Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Sisi ilikuwa tofauti...dereva wetu ndio alipata fadhaa wakati akiwa anaendesha basi.
Ilikuwa tunatoka Mwanza kuja Dar, yule dereva sijui alikula nini usiku kabla ya safari.
Yaani ilikuwa ni mwendo wa kusimama na kuingia machakani na maji ya chupa.
Basi ilikuwa raha sana, hakuna aliyelalamika kuwa anataka kuchimba dawa wala kushangaa njiani maana dereva akibanwa tu, akishuka nasi tunashuka kujinyoosha, kupunga upepo au kuchimba dawa...tumeingia Dar, dereva yuko hoi maana si kwa kuhara kule njia nzima.
Mbuzi alifia kwa muuza supu aisee.
Ilikuwa tunatoka Mwanza kuja Dar, yule dereva sijui alikula nini usiku kabla ya safari.
Yaani ilikuwa ni mwendo wa kusimama na kuingia machakani na maji ya chupa.
Basi ilikuwa raha sana, hakuna aliyelalamika kuwa anataka kuchimba dawa wala kushangaa njiani maana dereva akibanwa tu, akishuka nasi tunashuka kujinyoosha, kupunga upepo au kuchimba dawa...tumeingia Dar, dereva yuko hoi maana si kwa kuhara kule njia nzima.
Mbuzi alifia kwa muuza supu aisee.