Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
HurumaaaHa ha ha....
Sema Hilo tukio nadhan halijui kama mm and nilikua nyuma yake.
Maana nnachokumbuka bidada aliendelea kumtext uyo barobaro anamjulia Hali afu jamaa hajibu chochote ikawa ndo imeisha hivyo mawasiliano yao yakafa kabisa.[emoji4]
Sema kwa vile unahudumu kama danga [emoji185]
Basi ngoma droo...
Awekeze ili maumivu yasiwe makubwa