Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Mimi ilishawahi kunikuta wakat tupo chuoni kuna manzi mmoja hostel alikuwa ananichukulia mm nyoronyoro bwana ikatokea scenario nimetembelea room kwake yupo down sana bac ktk kumfarijifariji bwana tukazama deep sanaa

matendo yakikubwa yakatokea (friend match) nilimpelekea bakora za moto sanaaa yaan dogo alilalamika sanaa unagusa mfuko wa uzazi baasi kuanzia siku iyooo hakunichukulia poaa tenaa .

Hope sijatoka nje ya maada
ulizidi urembo hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona simulizi nyingi za magari,wadada,hotel ,ATM nk chukueni hii ya kijijini!
Mwishoni mwa miaka ya 90' nikiwa mwanafunzi Udsm,nilienda likizo!
Nyumbani tunapakana na Taasisi moja ya Elimu ya Kati!
Jioni moja niliwatoa ng'ombe wakulima,wapate majani embeni mwa bara2 ili kesho wawe fit shambani!
Nilikuwa nilienda nyumbani navaa kinyumbani,jinsi iliyochoka kidogo,makata mbuga,mgolole wa kimasai ,fimbo ,kisu kitefu kiunoni, nkachukua Radio enzi nzile Rising Kama mkulima ( aisee RIP baba)
Basi wakapita wanachuo wakasikia nasikiliza kipindi Cha Mjadala Dw Saa 12 Jioni enzi Immune Kher na Othman Miraj mjadala ilikuwa Miaka Kumi baada ya Anguko la Ujamaa Afrika ipo Wapi!
Jamaa kuona Mara Ile wakaona huyu Mlugaluga hata haelewi kinachoadiliw!
Wakaanza kubwabwaja kwa Kingereza kibovu kuwa.. zisi poor,peasant is just deceiving himself listening to International radio,ili wapate muda wa kunisema walisogea wakiniambia nisiingize ng'ombe eneo la Chuo nikawajibu kuwa naijua mipaka!
Siku mbili baadaye kulikuwa na debate pale Chuoni kuhusu ,Demokrasia ya kiliberali na Mustakabali wa Nchi zilizokuwa za Kijamaa...kwa kuzingatia Azimio la Arusha! ...Walikuwa na Mwalimu mwenye upeo mkubwa Sana!
Basi yule Mwalimu kwa kutambua Moto wangu yangu Primary,Sekondary alinialika niwe mchokoza mada!
Nilienda nimevaa makatambuka vilevile na mojawapo ya yule aliyekuwa ananizidoa na ng"ombe wangu kumbe Ni Kiongozi wa Wanachuo na alikuwa Hightable!
Kimsingi walijuta kunifahamu!
[emoji1787][emoji1787]
 
Kuna siku mteja wangu kanipa oda ndefu kidogo nikamwambia namtuma kijana wangu alete na bodaboda jamaa akasema sawa nitaacha maagizo kwa mlinzi. Baadae nikaamua ngoja niende mwenyewe ili nionane nae mteja mkubwa. Nikafika getini mlinzi akanipeleka hadi ofisini kwa jamaa. Nikamsalimia akaitikia akaniwahi 'boss wako mgumu sana kwenye bei lazima atakuwa Mchagga ila namkubali sana amenyooka hana konakona' dah nilibaki nacheka sikumwambia kama ndio mimi akanikabidhi malipo nikaondoka.
Huyu mteja hatujaeahi kuonana hadi leo ni mwendo wa simu tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna jamaa yangu mmoja miaka hiyo anauza duka la ndugu yake pale kawe akatoke dada mmoja mdogo tu akamuelewa sana yaani zaidi ya sana na jamaa umri umeenda na alikua bado hajaoa, yule dada akamtaka amuoe jamaa hataki, nia yake anataka aoe wa kabila lake pia akawa ananiambia huyu dada mzuri sana atakuja kutesa, demu hakua mzuri wa sura kiviile ila hiyo shepu weka mbali na watoto, jamaa akamtosa kaenda kuoa kwao.

Akajajua yule dada ni mjeda pale lugalo na alikua na nyota 3 lkn alikua anamficha na nyumba waliokua wanaenda kufanya yao goba ilikua ya kwake yeye alihisi kapanga,
Jamaa hadi leo anajilaumu na kujitukana kabisa mana yule dada alikuja kuolewa na jamaa anaemfahamu na ndoa kubwa tu kamfungulia mme wake biashara kubwa tu kwenye fremu zake huko goba wanakula maisha tu.
[emoji1787] anajitukana
 
