Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Hahahaa kmmk
 
Kama huhitaji ndoa sawa lakini kama unaitaka dah utasubiri sana(sisemi hutaolewa ila unaweza kuchelewa)[emoji23]
Asante Bro kwa maono .
Ntakuja kukuprove ASAP
 
Hahaa
 
Sasa kama hata uyo wa kupata wapi namba hayupo ntafanyaje[emoji15]
Mimi wanajua nachagua sana kumbe walaa basi tu napenda ustaarabu,mwanaume anaeandika bac,xaxa,kwio ake sitaki kabisa bora niwe mtawa[emoji2]
Mimi siandiki hvyo naomba nikupeleke Kilimanjaro ukamuone mama yake Papaa007
 
Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…