Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Aisee

We jamaa n
Aisee


We jamaa anasbo, pamoja na mzabzab lazima nitawakuta motoni
 
Ntafanyaje Sasa na yeye ndo ananifikisha kileleni.

Kiufupi tumekutana kichupa na mfuniko wake[emoji12]
 
Aisee

We jamaa n
Aisee


We jamaa anasbo, pamoja na mzabzab lazima nitawakuta motoni
 
Dah huyu dada angejua angehama hapo anapoishi haraka sana sema ndo hvo hela tamuu na kodi analipiwa hawezi kujiamulia mwenyewe
 
Ibilisi bin shetani[emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha.....
Jamaa ana I'd ya kuogofya Sana.
Ukisoma comments zake zinatisha kabisa[emoji2]

Sidhan Kama Kuna mod anaujasili was kuipiga ban hi id[emoji1787]
 
Akibadilika namuachia TU akaolewe kwngn, sema tatiz lake Hana heshima,anapenda ligi na ananichukulia kama danga lake kwa kigezo Cha kunipenda.
(Anahusi sijui anachokifanya)
Ego ego ego
Bidada ametytiwa hachomokii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…