granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Kama ndivo basi hata nafasi ya pili anafahamika, au unataka kujizima data?Ila msimamo utavyoishia inafahamika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ndivo basi hata nafasi ya pili anafahamika, au unataka kujizima data?Ila msimamo utavyoishia inafahamika
yaani ni mwendo wa rede reduka, rede reduka, rede reduka,Ndio kundi la kifo linavyokuwa, sio group timu ina points 10… sio kundi la mpira hilo ila rede.
Group pekee michuano hii timu ina points 10
Ukisema hivyo nami nitakuuliza kwanini hukumfunga IhefuMzeebaba mmeshindwa kuwafunga jwaneng na asec ndo mngewafunga ahly na crb? Hauko serious wewe. Halafu Mambo ya kuongoza kundi misimu iliyopita haiwezi kukupa faida yoyote kwa sasa, acha ushabiki uongee vitu vya maana. Yaani kumfunga wydad ambaye kafungwa na timu zote kwenye group mnajiona mmeshafika finally.
Yeah anafahamika kwasababu msimamo utaisha kama ulivyoanzaKama ndivo basi hata nafasi ya pili anafahamika, au unataka kujizima data?
Hamjawai kosa sababu kamwe, enyi mbumbumbu fcUkisema hivyo nami nitakuuliza kwanini hukumfunga Ihefu
Matokeo ya hizo mechi tulizoshindwa kushinda kila mtu anajua sababu ilikuwa ni nini na ndio maana tuna jiamini kuwa 2nd leg tunatoka na point 6
Kipindi tunacheza na Asec timu ilikuwa kwenye migogoro wakati tunacheza na Jwaneng Galaxy tulikuwa ndio tumetoka kusuluhisha migogoro.
Na mpira uliuona, matokeo ya sare ugenini hayakuwa matokeo mabaya kumbuka hata Al Ahly akija ugenini kipaumbele cha kwanza ni kupata sare.
Mbona hilo jambo lipo waziHamjawai kosa sababu kamwe, enyi mbumbumbu fc
sawa mpiga ramli, tusubiri tuone.Yeah anafahamika kwasababu msimamo utaisha kama ulivyoanza
Usipolielewa hili andiko sasa utaliela hapo baadae hatua ya makunfi itakapotamatika.Kwahiyo kabisa ukakaa ukafikiria na unaona umeleta booonge la thread!
Kwani nyie mna tofauti gani na sisi hadi upate nguvu ya kutoa ushauri?
Sare tu walishangilia vileKama karata za Yanga ni kuifunga Al Ahly kwake basi Robo ataiskia kwenye redio.
Sio ya pili hata ya kwanza haijulikaniKundi lenu mpaka saizi haifahamiki nafasi ya pili ni ya nani
Mulikuwa na migogoro na naniUkisema hivyo nami nitakuuliza kwanini hukumfunga Ihefu
Matokeo ya hizo mechi tulizoshindwa kushinda kila mtu anajua sababu ilikuwa ni nini na ndio maana tuna jiamini kuwa 2nd leg tunatoka na point 6
Kipindi tunacheza na Asec timu ilikuwa kwenye migogoro wakati tunacheza na Jwaneng Galaxy tulikuwa ndio tumetoka kusuluhisha migogoro.
Na mpira uliuona, matokeo ya sare ugenini hayakuwa matokeo mabaya kumbuka hata Al Ahly akija ugenini kipaumbele cha kwanza ni kupata sare.
Nafasi ya ya kwanza ipo katika battle baina ya timu mbili (Al Ahly na Cr Belarouzidad)Sio ya pili hata ya kwanza haijulikani
Shindeni Game mbili zilizobaki ili mdhiilishe huo ubora hewa mnaojipaHivi kwa nini timu zikicheza na Yanga zikafungwa zinageuka kuwa mbovu? Hii Yanga ni bora sana.
Wapo wanaombea Al Ahly amfunge CRB, ukiwauliza asipomfunga itakuwaje wanatoka ndukiiiNafasi ya ya kwanza ipo katika battle baina ya timu mbili (Al Ahly na Cr Belarouzidad)
Maana yake wewe Yanga haupo kwenye hiyo marathon wewe ni shuhuda tu wakuangalia hiyo battle.
Kama hujui kilichotokea tulia subiri replayMulikuwa na migogoro na nani
Dogo umewahi kucheza mpira?Nafasi ya ya kwanza ipo katika battle baina ya timu mbili (Al Ahly na Cr Belarouzidad)
Maana yake wewe Yanga haupo kwenye hiyo marathon wewe ni shuhuda tu wakuangalia hiyo battle.
Wewe eleza huo mgogoro ulikuwa ni baina ya nani na naniKama hujui kilichotokea tulia subiri replay