HurumaaaHa ha ha....
Sema Hilo tukio nadhan halijui kama mm and nilikua nyuma yake.
Maana nnachokumbuka bidada aliendelea kumtext uyo barobaro anamjulia Hali afu jamaa hajibu chochote ikawa ndo imeisha hivyo mawasiliano yao yakafa kabisa.[emoji4]
Naam kuna dada mmoja aliwahi kunifata analalamika hajatongozwa miezi 6 na anajua aliyemfanyia ni mwenzake ambaye wanashare bwana mmoja ila hajawaoa ili hali amewazalisha woteShetan bwana
Huo utundu angemfanyia wa kumuoa ndoa ingegeuka paradiseKumbe jee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna michepuko mitundu Sana,
Hivi utajiitaje Iblis Bin Shetani kama wewe sio wa Shetani?Ni wazi you belong to Satan! Kila jina au nembo ina maana, haitoki hewani.haaa Tena ngoja nimtag kubwa la maadui Yaani huyu ni adui wa Iblis Bin Shetan Kwa kiwango Cha SGR sijui walikosana Nini ngoja nimemwite Mathanzua njoo mshkaji wako anazingua huku
ππππ₯π₯
Ni Bora hata Angelikua na akili Iyo ya kuwekeza basi.Hurumaaa
Sema kwa vile unahudumu kama danga [emoji185]
Basi ngoma droo...
Awekeze ili maumivu yasiwe makubwa
Inaonekana Nyie na Iblis Bin Shetan mtakua Ni wataninwa jadi Sana[emoji2]Hivi utajiitaje Iblis Bin Shetani kama wewe sio wa Shetani?Ni wazi you belong to Satan! Kila jina au nembo ina maana, haitoki hewani.
Memchuni nna week 3Ntakua was mwisho kuamini Hilo maana najua anko hujampiga chini Bado[emoji4]
Yaani hicho ndio kitu Cha kusikitisha zaidi......Ila akili za kike si unazijua?ukute utundu wote huu kisa tu ana compet na mwenzie aonekane anajua kuliko mke....ukute angeolewa kabisa angerelax zakeππππHuo utundu angemfanyia wa kumuoa ndoa ingegeuka paradise
Hata wife alianza kwny state nzur, nahs maZoea ya ndoa yanachangia pia[emoji4]Yaani hicho ndio kitu Cha kusikitisha zaidi......Ila akili za kike si unazijua?ukute utundu wote huu kisa tu ana compet na mwenzie aonekane anajua kuliko mke....ukute angeolewa kabisa angerelax zake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukimuoa Wala hafanyi Tena hayo,anarelax anakula pension yakeπKunamda nataman hivo ila Sina namna[emoji4]
Ashajichagulia moto na ukimwi wake...Ha ha ha ...
Usiingie wewe zinzi kuu niingie Mimi iyo vipi[emoji2]
Ndio ilivyo hiyo.Hata wife alianza kwny state nzur, nahs maZoea ya ndoa yanachangia pia[emoji4]
Daudi hafai huyu alikuwa na uchu wa mapenzi akampora mtu mke ila Selemani ilikuwa inajulikana kuwa ana tamaa ya wanawake aliowa wanawake wengi kimbembe kipo kwa Ibrahim huyu alikuwa mtu mwema ila alimla beki tatu anaitwa Hagar au hajar unaambiwa huyo Hagar alikuwa anaasili ya ubantu alienda misri kama mtumwa na alikuwa anachura kubwa kilichomvutia Ibrahim ni ile chura akampa mimba mtoto akaitwa IsmailWafalme was imani walizini Sana na hwakufanywa chochote na mungu.
Zaid Zaid waliongezewa mibaraka tele Kama kina daudi,Suleiman na ibrahimu[emoji4]
Hahaha...Ashajichagulia moto na ukimwi wake...
Namuogopa mzabzab sanaaaa
Sitaki hata anisogelee sema ndo hvo bora akinisogelea mchana jua linawaka sio mbaya sana ila giza likiingia tu napita mbali nae
Shetan mbona tunatembea nao na kukutana nao daily...Yaani uko serious kabisa unachati na shetani[emoji12]
Hivi ukifika kwa mungu utajieleza Nini wewe binamu yangu[emoji1787]
No sio watani,hii ni chuki dhidi yangu.You know why,nafunua sana siri za baba yake Shetani,sasa ina muudhi sana mpaka ana-nikebehi.Inaonekana Nyie na Iblis Bin Shetan mtakua Ni wataninwa jadi Sana[emoji2]
hahahhahha Mkuu kwema?Hivi utajiitaje Iblis Bin Shetani kama wewe sio wa Shetani?Ni wazi you belong to Satan! Kila jina au nembo ina maana, haitoki hewani.
Ha ha ha....wee jamaa unaijua biblia balaa.Daudi hafai huyu alikuwa na uchu wa mapenzi akampora mtu mke ila Selemani ilikuwa inajulikana kuwa ana tamaa ya wanawake aliowa wanawake wengi kimbembe kipo kwa Ibrahim huyu alikuwa mtu mwema ila alimla beki tatu anaitwa Hagar au hajar unaambiwa huyo Hagar alikuwa anaasili ya ubantu alienda misri kama mtumwa na alikuwa anachura kubwa kilichomvutia Ibrahim ni ile chura akampa mimba mtoto akaitwa Ismail