Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Kunasiku Weekend nilikuwa bored ukizingatia mama watoto wangu alisafiri kikazi LA nikafikiria kwenda sehemu locally nibarizi nikaona ni drive mjapani kutoka mikocheki Aim nipitie kufanya Shopping ya baadhi ya zaga ambazo nitazitumia nikifika ufukweni basi nikatoka nyumbani mikocheki mpaka Mcity nikafanya Shopping ile natoka napakiza zaga sindio nataka kufungua mlango niingie kwenye mpira mlinzi kanidukua akaanza kunidandia unataka kufanya nini gari la watu wewe mwizi nimepigwa nabutwaa namwambia Afande tatizo nini huu mpira wangu basi nikawaonesha Documents ndio wakaamini mimi nikaingia nawasikia aisee watoto wa washua mtoto mdogo anaPush Gari kama hii.

Walinikata moto wote ile siku nikarudi zangu Mikocheni kulala tu.
 
Kunasiku Weekend nilikuwa bored ukizingatia mama watoto wangu alisafiri kikazi LA nikafikiria kwenda sehemu locally nibarizi nikaona ni drive mjapani kutoka mikocheki Aim nipitie kufanya Shopping ya baadhi ya zaga ambazo nitazitumia nikifika ufukweni basi nikatoka nyumbani mikocheki mpaka Mcity nikafanya Shopping ile natoka napakiza zaga sindio nataka kufungua mlango niingie kwenye mpira mlinzi kanidukua akaanza kunidandia unataka kufanya nini gari la watu wewe mwizi nimepigwa nabutwaa namwambia Afande tatizo nini huu mpira wangu basi nikawaonesha Documents ndio wakaamini mimi nikaingia nawasikia aisee watoto wa washua mtoto mdogo anaPush Gari kama hii.

Walinikata moto wote ile siku nikarudi zangu Mikocheni kulala tu.
wasalimie hapo mikocheni mkuu
 
Binafsi huwa sipendi MTU anayependekeza salamu. Ujue salamu ni aina ya malipo ama kumnunua MTU moyo wake ili akusaidie kitu Fulani. Ina mana bila ya salamu husaidiwi.
MIE hata ukinipita bila ya salamu afu unarudi umepotea njia nakuelekeza kiroho safi na hata ukinisalimia kama kuninunua ili ndipo nikuelekeze MIE naipotezea salamu yako na kama Nina muda nakupeleka mpaka unakoenda.

Warusi ukiwauliza kitu afu wakakusaidia na ukiwashukuru wanaikataa shukrani yako kwa kuuliza ya nini iyo shukrani. Ina mana wako willing kukusaidia bila hata kuwalipa.

Sasa bongo ndipo utashangaa MTU anakomalia salamu utadhani itamuwekea chakula mezani.

Binafsi sipendi kusalimiwa naonaga kama ni utumwa Fulani yaani ni lazima usalimie kila asubuhi. MIE wangu aishanielewa hakuna salamu hata kama nikitoka kwa wiki nzima. Nikirudi unapita muda kidogo tunaanza story za huku home na huko nilikokuwa.

Wazazi wangu hawakuwa watu wa kudemand salamu kila siku asubuhi. Ilikuwa ni kuamshwa kuwahi shambani basis.
Mpaka umri huu huwa nikienda home salamu ni zile siku za ugeni wiki ikishapita hakuna salamu.

Pia siamini kuwa salamu ndio heshima.

Nina imani masikini anapenda sana salamu mana kwa njia hiyo anajisikia faraja sana anadhani naye anajariwa. Masikini ndiye anayetembelea ndugu zake waliofanikiwa na kuwaongelea na kuringishia watu. Kuwa usinidharau yule karibu mkuu ni mdogo wangu nimemsomesha MIE. Ni kama Mwita weitara akasomeshwa na kaka yake aliyekuwa nauza mayai hapo kipunguni saivi sijui wanakaa kivule.
Ni mfano tu nimetolea hapa kwa karibu mkuu.

