Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

dah na mim umenifanya nilete kisa changu ambacho hakina hata miezi miwili.
kuna mdada jina yupo katika ofisi fulani ni majirani zetu(home).Ni wale watu wanaoringa kupita kiasi ukimsalimia kama hakuoni vile( hii ishatokea kama mara 3) last time niko zangu na town anafanya kazi pale benjamin mkapa,nmemkuta yupo na wenzake wakati huo nilikuwa niko na kaka yangu mkubwa.

Nikamchangamkia ila mwenzangu kanilia buyu namtambulisha kwa bro kuwa huyu ndo jirani dah mixer mfyonyo juu hakuna siku roho ilikuwa inaniuma kama siku siyo.

sasa week kama 3 nyuma natokea moro nmeingia kama saa 6 hivi nikasema ngoja sku ya leo nikasalie pale upanga maamur ni mskiti ambao waislamu wengi sana wanapenda kuosha maiti pale na kwenda kuzikia makaburi ya kisutu.

Nilivyofika pale pakawa kama na stori za chini kwa chini kuwa muosha maiti amekimbia baada ya kuosha maiti zaidi ya tano kitu ambacho syo cha kawaida, basi kwenye maongezi maongezi ikajulikana kuwa kuna maiti kama 2 zimeshndwa kuoshwa ndugu hawajui na muoshaji kakimbia(hofu ya corona)

Basi tukajitokeza mimi na mwenzangu tukaingia chumba cha maiti tulikuwa kama wa 4,tukaiosha ile ya kwanza,then tukafata ile ya pili zote tukaandaa safi kabisa ila ile ya pili niligundua alikuwa na baba wa yule dada maringo.

wakati tunatoka kuosha ndugu wakatuvuta pembeni wakatupa kama laki 3,wenzangu walichukua ila mimi sikuchukua hata cent sasa kumbe aliyekuwa anatoa hela ni mdogo wa yule(dada maringo) ambae anaishi nairobi kaja kumzika mzee wake but hanijui.

basi tukachukua maiti tukaenda zetu kuzika makaburi ya kisutu, wakati narudi zangu maeneo ya home ndo nakuta msiba sasa huku zogo pembeni likiwa ni muosha maiti kukimbi, basi jamaa akaniona mdogo mtu tukasalimiana pale ile furaha aliyokuwa nayo akanishika mkono mpaka uwani ambako kulikuwa na dada zake na mjane akanitambulisha na jinsi nilivyowasaidia dada mtu(cha maringo) aliangua kilio kupita maeleozo akaniomba namba nkampa.

baada ya kama dakika 30 baada ya kurudi home nikatumiwa mesage kama gazeti ya kuniomba radhi/msamaha mie nka act humble tu japo kila siku anataka tuonane but kila akinipigia namwambia niko moro japo anafosi anitumie hata nauli nikaonane nae au aje yeye but namchomolea.

katika maisha usimdharau mtu kwani huwezi jua nani atakaekufaa kwani unaweza kuwa trilionea but msaada wako ukatoka kwa mwenye kupata sh 500 kwa siku
Aisee!!!! Mungu azidi kukubariki kaka wamebaki wachache km ww duniani
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah lol. Wee una roho mbaya kumbe heeh, ukawa unataka kuharibu kivutio cha mwenzio.
Hapana mkuu,,,ndivyo mchezo wenyewe ulivyo.

Nikajumlisha na hasira za mtaani..

Baada ya tukio lile hakuonekana tena gym..
Na mtaani tunapishana kama hatujuani..
 
Hapana mkuu,,,ndivyo mchezo wenyewe ulivyo.

Nikajumlisha na hasira za mtaani..

Baada ya tukio lile hakuonekana tena gym..
Na mtaani tunapishana kama hatujuani..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah ko alikuja kupokea kichapo cha kukudharau na kuyeya mazimaah. Daaaaah
 
dah na mim umenifanya nilete kisa changu ambacho hakina hata miezi miwili.
kuna mdada jina yupo katika ofisi fulani ni majirani zetu(home).Ni wale watu wanaoringa kupita kiasi ukimsalimia kama hakuoni vile( hii ishatokea kama mara 3) last time niko zangu na town anafanya kazi pale benjamin mkapa,nmemkuta yupo na wenzake wakati huo nilikuwa niko na kaka yangu mkubwa.

