Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati mwingine sisi tunaotumia majina yetu halisi tunashindwa kuchangia mada kama hizo. Ngoja nitunge account feki niwe najilipua nayo
Hapo kwenye kuchukua namba ndio alitimbanga dogo. Alitakiwa ajifanye kama hamjui vile. Ata demu angejileta jamani kaka samahani kwa yaliyotokea jana, angemjibu jana? kimetokea nini?Ulichukua namba kwa malengo gan? Kama ni kuanzisha nae mahusiano ya kudumu hakufai huyo siku ukiyumba siyo wako
Dah hiii Safi Sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.
Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka...
Mbona huu mwandiko sio wa mtu aliyewahi kusoma PhD labda tu awe anabobea katika fani ya kubeti.Dah mkuu umenikumbusha mbali sana, nlikua na mwanangu afu na ana mshkaji flan mtumishi wa halmashauri, suju moja mwana kaniambia tukutane chako...
Hahahaha, dahMbona huu mwandiko sio wa mtu aliyewahi kusoma PhD labda tu awe anabobea katika fani ya kubeti.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ulidhani ni Nida huku au sio
walivyojichekesha ukarespond vipi?Mi kuna mwaka flani nilipewa promotion kwenda kuwa branch manager mkoa flani. Sasa sabab nilikua bachelor nikauza vitu vyote nikabaki na mabegi ya nguo nikapaki kwenye ndinga nikaamsha. Nikafika mkoani mida ya sa 9 na mafuta yalikua yamekaribia kuisha nikasema nikachomoe mpunga kwenye atm ya hiyo bank ninayofanyia kazi. Nilivomaliza kutoa hela na muda wa bank bado nikasema niingie kumsalimia branch manager aliyepo maana tulikua tunafahamiana. Ile kuingia reception mdada mmoja matata sana ndo yupo pale na pembeni kaka jamaa mwingine..nikamsalimia akaitika vizuri tu,nikamwambia naomba kuonana na meneja..akainua macho kuniangalia...akanambia sema shida yako...nikamwambia shida yangu ni personal,akasema huwezi kumuona ..tena kwa madharau. Na yule jamaa wa pembeni akaniangalia akaendelea na ishu zake.Nikamwambia basi sawa ntampigia simu,akanijibu kwa kejeli kumbe namba yake unayo...yule jamaa wa pembeni akacheka..nikasepa nikaenda kuchkua hotel. Jion nikamcall meneja nikamwambia nipo nishafika akafurahi sana maana kama nilimsurprise na skumwambia kama nilifika ofisin. Jioni akanitafuta tukapiga vyombo huku akinionesha machimbo. Kesho yake asubuhi kwenye morning talk akawaambia staff meneja mpya kashafika atakuja mchana kuwasalimia. Mchana wake nikaibuka... Hahahahaaaa basi wapenzi wasikilizaji mtamalizia wenyewe kilichofuata.
Kisa cha pili ni sehem nilipoenda kupanga room maana sikua na familia na vitu niliuza so nikazama kama ninja...wakawa na madharau yao mi sina time nao mpaka wamekuja kujua badae sana ndo wanajichekesha maana hata gari nilikua silazi pale hapakua na parking.
Mkuu, unamaanisha ki NGO kilikufa tangu 2015??It was a suprise kwangu.
Jirani yangu aliokuwa wanajifanya ni Boss wa Ikulu mtaani muda wote kanuna na miwani yake mieusi alikuja kunihudumia Chai Ofisini kwa Mama Salma Kikwete wakati wa WAMA, kumbe Alikuwa Office attendant pale tena wale wa oya oya na mie na wenzangu tulienda kupeleka project paper ya ki NGO chetu ambacho ni Hayati kwa sasa kuanzia 2015.
Yeah maana huwezi jua nani atakusaidia kwa wakati gani.......ni wachache wanalitambua hilo,ila tuliozoea kutembea sehemu mbalimbali ktk kusaka maisha,tulilijua hili mapema sana.....unafika sehemu hujui pakuanzia ila ghafla unasaidiwa na mtu ambaye hukuwahi kutegemea
Yes, imenitokeagaKwanza naomba 'nidiclee' kwamba mm ni mmoja wa ME ambae si mtu wa fashion, yani mimi sijui kuvaa kabisa na sina hiyo passion ya pamba pamba. Nishawahi kusemwa sana na ma-ex wangu kuhusu uvaaji wangu lakini haikusaidia kitu...
kwa hiyo hapo ulipo una PhD mkuu?kwa uandishi huo?Dah mkuu umenikumbusha mbali sana, nlikua na mwanangu afu na ana mshkaji flan mtumishi wa halmashauri, siku moja mwana kaniambia tukutane chako, mitaa flan Dom, akaja na yule mwana, tukapiga misosi na story wakapotea, kumbe jamaa aliona mimi mrugaruga flan hivi sistahiki kamapani yao. Akamchana mwana kwa text kwamba amsindikize maeneo wakasepa ili kunikataa! Njiani akamwambia yule mpuuz anakuaje rafiki yako? Jamaa akamwambia mwana anapiga PhD afu ana geto mbili mjini hapa...heshima tangu siku hiyo
😂😂😂😂😂😂Wakati mwingine sisi tunaotumia majina yetu halisi tunashindwa kuchangia mada kama hizo. Ngoja nitunge account feki niwe najilipua nayo
😂😂😂😂😂kwa hiyo hapo ulipo una PhD mkuu?kwa uandishi huo?