Hii hali wahanga wakubwa ni WANAWAKE NA ZILE NJEMBA ZINAZOISHI KIBISHOO MJINI.
Kwangu imewahi kunitokea mara 2 lkn hapa nitaeleza hii moja ambayo imepelekea kumpata huyu mama wa watoto wangu.
Mwaka fulani nikiwa zangu DASALAMA nilikuwa nina tabia ya kwenda kisuper market fulani kupata bidhaa za hapa na pale, sasa kulikuwa na mhudumu mmoha nilimwelewa saaaaaaana, nikajaribu kumsemesha lkn wapi, na hata uvaaji wangu kwa kweli haurudhishi nywele mtihani kuchana, ndevu kama brash ya chachandu, lkn pia kila nikienda huwa nilikuwa naenda na pikpk yangu Boxer, nilimfukuzia yule manzi kama miezi miwili na nusu na sikupata hata namba yake. Mwisho ikawa nikienda pale namsalimia nanunua vitu niwezavyo kwa 30k yangu ndukiiii. Ukapita mwezi bila mm kutokea pale, nyuma huko ile PISI ikaacha kazi yake nami nilikuwa sijui, ikatokea siku moja yule pisi amekuja kwa ajili ya ishu za biashara yake ofisini kwetu. Lahaulaaaaaaa anayemuona anazunguka kwenye kiti ni mimi na nina mamlaka kidogo ya kumtuma mtu na akatii, ile pisi kwanza ilishtuka mm kuniona pale, mi nkaona isiwe kesi nikateremka chini ili niende zangu pata lunch, ila nimefika mapokezi nikajisahau napiga soga na dadaetu wa pale mapokezi ile ikawa inateremka ngazi ikanikuta pale down, akanisalimia nikaitikia akaniambia samahani kuna kitu nimesahau atarudi ili tuongee, mi nkasema fresh huku nikiondoka nje kabisa ya ofisi na kuwasha gari yangu kaliii, yule dada akaniwahi kuomba lift mi nkampatia na sikutaka kabisa mazoea sijui ya kuulizana ilikuwaje wala nn, sikutaka kumpa hata nafasi hiyo nikambwaga alipotaka mi nkaenda pata BIRIANI fureeeesh. Sasa nilivyorudi yule demu akakoma lazima nimuhudumie mm, akalazimisha mi nkamhudumia akaomba no yangu tangia hapo nimemzalisha watoto 2.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna manager wa hotel fulani kubwa tu. Alitusimulia kuwa siku moja akiwa ndio manager wa zamu akaitwa na muhudumu wa mapokezi shida ikiwa kuna mgeni kachoka choka hivi lakini anahitaji room ya bei mbaya pale hotelini.
Sasa muhudumu wa mapokezi akamwambia mgeni mchovu angoje kidogo akamuonyesha na pa kupumzikia ili amuandalie hiyo room uku ikiwa ni kupata muda ili amwambie manager kuhusu kumpa chumba cha bei mbaya jamaa.
Manager kumuona mgeni alivyo ikabidi aende kuongea nae.mshtuko ukampata baada ya mager kujitambulisha jamaa nae akajitambulisha jina ndipo akajuwa jamaa ni footballer mkubwa tu duniani na jezi aliyovaa juu ni ya timu yake ya taifa.mara moja akapewa room bila hata maswali mengi.
Hii huna haja ya kuifinyanga iweke wazi ni footballer gani huyo?
 
hii iliwai nikuta bagamoyo nimeenda kuichakata pisi yangu moja tamu sana rangi kama wale watoto wa Brazil kule hotel ni millennium sea breeze resort nililala room ya laki mbili sasa asubui nimeamka na demu wangu tumeenda kunywa chai jamaa wakawa wanatuuliza mmelala room gani nikawaonesha na walituona wakati tunashuka toka room jamaa bado wakawa wanaleta dharau wakasema tukalete kadi ya kufungulia mlango tukaleta eti ndio wanaamini wanaanza kushoboka na kutuudumia vizuri nili boreka sana na hotel haikuwa na watu wengi sasa sijui kwa umri wangu walijua siwezi ku afford iyo room wakati nilikua na milioni tisa ya kula bata kwenye akaunti niliwazarau sana wale jamaa watu maskini sijui wana mentality gani
Badili avatar.....
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaaani wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Umefuraaahi
 
Mimi ilishawahi kunikuta wakat tupo chuoni kuna manzi mmoja hostel alikuwa ananichukulia mm nyoronyoro bwana ikatokea scenario nimetembelea room kwake yupo down sana bac ktk kumfarijifariji bwana tukazama deep sanaa

matendo yakikubwa yakatokea (friend match) nilimpelekea bakora za moto sanaaa yaan dogo alilalamika sanaa unagusa mfuko wa uzazi baasi kuanzia siku iyooo hakunichukulia poaa tenaa .

Hope sijatoka nje ya maada

Hii ni mada ya kula tunda kimasihara cc: rikiboy
 
Nlimwagizia mtu mzigo flan, wakati wa kufanyiwa delivery kwa maagizo yake bila kunihusiha mimi bahati mbaya mzigo wake ukapata shida, alivoniita akademand mzigo mpya bila kujal kua sikua na dhamna nao tena baada ya yeye kutoa maagizo apelekewe.
Siku nmekutana nae akiwa na mzee wake walinidharau sana mzee alitamka wazi waz huyu hio hela ataitoa wapi? Maana ilikua kama 18m
Mzee akasema huyu awekwe ndan ndg zake watafute io hela tena nataka anilipe 20m
Nliumia sana, nkamwambia mzee bas nilipe harama ya mzigo mzee alikataa katu katu af n swala 5.
Nikamwambia nipe miez 2-3 nikulipe akakataa katu katu akanambia labda ndan ya mwezi unilipe 19 then io 1 unilipe baada ya miez miwil nkamwambia sawa
Baada ya mwez mzee alijikoki akijua ananiweka ndani, nilimpa hela yake ikabak 1
Siku inakaribia a week before mtt wake akanichek sasa ile 1 vp tumalizane niliumia sana maana walinilipisha kitu ambacho wao ndo chanzo cha mzigo kutokuwafikia, hawakua under standable, walinidharau sana na maneno ya kebehi
All in all nilimalizana nao nikasepa
But sitasahau
Pole
 
Ungevunga baada ya kutambuana. Ungechukua point tatu vyema, kabisa. Badala ashoboke yeye ukashoboka tena kwa mara ya pili.
Kima kweli wee jamaa anashoboka ten kwa Mara ya pili
 
Back
Top Bottom