Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Umenichekesha kama ninakuona mkuu.pacha wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenichekesha kama ninakuona mkuu.pacha wangu
Mwaka 2014 nilipanda kivuko kuelekea kigamboni, pembeni yangu alikaa mtoto mzuri kama mwarabu fulani hivi ana kishepu cha maana kweli kweli, nika msalimia akakausha nikarudia tena mara ya pili akaitikia kinyonge kwasababu ya mwonekano mijdevu, nywele hazijachanwa suruali jeans na tisheti form six chini kiatu tlavotaKwanza naomba 'nidiclee' kwamba mm ni mmoja wa ME ambae si mtu wa fashion, yani mimi sijui kuvaa kabisa na sina hiyo passion ya pamba pamba. Nishawahi kusemwa sana na ma-ex wangu kuhusu uvaaji wangu lakini haikusaidia kitu.
Sasa weekend iliyopita nilienda sehemu moja flani hivi amazing, chimbo la uhakika haswaa, limejitenga na limetulia kweli. Nilipigilia kipensi changu na ka t-shirt flan hivi local nikachagua sehem nikakaa, kutizama vizuri nikaona kuna meza amekaa mdada mmoja hivi and of coz she is gud looking nikaamua kujitosa angalau kumpa hata hi 'coz tulikuwa wateja 2 tu, nikamfata nikamsalimu.
Yule dada kwanza alinishusha kuanzia juu mpaka chini then akaitikia salamu yangu ki-design kama namsumbua flani hivi. Nikaomba kujumuika nae kama asipojali. Jibu lake ndo lilinitoa confidence kabsa, alinambia: "Kwahiyo kaka unadhani kila msichana akikaa peke yake anahitaji kampani? Hapana sihitaji" Dah, mwanamme nikajizoazoa pale nikarudi nilipokaa. Nilikaa kama masaa ma3 hivi nikaamsha zangu. Sasa kilichotokea jana ndo kimenifanya niandike huu uzi.
Nilipokea maagizo kuanzia J3 ya wiki hii kuwa leo watakuja watu wa Taasisi flani ya kifedha kutoa semina kwa sisi wafanyakazi kwa ajili ya kutushawishi kujiunga na huduma za Taasisi yao, hivyo mimi nikapewa jukumu la kuwakaribisha na kuwapeleka sehemu ambapo semina itafanyika.
Asubuhi mida kama ya saa 3 hv ugeni ukafika, walikuwa watu kama 7 hivi, kati yao alikuwepo yule dada nilieonana naye weekend.
Wakaingia ofisini nikawakaribisha, wakati mkubwa wao anatoa introduction macho nikayakaza kwa yule dada, bahati nzuri tukagonganisha macho, akashtuka flani, nikajua kashanikumbuka.
Baada ya semina kuisha ikafika kipindi cha watu kujiunga sasa kwa walioshawishika. Nikamfata yule dada nikamuomba aje anielekeze namna ya ujazaji fomu. Alivyofika tu, nikamuuliza "Unanikumbuka?" Akachekaaa, akaniambia "Yani wewe, sikutarajia kama unaweza kuwa unafanya kazi huku", nikamuuliza ulitarajia niwe nafanya kazi wapi? Akaishia kucheka tu. Mawasiliano yake kanipa; fresh bila shida kabisa.
Sasa naomba kuuliza wadau, mshawahi kukutana na situation ya namna hii?
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.
Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka.
Sasa ile natoka nje nikazikuta ziko bize zinajisnap kwenye gari niliyokua nayo, hiiiiiiiiii bagoshaaa, mbona walikoma kunijua.
Nilianzisha zogo la maana makusudi kabisa, nikaita mpaka uongozi wa pale nikawaambia wawaambie wateja wao wafute picha zote walizopiga gari yangu otherwise niite Askari pale obey waniambie Wana lengo gani na picha za mkwaju wangu?
😀😀😀😀😀Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.
Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka.
Sasa ile natoka nje nikazikuta ziko bize zinajisnap kwenye gari niliyokua nayo, hiiiiiiiiii bagoshaaa, mbona walikoma kunijua.
Nilianzisha zogo la maana makusudi kabisa, nikaita mpaka uongozi wa pale nikawaambia wawaambie wateja wao wafute picha zote walizopiga gari yangu otherwise niite Askari pale obey waniambie Wana lengo gani na picha za mkwaju wangu?
