Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Kiukweli huyo ni msukule wa kihindi alitumwa kuleta zile pesa na mdogo wake, amini hivo
 
Huu mwandiko si wa mtu mwenye ' digrii' nakataa katu katu[emoji21][emoji21][emoji21]
 
Kuna jamaa yangu amejenga hotel yake dodoma kali tu vyumba 10 na lowest ni chumba cha 55,000/=, na jamaa mwili wake ni mdogo mdogo hivi...basi juzi walikuja watu wa ccm kwenye teuzi zao wakafikia pale, kama bahati na jamaa yangu alikua pale hotelini kavaa pensi na tshirt anatoka nje tu akaitwa na wale watu wa ccm wakamuita jamaa wakamuuliza hii hotel ni ya nani (design kama walikua wanabishana) jamaa akasema yake, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakampa mitusi wakajua kalewa ameleta utani wakamfukuza na kumfukuza pale....basi mwamba akasepa, wakamuita receptionist wakamuuliza akawajibu vile vile, ghafla meza ikapoa na utulivu ukaja, kibaya zaidi wakamuona mwamba anatoka zake na BMW lake X6....
 
Hao huwa wanatumwa ku deposit hela za maduka makubwa au ya jumla wala sio matajiri. Kama unaenda sana benki utawaona wengi tu hata waswahili usitishike mkuu wametumwa hao.
Watu wa hovyo hovyo wanaodeposit hela zao kabisa kabisa wako Makete

Wakinga balaa bwana, kuna kazee ukikakuta dukani kwake kanakula viazi vya kuchoma, hata supu kanaona anasa

Kakipeleka pesa benki kanabeba kwenye rambo lakini kwa mtazamo wa nje huwezi kukadhania

Wakinga/wabena wengi hawafanani na pesa yao
 
We jamaa hukomi tu, kujimwambafai[emoji15][emoji15][emoji15][emoji86]

scorpio me kuna mtu anakuchokoza bado[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji2772]
 
Onana na PA wangu Millenium Tower floor ya 10 atakupa ratiba yote.
Asaaa mkuuu itabidi ufanikishe swala langu la kukuchukulia poa na hela zakoo za mawazo nipe ratiba yakoo
 
Tangu wafukue uzi wako sikuamini tena

Kwani Cammision ndio kitu gani?
 
Mkuu mpe hai huyo jamaa nwenye 7mil kwenye simu,nwambie anitafute nijue siri ya urembo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…