Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

🤣🤣🤣🤣😂 Basi hako katabia la kung'ang'ania kapo kwenye damu yenu kabisaa
 
Nakadori wewe ni mpuuzi nini? Take yourself into the shoes of his wife na malaya wake huyo! Foolish ^man^ you!
 
🤣🤣🤣🤣😂 Basi hako katabia la kung'ang'ania kapo kwenye damu yenu kabisaa
Ha ha ha....Nadhan Unaweza kua sahii.

Maana mom wangu alizaliwa muislamu, kafall in love na baba akiwa mkatoriki.
Kwao wakamtenga kisa kaolewa na kafiri. Hakujali akaamia kwa mzee.

Sema Sasa kwa mzee nako akagoma kubadili dini, wakaishi hivo hivo mzee anaenda kanisani, mama anatia zake ushungi anaenda mskitini na mpk leo wako Pamoja hivo hivo.

Sema Mimi nikafata dini ya mzee😊
 
Ukisoma huu uzi utagundua wanaume ni viumbe wa namna gani, kumbe wanfanana kama maoacha yaani
 
Mbaya zaidi sasa hivi nchi inaongozwa na mwanamke, bunge liko chini ya mwanamke, wizara nyeti ziko chini ya wanawake, hebu jaribu kufanya figisu tuone
 
Mmmh Nyie kwenu Ni kiboko..mnapambania penzi lenu.....vipi Sasa hujawaza mchepuko kuuhalalisha japo bomani?maana umemwaribia tayari?
 
Ukisoma huu uzi utagundua wanaume ni viumbe wa namna gani, kumbe wanfanana kama maoacha yaani
Sasa ningefanyaje Mimi?,
Na kuruhusu ndege wangu apepee ni kitu isiyowezekana kabisa😃

afu kingine mdada an alikua mhuni TU Kama Mimi, maana anajifanya anawivu namimi kumbe anamahusiano ya pembeni akija KWANGU ananiigizia tu.

Nadhani Tusiangalie upande mmoja TU shilingi😊
 
Mbaya zaidi sasa hivi nchi inaongozwa na mwanamke, bunge liko chini ya mwanamke, wizara nyeti ziko chini ya wanawake, hebu jaribu kufanya figisu tuone
Huu muula huu mnauringia sana mmeshasahau huko nyuma mlikuwa mnaongozwa na nani


Anyway hua wanaume hatupigi kelele ngoja miaka 10 iishe [emoji3]
 
Mbaya zaidi sasa hivi nchi inaongozwa na mwanamke, bunge liko chini ya mwanamke, wizara nyeti ziko chini ya wanawake, hebu jaribu kufanya figisu tuone
Ayo Ilikua enzi hizo mwanafunz nasoma, but mpk now ukileta maigizo Lazima nikufanyie figisu TU.

Maana nyie wanawake sometimes hamjui mnataka Nini wala mnasimamia nini😃
 
Sema the worst you did ni kumuharibia future, ungemuacha aolewe kama kweli unampenda na kumjali, you knew exactly kwamba you won't marry her and yet ukamzibia bahati yake

I feel sorry for her na what i can see huyo mchepuko atazeeka akiwa hana nyuma wala mbele
 
Mmmh Nyie kwenu Ni kiboko..mnapambania penzi lenu.....vipi Sasa hujawaza mchepuko kuuhalalisha japo bomani?maana umemwaribia tayari?
Tabia zake ndo kikwazo,

Kwenye ule Uzi wa Kwanza, nishajaribu Sana kumtuliza atulie ila anaishi maisha ya bongomovie. Afu ananichukulia danga.

Kwaiyo nilichoamua Ni usanii juu ya usanii, kanichukulia danga namimi namchukulia kahaba. Simuoi Wala nini mpk pale akili itakapomkaa sawa.

Kumwacha simuachi, akipata mtu nawavuruga anarudi kwangu.
Yaani Ni bampa to bampa mpka
Atakapobadilika akawa mwanamke Bora Kama wengine.
 
Mi na broo ilikuwa broo akishagonga demu ananipa namba ya demu na mimi nimgonge yeye anamuacha

Changamoto ilikuwa kupangua swali namba yangu umetoa wapi maana hapa ukimtaja broo mission failed
Mwanamke yeyote aliyesoma hapa atakuwa ameumia amekulaani kimoyo moyo mkuu 😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…