Lucy....Mwaka 2014 nilipanda kivuko kuelekea kigamboni, pembeni yangu alikaa mtoto mzuri kama mwarabu fulani hivi ana kishepu cha maana kweli kweli, nika msalimia akakausha nikarudia tena mara ya pili akaitikia kinyonge kwasababu ya mwonekano mijdevu, nywele hazijachanwa suruali jeans na tisheti form six chini kiatu tlavota
Nikamuomba namba akaniuliza wewe unaona mimi ni saizi yako! nikamjibu nisamehe.
Baadae mwaka 2014 mwishoni nilikuwa nahitaji mtu wa manunuzi kwa mkataba wa miezi 6 katika project yangu kati ya watu 45 walio apply kuomba hiyo kazi mmojawapo nilimfananisha nayeye.
Niliwaita watu wa tatu na huyu niliye mdhania akiwepo kwaajili ya interview hakuamini alichokiona maana aliponiona alinikumbuka maana ilikuwa ni miezi kama mitatu imepita.
Walifanya interview lakini yeye hakukidhi vigezo hivyo hakupata kazi,
Na alinifuata personally kuniomba radhi na kunishawishi nimpe kazi kwani ana miaka miwili bila ajira sikuweza kupata nafasi.
Mpaka sasa sikuweza kuwasiliana naye tena ingawa mwaka 2017 alikuwa akinitumia sms za salaam kiukweli sikuweza kumjibu mtu akitweza utu wangu huwa nampuuza jumla
WADADA ACHENI MAJIVUNO
[emoji16]Mi kuna manzi mmoja katika harakat za kusaka tonge ikatokea tuna mawasiliano na yalikua strictly kikaz zaid cz wao walikua na ma distributor wa products flan hiv za security na mi nikawa moja ya wateja wao.
Sikua namjua kiundani na mawasiliano yetu yalikua nadra sana ile kikaz kaz na mazoea kwa mbaaaali.Status zake watsap na view na yy zangu anaziona.Kwakua napenda muzik basi alikua ananikosha kwa baadh ya vi clip anavyotupia mara moja moja sana navi comment.
Siku moja nikawa sina ishu kabisa job na niko bored na bahat mbaya sana akaweka status ilonivutia basi kama kawaida nika comment (yy zangu huwa ha respond japo hizo mara moja moja sana naziweka) basi aka respond finaly tukaanza kuchat.
Tukachat mara ujinga ukaingia humo ndani na u cant believe siku hiyo hiyo nikamgonga mzigo vizuuri tu kiroho safi.
SASA iko hiv,
Ofcz mm nilimchukulia poa kumbe hayuko hivyo.Anajimilikia ka usafir kake mwenyewe kazur tu (mi zangu daladala so mpaka nampanga akajaa nikajua na yy wa level zangu [emoji16][emoji16][emoji16]). Mida tunakutana ndio nikalijua hilo,nikapiga mzigo na kwa aibu nikamshikisha 40k ila manka yule akazikataa kata kata.Nikaona oohoh leo nimepima vibaya kumbe na yy akanichukulia mambo safi hela ninazo asijue mimi ni bahili kishenzii [emoji23].
Sikua na mpango na game tena na yy akanitengenezea mazingira next week yake nikagonga tena.Ohoooh sijui alijua na leo nitapanda dau tena!!!!???. WAPII.
kesho yake akapiga mzinga nikachomoa..
Week ijayo yake akani set tena Shi 100 mfukon sina.
Kwa mara nyingine akani text "leo ninw hamu kitimoto, ningepata kilo 1 jion yangu ingeisha freshi." Nikaona isiwe kesi nikamtumia 5000- elfu 5 [emoji4] bila ya kutoleo.AKANIPOTEZEA MAZIMA hata message za kikazi hajibu tenaa..
Baadae saaaana huko akajaga ni text, HUENDANI KABISA NA UNAVYOONEKANA. WW BAHILI SANA.
Kwa kifupi alinichukulia nina hela kumbe njaa tu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
View attachment 1551569View attachment 1551569
Nimecheka kindezi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Mm miaka hii nimeanzisha michezo ya kizungu. Nikiwa na mihadi na mtu nionane nae namuelekeza aje sehemu ya kulia chakula hotel kubwa kubwa nikifika kule naagiza kisosi kidogo cha mboga za majani au kikombe cha maziwa na yai moja la kuchemsha hapo najua hata 10K haifiki. Mda huo chai inachemka nachukua sim naanza kuchambua timu za kubet huku namsubiri best yangu aje. Basi wahudumu wanajuaga huyu jamaa mnyamwezi au kaishi sana mbele, kumbe nawaangalia wazungu Instagram alafu naigiza.