Nikamchangamkia ila mwenzangu kanilia buyu namtambulisha kwa bro kuwa huyu ndo jirani dah mixer mfyonyo juu hakuna siku roho ilikuwa inaniuma kama siku siyo.

sasa week kama 3 nyuma natokea moro nmeingia kama saa 6 hivi nikasema ngoja sku ya leo nikasalie pale upanga maamur ni mskiti ambao waislamu wengi sana wanapenda kuosha maiti pale na kwenda kuzikia makaburi ya kisutu.

Nilivyofika pale pakawa kama na stori za chini kwa chini kuwa muosha maiti amekimbia baada ya kuosha maiti zaidi ya tano kitu ambacho syo cha kawaida, basi kwenye maongezi maongezi ikajulikana kuwa kuna maiti kama 2 zimeshndwa kuoshwa ndugu hawajui na muoshaji kakimbia(hofu ya corona)

Basi tukajitokeza mimi na mwenzangu tukaingia chumba cha maiti tulikuwa kama wa 4,tukaiosha ile ya kwanza,then tukafata ile ya pili zote tukaandaa safi kabisa ila ile ya pili niligundua alikuwa na baba wa yule dada maringo.

wakati tunatoka kuosha ndugu wakatuvuta pembeni wakatupa kama laki 3,wenzangu walichukua ila mimi sikuchukua hata cent sasa kumbe aliyekuwa anatoa hela ni mdogo wa yule(dada maringo) ambae anaishi nairobi kaja kumzika mzee wake but hanijui.

basi tukachukua maiti tukaenda zetu kuzika makaburi ya kisutu, wakati narudi zangu maeneo ya home ndo nakuta msiba sasa huku zogo pembeni likiwa ni muosha maiti kukimbi, basi jamaa akaniona mdogo mtu tukasalimiana pale ile furaha aliyokuwa nayo akanishika mkono mpaka uwani ambako kulikuwa na dada zake na mjane akanitambulisha na jinsi nilivyowasaidia dada mtu(cha maringo) aliangua kilio kupita maeleozo akaniomba namba nkampa.

baada ya kama dakika 30 baada ya kurudi home nikatumiwa mesage kama gazeti ya kuniomba radhi/msamaha mie nka act humble tu japo kila siku anataka tuonane but kila akinipigia namwambia niko moro japo anafosi anitumie hata nauli nikaonane nae au aje yeye but namchomolea.

katika maisha usimdharau mtu kwani huwezi jua nani atakaekufaa kwani unaweza kuwa trilionea but msaada wako ukatoka kwa mwenye kupata sh 500 kwa siku
Big lesson today...[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.

Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka.

Sasa ile natoka nje nikazikuta ziko bize zinajisnap kwenye gari niliyokua nayo, hiii bagoshaaa, mbona walikoma kunijua.

Nilianzisha zogo la maana makusudi kabisa, nikaita mpaka uongozi wa pale nikawaambia wawaambie wateja wao wafute picha zote walizopiga gari yangu otherwise niite Askari pale Obey waniambie wana lengo gani na picha za mkwaju wangu?
Safi
 
Sisi wengine baada ya hapo ndio huwa tunafunga vioo mazima, yaani fanya kama hatujawahi kukutana.

Mimi jamaa alinisimulia hii tabia ya kudharau mikakati ya mtu katika maisha yake, usione mtu kazini yupo yupo tu miaka inaenda ukamdharau kwamba hana mipango, utajichanganya.

Jamaa anasema wameanza kazi mwaka mmoja na huyo mshikaji wake, yeye akawa amepanga nyumba ya gharama kama 250k, usafiri wa kusumbulia watu mjini nk. Mwenzake yupo yupo tu, nyumba katafuta ya 120k, gari hakununua nk.

Wamefanya kazi kama miaka 8 hivi, baadae siku moja wanapiga story jamaa yangu sasa akaanza maneno ya kumsimanga jamaa, oooh we vipi bana hela hatuoni wapi unapeleka, upo upo tu kama mshamba. Jamaa akakereka ikabidi amuonyeshe salio bank, akasoma kwa utulivu ilikuwa ni 68 mil, kwenye simu kuna 7 mil.

Baada ya pale jamaa siku yake iliharibika sana.
Manina wallah
 
Kuna jamaa mmoja alishawahi kunikejeli na kunidhihaki..
Akitaka kunipiga,,hata watu wakimsihi asinipige,,
Anatamba tupewe dk 10 aning,oe meno..yote ya mbele.

Basi alijaza watu sana pale mtaani.

Si unajuwa tena unapohamia mitaa mipya? Watu hawakujui vzr.

Basi niliokolewa na Mzee mmoja Mwenye busara,,ili jamaa asinipige.

