Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kawaidaWe umesoma sana bible..
Yani wapinzani wote wa kiimani wamebobea kwenye maandiko hadi basi
Nyumba kubwa ndo naiogopa ila huyo mwingine walaaaa Hastui.Ha ha ha...
Mchepuko wangu atakuchamba mpk ukate roho[emoji2]
Sasa si tayar kesha move on,Siibi namchukua mchana kweupe.. hata nikitaka alale kwangu week hashindwi.
Yule alikuwa wangu sema mambo ya shule tukawa mbali niliporudi akawa ameoa. Sasa hapo naiba nachukua halali yangu?
Sio kawaidaHapana kawaida
Ame move on wapiiSasa si tayar kesha move on,
uyo ulipaswa umpotezee umhurumie na mwanamke mwenzako iyo ndoa yake[emoji4]
Hutaki zilindwee?Ha ha ha...unalinda eeh au sio?
Umenichekesha kweli kwa hili padri au mchungaji alifukuzwaSio kawaida
Ukute hata ni Padri au mchungaki uliyefukuzwa
Ndo wapinzani wakuuUmenichekesha kweli kwa hili padri au mchungaji alifukuzwa
Ha ha ha...yanatokea Sana Ayo.Kisa chako kinafanana na changu. Mie pia nilitumia What's Web na kutengeneza chats za uongo kupitia What's Mock kuwafarakanisha wawili hao ili tu nibaki peke yangu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Huu ni waraka wa mtume Paulo mzeeKwani hii Cross examination ya wakili Peter Kibatala au ni waraka wa mtume Paulo lwa Waefeso?
Wamwaga maji wapo wengi sogea pande hii ya ziwani bro, asije kukupa magonjwa tu maana duh inataka moyo kula unapojua kbs kuna mtu ametoka kula hapo hapo, na inaonekana mkandarasi alipendwa kwa dhati kuzidi wewe Basi ndo hivyo akili ukawazidi woteYule mkandarasi angemuoa mi ningekua Sina changu Tena rafiki,
Sasa Yale maji ningekua namwagiwa wapi Tena jaman?[emoji848]