Mkuu tuelezane kidogo. Wewe ni meneja??[emoji848]Kuna siku nipo nilikuwa sina kazi nyingi ofisini nikatoka nje hivi nikamweleza PA wangu nipo nje nachukua Juice Fresh kutoka nje kuna gari limeingia Parking kwa speed kidogo liniingie miguuni jamaa hawakuwa na hekima walinitusi Mpuuzi wewe...nimerudi Ofisini naambiwa na PA wangu Meneja kuna wageni wako nikawaruhusu waingie nakuta wale jamaa walionitusi nikawakaribisha na sentensi fupi 'Karibu ABSA' wanageuzageuza nyuso zao hawajui waanze vipi.
Hebu tupia kapicha tuoneMie sio bishoo mkuu ila nina Code za Ki Bro!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanaume mnatuchora sana wadadaMwaka juzi natoka kijijini nkafika himo pale nikakuta nyomi ya abiria, nkapanga nichukue vichwa au la maana kuna siku nilichukua abiria aisee alinitesa sanaa, yaani gari ikifika speed 100 ni anaongea adi napunguza mwendo afu alikua mmama, na abiria wenzie wakawa wanamsapoti na mi napenda speed kali,
Nkapaki gari nkaenda kuzurura kuangalia mazingira nikinunua na mahitaji mbalimbali, nkaona mabinti wa3 wamekaa kinyonge baada ya kukosa usafiri na ni saa sita mchana, nkaenda kuwasalimu huku nawahoji vimaswali vya hapa na pale wa2 wakadharau ila yule mmoja akawa ananipa ushirikiano kiasi lkn mwenzie akamwambia kwa kilugha "achana na hilo limtu njoo tuongee mambo ya maana" (nilikua nmevaa ovyo tu na nguo chafu kidogo maana nilitoka porini) hapo wanalaumiana kwanini hawakwenda kupandia gari moshi mjini...
Nkamaliza kununua mahitaji yangu nkaenda washa gari nkawafuata nkamwita yule mmoja alieonyesha ushirikiano akaja nkamwambia mna sh ngapi niwapeleke dar, akasema wana elfu15, nkawaambia ungeni iwe 50 tuende wakafanya hivyo japo kwa aibu na shikamoo wakanipa[emoji23][emoji23][emoji23].
Njiani wanaongea kilugha japo sio cha kwetu kabisa ila nawaelewa sana, hapo wananiteta kiana huku wakilaumiana pengine ningewapunguzia kama wasingenidharau... Waliuliza kabla kama najua kilugha nkawadanganya mi mchaga lakini sijakulia wala kujua hiyo lugha zaidi ya salamu tu
Nkafanya makusudi nkapiga simu kwa jamaa ninaemwazima gari "oyaa mshua vipi, nipo njiani saa 3 ntakua dar nakuletea gari yako" kuskia ivo ndio wakaanza kuniteta tena nawachora tu.
Pale segera nkadakwa na trafiki kwa speed, wakati nawabembeleza nkawaambia sina kitu hii gari ilikua mkoani imeharibika mwenye nayo kaniomba niirudishe dar akaomba kadi ya gari kusoma na leseni akasema unadanganya? Au na leseni ya mwenye gari? Hayo yote walikua wanaskia, nkamalizana nae nkampoza elfu 5 akauliza hao kwenye gari ndugu zako nkamwambia hapana, akasema aliekaa mbele nimemuelewa, akaniambia zuga kidogo nichukue namba akaenda kaongea nae kachukua namba nkarudi kuendelea na safari.
Nkaskia wanaambiana "kumbe ikari li la kajamaa ka, keusani nalo hata ku" mmoja akajibu "tra isarau vandu utevaishi" alimaaninisha kumbe hili gari la haka kajamaa, wala hafanani nalo, mwenzie akamjibu, acha kudharau watu usiowajua.
Kufika dar heshima debe, kumbe walikua wanachuo niliwapeka adi UDSM,
Pisi moja niliielewa kesho yake nkala mzigo baada ya hapo anataka kunifanya kitega uchumi kanijazia mzigo wa shida zake nkampotezea.
