Bwana kwa comments za kila mtu unaeza elewa unaongea na mtu wa namna gani,mkorofi,mjanja,mpole,wenye na wasio na busara japo tumejificha Ila Kuna kauhalisia kanaonekana...huyu bwana Ibilis anaweza kuwa poa Ila Hana hofu ya MunguHa ha ha...hamna afu unaeza kuta ni mtu flani POA Sana mtaani[emoji4]
Shetan bwanaAnanipga kamba nilitaka nishangae mm najua karne hii ukiwa mwanamke usipotongozwa ujue una nuksi pepo mchafu au jini makata au maimuna
πππππππππKampe makiss matatu heavy ya SaluteUyu wa kwangu Ni balaa, ndo Maana mwenzio mnaona namlinda kwa gharama yoyote Sitaki nimpoteze kabisa[emoji4]
IgnoredJamaa anakiroho cha kwann, nishasema mahali kua usikute uyu jamaa ndo uyo was tanesco nilompiga na kitu kizito kichwan.
Kasoma Uzi kakumbuka mbali akapanic[emoji4]
Ha ha ha....Mr bann alikua dereva wa magari makubwa Huko Malawi akaja kuangusha gari bahati Mbaya akaumia na kuvunjika baadhi ya viungo,wale jamaa wa kampuni wakamtimua bila malipo akarudi bongo kujiuguza,alivyopona akarudi Tena kuomba Kazi wakampa roli la mafuta kilichofuata Ili kulipa kisasi Kwa unyama waliomfanyia mwanzo akanyonya mafuta yote Kwa tank akauza zaidi ya million 400 halafu gari akalitengenezea ajali kwenye makorongo akaruka na kuliachia mpaka Huko makorongoni likalipuka lote likateketea,
Huko mabosi wakijua mzigo wote umelipuka kumbe mbinu za kijasusi zimetumika akarudi bongo kuendelea kula mpunga wake taratiiibu!
mr bann njoo huku utupe mwongozo nakubali sana Mzee wa revenge!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Waletwe kwa upepo wa kisulisuli aseeJini amtoe wapi yule, vinginevyo atwambie kua anakoishi Kuna uhaba wa wanaume.
Tuagize dreamliner ya mama Samia ipeleke wengine [emoji2]
[emoji2957][emoji2957]akibadili tu tunapeleka mahari fastaaNamsubiri Kwanza a BADILI TABIA Kama lilivyo jina lako mkuu[emoji4]
hahhahhhaa hatari sana walokole husema kisasi ni Kwa Bwana,yeye ndie atakulipia ila Mimi hua husema usiombe ukutane na bwana PepsiHa ha ha....
Jamaa kisa chake kizur Sana
Kiukweli namsapoti,
Sio kila Jambo Ni lakumuachia mungu.
Vinginevyo unamalizana navyo mwnyw uku uku duniani, ndo maana umepewa mamlaka.
Kule mbinguni mahesabu tu[emoji4]
Mimi nachojua dhambi kwa sasa hivi hakuna kama unaweza kufanya jambo fanya ili mradi usilete vurugu au jambo baya kwa jamii embu fikiria kwa kina kila kitu kizuri dhambi eti kuzini dhambi inakuwaje dhambi wakati ni vitu vya kawaida yaan ukifikria sana habari za dhambi hutafanya mengihaaa Tena ngoja nimtag kubwa la maadui Yaani huyu ni adui wa Iblis Bin Shetan Kwa kiwango Cha SGR sijui walikosana Nini ngoja nimemwite Mathanzua njoo mshkaji wako anazingua huku
ππππ₯π₯
Kumbe wapo anza na hao wakishindwa kukusaidia wee waibie tu nakuhakikishia hutapata dhambi ukiwaibia haoSio kwamba hawapo ila sijataka...hata Leo nikitaka dyudyu ipo ya uhakika sema stak tuu
Ana akili za kuishi maisha ambayo yako kinyume na jamii na asitetereke? I mean hata umri ukipita na akazaa hata nje ya ndoa bila stress? Kama anaishi maisha ya kufueahisha jamii ataisoma namba ikiwa inaishiaUyu hawez kuhama pale, namsubiri Kwanza atulize akili.
Bado waru waru kichwan[emoji4]
Ha ha ha ...hahhahhhaa hatari sana walokole husema kisasi ni Kwa Bwana,yeye ndie atakulipia ila Mimi hua husema usiombe ukutane na bwana Pepsi
Utajua hujui!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji91][emoji91]
Wafalme was imani walizini Sana na hwakufanywa chochote na mungu.Mimi nachojua dhambi kwa sasa hivi hakuna kama unaweza kufanya jambo fanya ili mradi usilete vurugu au jambo baya kwa jamii embu fikiria kwa kina kila kitu kizuri dhambi eti kuzini dhambi inakuwaje dhambi wakati ni vitu vya kawaida yaan ukifikria sana habari za dhambi hutafanya mengi
Sahii kabisa, ndo maana nahakikisha siwapi nafas watu kusema majungu.Ana akili za kuishi maisha ambayo yako kinyume na jamii na asitetereke? I mean hata umri ukipita na akazaa hata nje ya ndoa bila stress? Kama anaishi maisha ya kufueahisha jamii ataisoma namba ikiwa inaishia