Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Wameku feitotoSielewi mnachokebehi ni nini wakati mwezi wa 4 nilikuja na uzi mwingine kama huu kuiongelea Simba kwenda Shirikisho.
Labda Simba kwenda Kombe la Shirikisho ni jambo jema kwa sasa
Niliwahi kutoa ushauri kwa Yanga kujikita kwenye kombe la shirikisho maana wameonyesha wana uwezo wa kukomaa na kuchungulia ubingwa kabisa. Baada ya ushauri ule nilishambuliwa sana na mashabiki lia lila wa Deportivo de Utopolo. Leo nawageuzia kibao wana Lunyasi wenzangu. Simba imeonyesha kupata...www.jamiiforums.com
😂😁😁Ni jambo lililo wazi kuwa Shirikisho ni mashindano yasiyo na hadhi sawa kulingana na Champions League na hata AFL, sasa sijui huu mjadala unahusu nini hasa. Kuna mtu anapinga hilo?
Simba bado anashiriki mashindano ya Kimataifa, ikiwemo AFL ambapo mpaka dakika hii Yanga hana uhakika wa kujumuishwa wakati Simba tayari imo. Katika rank za CAF, Simba bado imeiacha Yanga. Kuna anayepinga haya?
Saido alipohamia Simba kutoka Geita, magoli yake yaliendelea kuhesabika alipokuwa anagombania ufungaji bora.
Kwenda Shirikisho ni jambo jema kwa Simba kwa sasa kama nilivyosema katika uzi ule nwingine iwapo itajipanga vizuri.
Saido alihama na magoli yake, lakini pointi zilizokusanywa na magoli hayo hazikuhamia alikohamia..!!Ni jambo lililo wazi kuwa Shirikisho ni mashindano yasiyo na hadhi sawa kulingana na Champions League na hata AFL, sasa sijui huu mjadala unahusu nini hasa. Kuna mtu anapinga hilo?
Simba bado anashiriki mashindano ya Kimataifa, ikiwemo AFL ambapo mpaka dakika hii Yanga hana uhakika wa kujumuishwa wakati Simba tayari imo. Katika rank za CAF, Simba bado imeiacha Yanga. Kuna anayepinga haya?
Saido alipohamia Simba kutoka Geita, magoli yake yaliendelea kuhesabika alipokuwa anagombania ufungaji bora.
Kwenda Shirikisho ni jambo jema kwa Simba kwa sasa kama nilivyosema katika uzi ule nwingine iwapo itajipanga vizuri.
Chukueni points zenu za CAF labda mtafika nafasi ya piliNi jambo lililo wazi kuwa Shirikisho ni mashindano yasiyo na hadhi sawa kulingana na Champions League na hata AFL, sasa sijui huu mjadala unahusu nini hasa. Kuna mtu anapinga hilo?
Simba bado anashiriki mashindano ya Kimataifa, ikiwemo AFL ambapo mpaka dakika hii Yanga hana uhakika wa kujumuishwa wakati Simba tayari imo. Katika rank za CAF, Simba bado imeiacha Yanga. Kuna anayepinga haya?
Saido alipohamia Simba kutoka Geita, magoli yake yaliendelea kuhesabika alipokuwa anagombania ufungaji bora.
Kwenda Shirikisho ni jambo jema kwa Simba kwa sasa kama nilivyosema katika uzi ule nwingine iwapo itajipanga vizuri.
Wanajitoaje wakati hawana..!!?? Hawa mbumbumbu FC ufahamu wautoe wapi?Mashabiki wa Simba mnajitoaga sana ufahamu.
Mbona unaendelea kuhamisha goli. Ulisema magoli, sasa hivi unasema pointi.Saido alihama na magoli yake, lakini pointi zilizokusanywa na magoli hayo hazikuhamia alikohamia..!!
Ukiambiwa uchague kati ya shirikisho na klabu bingwa(ACL)utaenda wapi?Hakuna ubaya, kila kitu mipango. Shirikisho kuna pesa nzuri tu ndiyo maana kuna waarabu na pesa zao kuna timu zao zimejikita huku zinajiokotea tu maokoto kila mwaka.
Shirikisho yalikuwa ni mashindano sahihi kwa Simba msimu huu kwa kuwa timu inajengwa upya bila pressure na inaweza kupata matokeo. Klabu bingwa ingekuwa too much kujenga timu.Ukiambiwa uchague kati ya shirikisho na klabu bingwa(ACL)utaenda wapi?