Wanawake wanapenda readymade kinomaHii hali wahanga wakubwa ni WANAWAKE NA ZILE NJEMBA ZINAZOISHI KIBISHOO MJINI.
Kwangu imewahi kunitokea mara 2 lkn hapa nitaeleza hii moja ambayo imepelekea kumpata huyu mama wa watoto wangu.
Mwaka fulani nikiwa zangu DASALAMA nilikuwa nina tabia ya kwenda kisuper market fulani kupata bidhaa za hapa na pale, sasa kulikuwa na mhudumu mmoha nilimwelewa saaaaaaana, nikajaribu kumsemesha lkn wapi, na hata uvaaji wangu kwa kweli haurudhishi nywele mtihani kuchana, ndevu kama brash ya chachandu, lkn pia kila nikienda huwa nilikuwa naenda na pikpk yangu Boxer, nilimfukuzia yule manzi kama miezi miwili na nusu na sikupata hata namba yake. Mwisho ikawa nikienda pale namsalimia nanunua vitu niwezavyo kwa 30k yangu ndukiiii. Ukapita mwezi bila mm kutokea pale, nyuma huko ile PISI ikaacha kazi yake nami nilikuwa sijui, ikatokea siku moja yule pisi amekuja kwa ajili ya ishu za biashara yake ofisini kwetu. Lahaulaaaaaaa anayemuona anazunguka kwenye kiti ni mimi na nina mamlaka kidogo ya kumtuma mtu na akatii, ile pisi kwanza ilishtuka mm kuniona pale, mi nkaona isiwe kesi nikateremka chini ili niende zangu pata lunch, ila nimefika mapokezi nikajisahau napiga soga na dadaetu wa pale mapokezi ile ikawa inateremka ngazi ikanikuta pale down, akanisalimia nikaitikia akaniambia samahani kuna kitu nimesahau atarudi ili tuongee, mi nkasema fresh huku nikiondoka nje kabisa ya ofisi na kuwasha gari yangu kaliii, yule dada akaniwahi kuomba lift mi nkampatia na sikutaka kabisa mazoea sijui ya kuulizana ilikuwaje wala nn, sikutaka kumpa hata nafasi hiyo nikambwaga alipotaka mi nkaenda pata BIRIANI fureeeesh. Sasa nilivyorudi yule demu akakoma lazima nimuhudumie mm, akalazimisha mi nkamhudumia akaomba no yangu tangia hapo nimemzalisha watoto 2.
Ha ha haHuu uzi fix zmekuwa nyingi saaana
Watu ni kujimwambafai mwanzo mwishoo
Hamna tofaut na uzi wa kula tunda kimasikhara kila mtu anajikuta joker
Dadeki zenu acheni fix
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HaahaaSo anajuta kua kapoteza nafasi ya umarioo?
Nawe ni " meneja" mkuuKuna kipindi nilikuwa nafanya kazi kampuni flani.Basi siku hiyo ninetoka kufanya mazoezi ya kukimbia kama kawaida yangu asubuhi.Halafu kipindi hicho mvua ilikuwa imenyesha usiku,Sasa ninerudi pale kazini nikawa nipo napiga story na walinzi zile raba na track zimechafuka balaa.Wakaja wadada wawili na boda boda mi nkaanza kuwasalimia kwa bashasha afu ndo nilikuwa naondoka kujipiga maji.Basi wale wadada wote walinipandisha kuanzia juu hadi chini wala hawakuitikia salam wakanipita wakaenda kwa walinzi,Basi mi nkaona noma nkaondoka zangu.Kumbe wale wadada wamekuja kumuulizia meneja wameleta barua za kuomba kazi na meneja mwenyew ni mimi.Nilivorudi walinzi wananambia wale wadada walikuwa wana shida na wewe wameacha barua zao za kuomba kazi.Nikasema mbona hawajanisubiri wakasema wameona aibu,jinsi walivokudharau.Kesho yake wakarudi kuomba nnamba zangu kwa walinzi mi sikuwepo nilienda mkoani walinzi wakanipigia nikawaambia wapeni tu.Kila mmoja akawa ananipigia kwa mda wake,na wote walichezea rungu ila kazi hawakupata walikuwa wangoni mmoja alidata hadi tukabahatika pata mtoto.
Yes ABSA TZ njoo Morocco.Mkuu tuelezane kidogo. Wewe ni meneja??[emoji848]