Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

We umesoma sana bible..
Yani wapinzani wote wa kiimani wamebobea kwenye maandiko hadi basi
Wapinzani wengi wa imani wamebobea ndi maana kuwashinda kwa hoja Ni KAZI Sana[emoji4]
 
Huyo ndio Basi Tena Yuko chini ya Jambazi sugu...asubiri mpaka achokwe amwagwe[emoji24][emoji24][emoji24]
Mi mbona mtu Safi Sana mkuu, maana sijawai iba Cha mtu[emoji2]
 
Siibi namchukua mchana kweupe.. hata nikitaka alale kwangu week hashindwi.
Yule alikuwa wangu sema mambo ya shule tukawa mbali niliporudi akawa ameoa. Sasa hapo naiba nachukua halali yangu?
Sasa si tayar kesha move on,
uyo ulipaswa umpotezee umhurumie na mwanamke mwenzako iyo ndoa yake[emoji4]
 
Sasa si tayar kesha move on,
uyo ulipaswa umpotezee umhurumie na mwanamke mwenzako iyo ndoa yake[emoji4]
Ame move on wapii
Daily kujiliza utadhan hajaoa.
Namla chukuchuku
Simuachii ng'ooo
Uzuri interest zangu ndo zake
Kule wako tofauti sana ki hobbies na mengine.
Atahurumiwa na mama yake ila sio mimi.
Me mbona sihurumiwii??
 
Kisa chako kinafanana na changu. Mie pia nilitumia What's Web na kutengeneza chats za uongo kupitia What's Mock kuwafarakanisha wawili hao ili tu nibaki peke yangu. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe ni mbinafsi pro max humuoo ila ukamuharibia anaetaka kumuoa,, ila furaha haipatikani kwa mbinu za kiparoko lazima uipiganie
 
Wewe ni mbinafsi pro max humuoo ila ukamuharibia anaetaka kumuoa,

Yule mkandarasi angemuoa mi ningekua Sina changu Tena rafiki,

Sasa Yale maji ningekua namwagiwa wapi Tena jaman?[emoji848]
 
Kisa chako kinafanana na changu. Mie pia nilitumia What's Web na kutengeneza chats za uongo kupitia What's Mock kuwafarakanisha wawili hao ili tu nibaki peke yangu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha...yanatokea Sana Ayo.
Kama alivosema mkuu Noelia , furaha haipaswi kupambaniwa kiparoko.

Mwanaume Lazima uvae silaha zote uingie vitani upambanie furaha yako[emoji4]
 
Yule mkandarasi angemuoa mi ningekua Sina changu Tena rafiki,

Sasa Yale maji ningekua namwagiwa wapi Tena jaman?[emoji848]
Wamwaga maji wapo wengi sogea pande hii ya ziwani bro, asije kukupa magonjwa tu maana duh inataka moyo kula unapojua kbs kuna mtu ametoka kula hapo hapo, na inaonekana mkandarasi alipendwa kwa dhati kuzidi wewe Basi ndo hivyo akili ukawazidi wote
 
Back
Top Bottom