Salamu ni muhimu ila isiwe lazima jamani .yaani kuna watu wanaifanya kuwa basic needs kwao.
Binafsi nikiwaga home kwetu huwa siishi kwa furaha mana kila unayepishana naye yabidi u pay attention kwake na umpatie salamu tena usimame mpige story kidogo.sasa ole wako uje upite usalimie ukipunga mkono nakuambia ,Fulani anaringa kisa akasoma ,ama ana Hela.

Ila nikiwa town salamu sio lazima naishi kwa Uhuru hakuna MTU anayejiliza kuwa umetupita bila ya salamu rafiki.

Binafsi kunyenyekea ama kunyenyekewa sipendi.

Haya shikamooni wana jf wote waliozaliwa 65 kurudi nyuma. Wa 66 mpaka 1990 mambo vipi. Waliozaliwa 90 mpaka 2020 mnipe heshima Yangu

Unadhani kwa salamu Umepata nini katika maisha yako hata nisingekusamia si ungebaki na shida zako zilezile ama kuna kitu kimeongezeka.


Binafsi I hate salamu ingawa ni opener ya maongezi. Kuna watu naowakubali sana binafsi unamuuliza MTU kitu anakujibu mwishoni unashukuru na kumpatia salamu yake unasepa. Watu wa ivyo huwa naowanga ni matajiri rohoni kwao ni matajiri rohoni mwao!!!!!


Mkuu umenigusa, Mimi sipendi salamu kabisaa. Na pia sipendi kuambiwa ahsntee , nikitoa msaada ukipiga kimyaa huwa nafrai ukinambia ahsntee Kwanza Mara nyingi sijibugi naweza chomekea kitu kukwepa kujibu ahsante yako.
 
Mmmh sijaelewa hapo she is gud looking,kama ulienda kwa swaga za broken hiv lazima akuzalau,
Pili hii hadith ya uongo maana kama hii nishaikita fb na mwalimi wangi interegecy alishawai tolea mfano kwemye somo la intramidial pre asumption
Kwanza naomba 'nidiclee' kwamba mm ni mmoja wa ME ambae si mtu wa fashion, yani mimi sijui kuvaa kabisa na sina hiyo passion ya pamba pamba. Nishawahi kusemwa sana na ma-ex wangu kuhusu uvaaji wangu lakini haikusaidia kitu.

Sasa weekend iliyopita nilienda sehemu moja flani hivi amazing, chimbo la uhakika haswaa, limejitenga na limetulia kweli. Nilipigilia kipensi changu na ka t-shirt flan hivi local nikachagua sehem nikakaa, kutizama vizuri nikaona kuna meza amekaa mdada mmoja hivi and of coz she is gud looking nikaamua kujitosa angalau kumpa hata hi 'coz tulikuwa wateja 2 tu, nikamfata nikamsalimu.

Yule dada kwanza alinishusha kuanzia juu mpaka chini then akaitikia salamu yangu ki-design kama namsumbua flani hivi. Nikaomba kujumuika nae kama asipojali. Jibu lake ndo lilinitoa confidence kabsa, alinambia: "Kwahiyo kaka unadhani kila msichana akikaa peke yake anahitaji kampani? Hapana sihitaji" Dah, mwanamme nikajizoazoa pale nikarudi nilipokaa. Nilikaa kama masaa ma3 hivi nikaamsha zangu. Sasa kilichotokea jana ndo kimenifanya niandike huu uzi.

Nilipokea maagizo kuanzia J3 ya wiki hii kuwa leo watakuja watu wa Taasisi flani ya kifedha kutoa semina kwa sisi wafanyakazi kwa ajili ya kutushawishi kujiunga na huduma za Taasisi yao, hivyo mimi nikapewa jukumu la kuwakaribisha na kuwapeleka sehemu ambapo semina itafanyika.

Asubuhi mida kama ya saa 3 hv ugeni ukafika, walikuwa watu kama 7 hivi, kati yao alikuwepo yule dada nilieonana naye weekend.

Wakaingia ofisini nikawakaribisha, wakati mkubwa wao anatoa introduction macho nikayakaza kwa yule dada, bahati nzuri tukagonganisha macho, akashtuka flani, nikajua kashanikumbuka.

