na uzi wa kuwatukana, nimewaambia ukweli plain and simpo kwa faida yao wenyewe.

Wangejua kuwa wamekuja kwa hasira zile zile nilivyowategemea. Hawana hoja tuendelee kuwapiga za utosi, hahahah.
 
Sisi huku hatuna mzaha ni sisi tu tulipoteana wenyewe hapo katikati

Kiufupi ile nafasi ya Asec ilikuwa yetu
Sijui ulivyokuwa unaandika ulitafakari unachokiandika!
"Sisi huku hatuna mzaha" maanake mmejijumuisha kwa wasio na mzaha.
"Sisi tu tulipoteana wenyewe hapo katikati" maanake mmejiweka kwenye kundi la wafanya mzaha.
 
Sijui ulivyokuwa unaandika ulitafakari unachokiandika!
"Sisi huku hatuna mzaha" maanake mmejijumuisha kwa wasio na mzaha.
"Sisi tu tulipoteana wenyewe hapo katikati" maanake mmejiweka kwenye kundi la wafanya mzaha.
Ile situation haikuwa mzaha
 
Hivi mashabiki wa yanga hii timu mlichaguliwa kuishabikia au mliipenda wenyewe? Hivi mtu unaanzaje kuwa shabiki wa gongowazi? Hua najiuliza sana hili swali.
 
Back
Top Bottom