Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Mimi ilishawahi kunikuta wakat tupo chuoni kuna manzi mmoja hostel alikuwa ananichukulia mm nyoronyoro bwana ikatokea scenario nimetembelea room kwake yupo down sana bac ktk kumfarijifariji bwana tukazama deep sanaa

matendo yakikubwa yakatokea (friend match) nilimpelekea bakora za moto sanaaa yaan dogo alilalamika sanaa unagusa mfuko wa uzazi baasi kuanzia siku iyooo hakunichukulia poaa tenaa .

Hope sijatoka nje ya maada
Hahaaaaaa utakuwa mnyalukolo wewe, nyoronyoro[emoji16][emoji16]
 
niliingia duka la nguo nkiwa nmeloa vumbi yani nlkua nmetoka mgodini af kama abiria wa pikpik (so nltaka nbadlishe nguo niwe safi niendelee na mambo yangu.
duka kubwa tuu safiii nkamkuta mdada sasa kila nkishika kiatu nkiuliza bei ananambia angalia kwe soli kwa sauti na jicho la dharau nkishika jins somtym hata bei haniambii nkakasirika nkaondoka sasa nkawa nmesimama pembeni ya dukalake najishauri nianzie wapi tena ghafla mwenye duka na ambae tnafahamiana maana kila nkitoka huko napitiaga pale kuchukua nguo za kubadilisha so ananielewa vizur tuu hata kazi yangu anaijua akaniuliza F vipi nkatiririka yote nkamwambia icho kidem dukan kwako kinadharau ataree ad nmesusa kukuchangia jamaa aljiskia vibaya na aibu sana kumbe ni mkewake
tukaingia ndani akannunulia na chips nkamuungisha tena na discount af30 na akanisindikiza hadi gesti....
skuizi nkiendaga nampigia cm kumuuliza kamayupo dukani kama hayupo siendagi

nyingine nliendaga kueka ela bank kila nkikabidhi ile karatasi mdada wa dirishan ananambia akisomeki mwandiko mmbaya kama ×2 ivi nkamwambia em npe ela zangu nkaenda kwa meneja ni mshkaj wangu sana tunafanana tabia nkaweka ila nlimwambia huyu mfanyakazi wako hadi nmkule ila sjamla maana sio mzuri kufananisha na nnaokutananao

kuna trafki morogoro alkua anapenda sana kunikamata yani akiiona gari tu af ni wakike......ITAENDELEA [emoji16][emoji16][emoji12]
Mkuu tunasubiri muendelezo
 
story haijaisha hiyo, alivyokupa mawasiliano ikawaje sasa?
mbona unaishia njiani?
 
Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.

Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka.

Sasa ile natoka nje nikazikuta ziko bize zinajisnap kwenye gari niliyokua nayo, hiii bagoshaaa, mbona walikoma kunijua.

Nilianzisha zogo la maana makusudi kabisa, nikaita mpaka uongozi wa pale nikawaambia wawaambie wateja wao wafute picha zote walizopiga gari yangu otherwise niite Askari pale obey waniambie Wana lengo gani na picha za mkwaju wangu?
Ulifanya LA maana
 
Usije ukamla kimasihara tu maana, inaonekana hushindwi
Tokea hii itokee zimepita Kama wiki tatu hivi....

Baada ya kumaliza chuo huku ajira zikiwa ni ndoto za Abunawasi Kama sio Alinacha, mzee wangu aliamua kunipiga tafu ili tusije kulaumiana huko mbele. Alifumba macho akavunja kibubu akanunua trekta jipya "Massey Ferguson 275" likiwa na tela pamoja na majembe yake halafu akanikabidhi funguo na kadi na kuniambia Kama ninataka mali nitazipata shambani..!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kha una roho [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.

Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka...
?
 
Wadada tunafeli Sana kushoboka na handsome boys, smart with six packs na kupishana na magari ya mshahara halafu tukijigundua tumebugi tunaanza kujilegeza kujichekesha na kujitongozesha, mwishowe ni kudharauliwa kushusha thamani nk,

Mi huwa sibadili msimamo Kama sijakuelewa nakukataa tu kiroho safi ikitokea nikajua status yako iko njema sishoboki najiambia si bahati yangu acha apite tu
Kuna dada mmoja alinizungusha sana karibu miezi minne sijapewa nyau hadi nikazira nae akaona afadhari akanipotezea. Kazini kwake ikaletwa pisi moja ambayo niliielewa zaidi yake. Siku moja nimekutana nao wote wawili akanitambulisha kwa hiyo pisi kama mimi ni ex wake, moyoni nilifurahi kwa kupata uhuru wa kuishushia madini ile pisi ngeni. Nikawmwomba niwapeleke lunch akakubali (ilikuwa ndo mara ya kwanza amekubali nimpeleke out) kule nilifanya matumizi ambayo yalimfanya yeye mwenyewe aanze kujilegeza wakati huo mimi akili yangu imeshavurugika juu ya yule mgeni. Nilipata muda wa kuomba namba kwa mgeni nikapewa, hakunisumbua sana weekend iliyofata nikaanza kumkula ile kitu. kichekesho ex akaanza kujilleta, sikumwacha nikamkula, sasa eye ndo akawa mchepuko huku mgeni ndo mwenye mali hadi leo. Tukikutana sometimes huwa anajilaumu kunipiga kalenda nyingi.
 
Back
Top Bottom