Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Kwa nje yukoje?
 
Yote tisa ulimtafuna?.Km Mwanaume,mwanamke akikuletea shobo za hivyo muonyeshe kuwa wewe ni level Zingine.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Umeona eenhh?!!.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Upo sahihi kabisa mkuu,
Binafsi mimi niliwahi kuunganishwa na matajiri na wenyw vyeo kupitia watu wa kawaida mno ambao binafsi huenda nisingekaa nionane nao au wanifahamu.

Niliwahi gundua kwanini matajiri wanawaheshimu watu wanaonekana hawana kitu ni kwa sababu baraka za watu wengi ziko kwa watu ambao huwadhanii!
 
Chai hii
 
Mkuu hapa sijaelewa. Kumbe ukiijua mitaa ya Daslam nayo heshima kubwa hivi?
 
Dakika 10 anakutazama tu. That's too much my nigga!! I can't take it anymore.
 
Kabla sijawa jobless wa kitaa kuna kazi nilikuwa nafanya kwenye NGO fulani sasa kuna siku tulikuwa na kikao na viongozi wa mkoa. Nilipofika kwenye ukumbi wa mkuatano nilikuta kuna washkaji kutoka ofisi ya mkoa wamekaa nikawapa salamu wakaitikia ila dharau flani hivi ( niliwahi ili kuweka mambo flani sawa hapo ukumbini kumbe na wao waliwahi nadhani kungalia mambo ya Security) walikuwa wanajiskia kinomanoma. Mkuu wa mkoa akafika na viongozi wengine nikawa nasalimiana nae kishkaji sana wale jamaa wakabaki wanashangaa nadhani walifikiri kuna mtu mwingine ndo ataendesha kile kikao ajabu wakakuta ni mimi naendesha kile kikao. Ulipofika muda wa kuwasainisha zile posho zao wakaanza kuleta shobo za kinafki ila niliwakaushia tu kuonyesha ushkaji, from there mambo yangu yaliyohitaji sapot kutoka ofisi ya mkoa yalikwenda fresh sana maana jamaa waligeuka washkaji sana. Sema now nimekuwa jobless ila tukikutana wananiita mkuu hawajui tu kuwa nimeshakuwa jobless wa kitaa sina lolote
 
Life goes on
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…