Baada ya semina kuisha ikafika kipindi cha watu kujiunga sasa kwa walioshawishika. Nikamfata yule dada nikamuomba aje anielekeze namna ya ujazaji fomu. Alivyofika tu, nikamuuliza "Unanikumbuka?" Akachekaaa, akaniambia "Yani wewe, sikutarajia kama unaweza kuwa unafanya kazi huku", nikamuuliza ulitarajia niwe nafanya kazi wapi? Akaishia kucheka tu. Mawasiliano yake kanipa; fresh bila shida kabisa.

Sasa naomba kuuliza wadau, mshawahi kukutana na situation ya namna hii?
 
Hahahaha nimecheka sana
It was a suprise kwangu.

Jirani yangu aliokuwa wanajifanya ni Boss wa Ikulu mtaani muda wote kanuna na miwani yake mieusi alikuja kunihudumia Chai Ofisini kwa Mama Salma Kikwete wakati wa WAMA, kumbe Alikuwa Office attendant pale tena wale wa oya oya na mie na wenzangu tulienda kupeleka project paper ya ki NGO chetu ambacho ni Hayati kwa sasa kuanzia 2015.
 
Mmmh wee jamaaa una sifa si utuambie tu una gari kali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi kuna siku tena ni zaidi ya mara moja inanitokea, mara ya kwanza ilikuwa pale nje ya wizara ya ardhi niliegesha gari pembeni nikanunue gazeti narudi nakuta wale majamaa wamelifunga.
Nikaanza zozana nao wao jibu wanalonipa kamwite mwenye gari. Yani kila nalowambia wananiambia mwenye gari atalipa we unahangaika nini kamwite mwenye gari, dah ila mwisho nikampa 20,000 akalifungua nikasepa.
Mara nyingine nilikuwa pitiliza mataa wakati taa zimezuia, kumbe mbele kuna traffic, akandaka. Akaanza kunisngekuwa na boss wako usingefanya hivi na maneno mengi. Baadae, akaniomba leseni na kadi ya gari nikampatia akakuta kadi ya gari ina jina sawa na leseni. Akasema kumbe gari lako nikamjibu ndiyo, akaishia kucheka akasema yani watoto wa kishua bwana mnakula maisha kwa pesa ya baba zenu. Mimi nikacheka tu akaniandikia faini nikasepa huku nikiwaza ungejua mimi mpambanaji tu.
Mara nyingine niliacha gari lilikuwa na matatizo na mimi nina haraka nikalipaki pembeni ya barabara nikachukue boda boda, kumbe huku nyuma askari wakapita lipo, wakapita tena lipo ikabidi watanaze times ambaye katelekeza gari akalichukue mimi sikuwa na habari. Narudi baadae kulichukua nikiwa na fundi, gari silioni, namuuliza muuza matunda ndiye akaniambia wamelibeba wamelipeleka kituo cha polisi cha kawe. Kesho yake naenda kawe mkuu wa kituo akawa ananizngua kuwa nikamtafute mwenye gari, mpaka nilipofungua nikamwonyesha kitambulisho na kadi ya gari majina yana match. Aliniambia tu niwalipe waliolivuta nisepe tu.
Yani mimi nina mwili mdogo kama wa Mrehemu Ruge Mtahaba, nakutana ma mazarau sana maana hata nikivaa suti haikai ni kama imetundikwa tu.
 
sasa mkeo unamuita demu na wewe[emoji2] mi nikajua umemuacha single mother
ni kweli ndoa bahati sio kila mtu anayo , japo mwenzangu alijitoa kimasomaso ,maana mimi nikiambiwa tafuta mwanaume wa maana uolewe hii kauli siielewi[emoji2] sasa mi nitafute mwanaume namtafutia wapi
[emoji23][emoji23][emoji23] ndoa bahaaatiiii
 
Hahahaha mkuu umenikumbusha mbali Sana
Mimi nilivokua chuo wale washikaji waliokua wananifata kupiga misele kalibia wote walidisko ilifika hatua mtu akidisco wanauliza kwani ulikua na urafiki na buzitata?