Lakini jamaa alikuwa serious kutaka kupigana na mm,,kisa cha kijinga kabisa..
Basi ikawa jamaa kila akiniona,,ananikoromea,,Mimi nampuuza tu.

Siku moja huyo jamaa alikuja kwenye gym yetu ya mazoezi bila kujuwa.

akataka aanze kujiunga,,ili afundishwe ngumi..

Alipokuja akapewa utaratibu ,halafu akaambiwa na vijana subiri mwandende afike..
Yeye ndy mpango mzima humu.

Jamaa alishtuka sana aliponiona kumbe mwandende mwenyewe ngumi cherehani ni Mimi..

Jamaa uso wake ulikuwa mdogo kama kijiko cha chai..

Nilichokifanya jamaa niliomba aanze na mimi ulingoni,,
Ili kupima uwezo wake,,

Kilichofata ni mayowe na kilio kwa jamaa..

Usimdharau usiyemjuwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakubali. Nimeoa mtu wa namna hiyo ndoa yangu imeshikwa na Kamba nyembamba mno ya mahusiano.
Tuna mwaka wa 8 kwenye Ndoa lakini sina uhakika kama huu mwaka wa 8 nitaumaliza na yeye. Kwa kiasi kikubwa kamba ya Ndoa imeshikwa na kaka yangu, akiiachia ndoa imeisha.
Aissee.. pambana mkuu umalizie hiyo 2 ili idumu milele. Nakuombea bana uzishinde changamoto.
 
Hii kitu bwana kuna mzee alikua anakujaga home kavaa kiraia tu ananiambia nimchumie pilipili kwenye ki garden cha home nikawa nampa nikiwa form six enzi hizo sasa bwana siku moja nimewahi kuamka, nikakaa nje wazee wanaenda job du yule mzee si akapita kumbe alikua meja general tena mkuu wa JKT tangu siku ile nikawa namuogopa alafu yeye bado anataka story na mimi manake hapo home kulikua na kibaa cha mangi tunakunywa bia hapo story nyingii sema mshua alikua taita so ni mshkaji wake
Hahahaaaa
 
It was a suprise kwangu.

Jirani yangu aliekuwa anajifanya ni boss wa Ikulu mtaani muda wote kanuna na miwani yake mieusi alikuja kunihudumia Chai Ofisini kwa Mama Salma Kikwete wakati wa WAMA, kumbe Alikuwa Office attendant pale tena wale wa oya oya na mie na wenzangu tulienda kupeleka project paper ya ki NGO chetu ambacho ni Hayati kwa sasa kuanzia 2015.
Huyo mwamba amenichekesha sana na miwani yake myeusi kumbe muhudumu tu,dah wabongo wana visa sana.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Watu kama hao ndio dawa yao wana viherehere sana
Sisi wengine baada ya hapo ndio huwa tunafunga vioo mazima, yaani fanya kama hatujawahi kukutana.

Mimi jamaa alinisimulia hii tabia ya kudharau mikakati ya mtu katika maisha yake, usione mtu kazini yupo yupo tu miaka inaenda ukamdharau kwamba hana mipango, utajichanganya.

Jamaa anasema wameanza kazi mwaka mmoja na huyo mshikaji wake, yeye akawa amepanga nyumba ya gharama kama 250k, usafiri wa kusumbulia watu mjini nk. Mwenzake yupo yupo tu, nyumba katafuta ya 120k, gari hakununua nk.

Wamefanya kazi kama miaka 8 hivi, baadae siku moja wanapiga story jamaa yangu sasa akaanza maneno ya kumsimanga jamaa, oooh we vipi bana hela hatuoni wapi unapeleka, upo upo tu kama mshamba. Jamaa akakereka ikabidi amuonyeshe salio bank, akasoma kwa utulivu ilikuwa ni 68 mil, kwenye simu kuna 7 mil.

Baada ya pale jamaa siku yake iliharibika sana.
 
Kudadeeki hapo waliisoma namba ya kirumi,safi sana
Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.

Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka.

Sasa ile natoka nje nikazikuta ziko bize zinajisnap kwenye gari niliyokua nayo, hiii bagoshaaa, mbona walikoma kunijua.

Nilianzisha zogo la maana makusudi kabisa, nikaita mpaka uongozi wa pale nikawaambia wawaambie wateja wao wafute picha zote walizopiga gari yangu otherwise niite Askari pale Obey waniambie wana lengo gani na picha za mkwaju wangu?
 
Mada hii toka imepostiwa huwa natamani kuchangia but ubize na uvivu wa kuandika vinanishinda Nguvu.

Ngoja leo nitoe kisa kimoja katika visa vyangu vingi vya maisha yangu.

Mwaka 2008 nikimuuguza mzee wangu katika hospital moja kigoma ipo sehem mmoja panaitwa Manyovu ile hospital kama sijasahau itakuwa inaitwa Nyamasovu.

Nikiwa kijana mdogo katika watu walokuwa wakiwauguza na kusimamia wagonjwa wao, Manessi walinichukulia poa sana. Mda mwingne walinifokea kipindi wananipa maelekezo.

Namkumbuka nessi mmoja mdogo kama wa miaka 20-22 hivi. Mzee alikuwa kafanyiwa sajari na alikuwa kawekewa mipira yakutolea uchafu mwilini hivyo kuna muda ilikuwa ikijaa naenda kumwita yule nessi aje atoe na kum badirishia mfuko wa uchafu , alikuwa ananitizama kwa dharau sana. Kuna siku akanitamkia kabisa " we kaka mbona msumbufu? Nikajibu nessi me naangalia uhai wa mzee wangu akanambia Kwani baba yako ndo atakuwa wa kwanza kufa, ? Ivi mnahisi Manessi tunafurahia kuchezea uchafu wa wagonjwa wenu? Ungesoma nawewe ukawa nessi ukaona tunachokifaidi sisi. " duh! Kiukweli niliumia sana.

Kwa uwezo wa MUNGU mzee akapona , siku ninaendea ruhusa ili tumrudishe nyumbani kale kanessi kakaniambia kwa kejeli "Baba wa Taifa amepona " nikajifanya sijaelewa kakaongeza et "unahangaika utafkiri unamuuguza Yesu " kipindi hicho nilkuwa bado nasoma ko nikawa napretend ustaarabu ili nisiharibu cv .

Baada ya miaka kupita nikiwa nishasahau siku moja nipo kwenye ndege pakawa kuna mdada siti ya mbele yangu (kama siti ya3 toka kwangu upande wa kushoto) ananiangalia sana. Yani kila dakika anageuka tukikutabisha macho me naangalia pembeni nikiinua macho tena nakuta ananiangalia tena. Nikahisi labda ni x wangu flan iv katika ma x zangu. Tulivyoshuka mw/ Julius Nyerere watu wakaanza kushuka nikawa nimeinamia simu naiwasha baada yakuizima kipindi ndege inaanza safari nikainuka ile navua mkanda nainuka kuotoa begi juu nakuta watu wengi washashuka kabaki dada mmoja tu na wahudumu wa ndege. Nikashuka chini ile nipo kwenye ngazi akanigusa mtu kwa nyuma nikageuka sikuwa namkumbuka akajitambulisha kumbe ndo yule nessi. Kwakuwa sikuwa mtu wakuweka kinyongo nikamchangamkia tukatoka nje nikawa nasubiri Dogo aniijie na gari la home kumbe yeye hana usafiri anawaza tax nikamkazia kama sioni shida yake akajishusha mwenyewe akaomba lift nikamchukua hadi tunafika ubungo hajasema anaenda wapi kumbe alijiendeleza kielim ko anasoma Md muhimbili ila dsm hana mwenyeji ko nikampeleka napoishi akalala (mana ilikuwa ishakuwa usiku) kesho asbuhi me nayeye hatukuweza kuonana mana nilikuwa nina mishe zangu zilizonileta mjini ko alivyoamka akaoga akapata chai dogo akampeleka chuoni. Aisee alinipigia simu usiku wake eti ndo ananiuliza mzee anaendeleaje. Then sikutaka tuyaongelee ya kipindi kile ila alinisihi sana nimsamehe na kuanzia siku hiyo heshima mpaka sasa
nimesoma visa vya watu kibao ila hiki nimependa na kuna funzo ndani yake
 
Kiufupi alitumia approach mbovu yaani alienda kienyeji kama sehemu ina watu wengi halafu umkute mtu ana stress zake atakuaibisha mbele za watu.
Kuna njia za kistaarabu kama kumtumia muhudumu ataenda kuongea naye kimyakimya kama ikibuma huwezi kuaibika.
Unaweza kukurupuka kumfuata mtu wakati mwingine utakuta anamngoja mme wake itazua tafrani.
Kiufupi mleta mada inaonesha anashobo dundo. Au anatamani apendeze flani ila muonekano wake hauna connection na nguo anazovaa. Yani hata anunue nguo ya bei hapendezi. Huwezi kumkuta mwanamke sehemu ukaanza kushoboka, south Africa unapigwa chuma unakufa tunakuona.
 
Back
Top Bottom