Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Mama yangu weeeeeeee
Hapana asee nazidi kuogopaaa yani umkate visiginoo tenaa
Ila ukiwa unazungukwa na mwanaume anayejiamini asee unavimba kitaa sio mwanaume daily unavamiwa tu na vibaka hana cha kufanya
 
Ha Ha ha....
Unataka ukaibe mme wa mtu?
Siibi namchukua mchana kweupe.. hata nikitaka alale kwangu week hashindwi.
Yule alikuwa wangu sema mambo ya shule tukawa mbali niliporudi akawa ameoa. Sasa hapo naiba nachukua halali yangu?
 
Ha ha ha...eti ata mateja wanatongoza[emoji3]
Kwaiyo KUMBE kutongoza sio ishu kabisa
Sio ishu kabisa..
Yani kama hawa boda boda ndo kabisa ukikaa vibaya wanakula mzigo kilainiiii kwa buku tu
Lazima ujipimie nani anatongoza na nani anamaanisha kusimama kwenye zamu kisawasawa
 
LAZIMA utakua CCM wewe..... Wallah wabillah wewe ni CCM
 
Hao huko usabatoni tunawaita watoto wa mama mdogo
 
Mama yangu weeeeeeee
Hapana asee nazidi kuogopaaa yani umkate visiginoo tenaa
Ila ukiwa unazungukwa na mwanaume anayejiamini asee unavimba kitaa sio mwanaume daily unavamiwa tu na vibaka hana cha kufanya
Ha ha ha...
Uyu kijana keshakua kibaka sugu mtaani, anaenda segerea siku kadhaa karudi mtaan kutusumbua.

afu wazazi wake na viongz wa mtaa ni kama wanamtetea na kumuogopa vile.
Maana kila tukio wanaishia kumripoti polisi.

Sasa Skuhz Ni anawalengesha majambaz wageni waje kutuibia waondoke zao afu yeye anakaa pembeni.

Sasa dawa yake Ni kumtafutia wahuni wasiojulikana kutoka mbali hata mkoa uko, wanamteka na kumkata visigino kabisa afu wanamwachia awe kiwete maisha yake yote ili aache wizi Kabisa[emoji3525]

Kiukweli wezi wamenitia hasara kubwa Sana, nikielezea figure hapa wengine watasema najimwambafai.

Ila kiuhalisia Sina huruma nao kabisa kwa Sasa[emoji3525]
 
Ndo maana nkakwambia ntakuja kukuibia
Si bora niibe me binam kuliko waibe wezi wq mbali hukoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…