Ila walichokua hawajui Mimi nasoma sehem zenye makelele na sio sehem iliyotulia so nlikua nikitaka kupiga msuli ni lazima nianzishe zogo darasan hapo ndo mambo yanapanda Ila wenzangu walikua hawajui kwamba hapo mm ndo mambo yanapanda kinoma.
Mimi kundi langu la form two shule ya kata wote walifeli. Kundi langu la form four wote walifeli. Kundi langu la form six walifeli karibia wote na wengine wakapata chache. Chuo hadi sasa sina kundi lolote. Kwanza nazungukwa na watu wako busy na masomo. Ila tatizo naonekana nina uwezo mwingi sana kuliko uhalisia mpaka unakuwa utumwa kwangu.
 
hii ilitokea i think miaka 20 almost, ilikuwa kijiweni tunapiga story huku wengine wanacheza draft Asa muuza kahawa kapita akaitwa na mshikaji mmoja hivi alete kahawa yule jamaa akasema wape wote kahawa walioko hapa basi bwana muuza kahawa akagawa kahawa, Asa yule jamaa alinunua kahawa sijui alitofautiana nini na jamaa aliyekua anacheza naye draft mara tukasikia anamwambia yule jamaa" wee utanambia nini kahawa yenyewe nimekununulia" basi yule jamaa alghafurika sana na maneno ya yule mshikaji, basi jamaa akaanza kuwapigia madereva wake waje pale kijiweni wakaja dereva tax, coast,dsm wakazipaki pembeni na jamaa alikuwa mpole huwezi mzania, basi wale dereva wakamulizaa" vp bosi mbona umetuita jamaa kwa upole akasema huyu jamaa kaninunulia kahawa kikombe kimoja tuu kaanza kunisema, wale madereva wakaanza kumsema jamaa yaani unamchukulia powa huyu bosi wetu na si haya magari tuu anamaduka na mahotel, yule jamaa aliyenunua kahawa akaona aibu

yaani hakuna aliye amini pale kijiweni kama jamaa anaweza kumiliki mali kiasi kile kutokana na muonekano wake kila mtu alimrespect jamaa

ndg zangu tuache dharau haifai
Miaka 20 ilikuwa ni around 2000 na simu za kumilikiwa na madereva daladala hazikuwepo. Madereva wakadrive km kadhaa kuja kuonesha magari nanyi mkiwa mmengojea[emoji23]
 
Siku nyengine nilikuwa na meeting na wawekezaji ambao walikuwa tunafanya kama partnership na kampuni yao in terms of cammision based, ile meeting tulikuwa tunafanyia pale Akemi lwasababu ile ni Open Restaurant kwa mtu yeyote nilikodi Restaurant yote kukawa na walinzi wakuzuia watu wanaoingia hawausiki kazi yote ya kuOrganize kikao nilimuachia PA wangu nilichelewa kidogo sasa kufika pale mjengoni nikapanda na lift kufika mlangoni walinzi wananizuia shuka chini PA wangu akaona akawaambia 'BOSS' aisee waliomba msamaha nikawaambia Cool.

Watu wengi hawaamini kuona kijana wa makamo nina mafanikio niliyonayo.
 
Kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi kampuni flani.Basi siku hiyo ninetoka kufanya mazoezi ya kukimbia kama kawaida yangu asubuhi.Halafu kipindi hicho mvua ilikuwa imenyesha usiku,Sasa ninerudi pale kazini nikawa nipo napiga story na walinzi zile raba na track zimechafuka balaa.Wakaja wadada wawili na boda boda mi nkaanza kuwasalimia kwa bashasha afu ndo nilikuwa naondoka kujipiga maji.Basi wale wadada wote walinipandisha kuanzia juu hadi chini wala hawakuitikia salam wakanipita wakaenda kwa walinzi,Basi mi nkaona noma nkaondoka zangu.Kumbe wale wadada wamekuja kumuulizia meneja wameleta barua za kuomba kazi na meneja mwenyew ni mimi.Nilivorudi walinzi wananambia wale wadada walikuwa wana shida na wewe wameacha barua zao za kuomba kazi.Nikasema mbona hawajanisubiri wakasema wameona aibu,jinsi walivokudharau.Kesho yake wakarudi kuomba nnamba zangu kwa walinzi mi sikuwepo nilienda mkoani walinzi wakanipigia nikawaambia wapeni tu.Kila mmoja akawa ananipigia kwa mda wake,na wote walichezea rungu ila kazi hawakupata walikuwa wangoni mmoja alidata hadi tukabahatika pata mtoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom