Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Hahaaaaaa utakuwa mnyalukolo wewe, nyoronyoro[emoji16][emoji16]
 
Mkuu tunasubiri muendelezo
 
story haijaisha hiyo, alivyokupa mawasiliano ikawaje sasa?
mbona unaishia njiani?
 
Ulifanya LA maana
 
Usije ukamla kimasihara tu maana, inaonekana hushindwi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kha una roho [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.

Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka...
?
 
Kuna dada mmoja alinizungusha sana karibu miezi minne sijapewa nyau hadi nikazira nae akaona afadhari akanipotezea. Kazini kwake ikaletwa pisi moja ambayo niliielewa zaidi yake. Siku moja nimekutana nao wote wawili akanitambulisha kwa hiyo pisi kama mimi ni ex wake, moyoni nilifurahi kwa kupata uhuru wa kuishushia madini ile pisi ngeni. Nikawmwomba niwapeleke lunch akakubali (ilikuwa ndo mara ya kwanza amekubali nimpeleke out) kule nilifanya matumizi ambayo yalimfanya yeye mwenyewe aanze kujilegeza wakati huo mimi akili yangu imeshavurugika juu ya yule mgeni. Nilipata muda wa kuomba namba kwa mgeni nikapewa, hakunisumbua sana weekend iliyofata nikaanza kumkula ile kitu. kichekesho ex akaanza kujilleta, sikumwacha nikamkula, sasa eye ndo akawa mchepuko huku mgeni ndo mwenye mali hadi leo. Tukikutana sometimes huwa anajilaumu kunipiga kalenda nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…