Nusu saa nzima unasubiriwa na tena ukaenda na pharmacy kununua dawa.
Kuna kitu hakipo sawa.
Waambie wale mayai ya kuchemsha wakiwa safariniMkiwa na safari jitahidini msile msile hovyo ,kuleni biscuit tu kwa watu wasio na sukari.
soda mjomba, nilichanganya na sodaBro vodka mbona kama haileti mkojo ni kama konyagi na k.vant
Wawaambie na abiria wengine wafungue vioo kabisa.Waambie wale mayai ya kuchemsha wakiwa safarini
HahahahaWawaambie na abiria wengine wafungue vioo kabisa.
Sulphur itatengeneza WMD.Waambie wale mayai ya kuchemsha wakiwa safarini
Muwe mnasoma kwa kuelewa sio muwe na majibu yenuNusu saa nzima unasubiriwa na tena ukaenda na pharmacy kununua dawa.
Kuna kitu hakipo sawa.
Pole saana[emoji1787][emoji1787]Miaka hiyo naishi Wilayani Kilombero ndani ndani huko! Usafiri mkuu ni Treni ya Tazara!! Si nikapanda mzee kitu cha Express kurudi chuo Dar (udsm)
Mzee nimelipa nusu nauli tu kwa kutumia kitambulisho cha chuo!! (Enzi hizo walikuwa wanaruhusu pia wanachuo kulipa nusu nauli) Hivyo nilikuwa na mpunga wa kutosha tu mfukoni! Na usisahau tulikuwa tunalamba mkopo 100% (2500) kwa siku wanachuo wote.
Dah!! Mtaalamu mwenyewe ile kufika Stesheni ya Kisaki, nikakuta kuku wa kutosha wa kienyeji wa kukaanga! Si nikanunua vipande viwili then nikaona ninunue na wali ili nikiingia Mjini mida ya saa 11 hivi jioni, nipitilize tu kwenda hostel!!
Ule wali sijui ndiyo waliweka hamira kweli kama nilivyo kuja kusimuliwa baada!! Ila kiukweli tumbo lilizingua haswa. Nashukuru nilivumilia mpaka nikafika hostel na kupitiliza mpaka ofisi kuu!!! Baada ya hapo, niliahirisha kabisa kutumia njia ya treni.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] usicheze na tumbo aiseeNilibanwa na tumbo la kuhara halafu tupo eneo la jeshi halafu nimekaa karibu na dereva wa basi hilo, namweleza ananiambia hili eneo la jeshi hawaruhusu kusimama. Huku mimi mzigo umeshaanza kureport kwenye boxer mdogo, aisee nilimgonga ngumi ya mgongoni nikamwambia mjomba leo nakunyea kabisa.. alisimama bila kupenda nilienda kuhara akanipa na maji ila boxer niliiacha hukohuko porini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sisi ilikuwa tofauti...dereva wetu ndio alipata fadhaa wakati akiwa anaendesha basi.
Ilikuwa tunatoka Mwanza kuja Dar, yule dereva sijui alikula nini usiku kabla ya safari.
Yaani ilikuwa ni mwendo wa kusimama na kuingia machakani na maji ya chupa.
Basi ilikuwa raha sana, hakuna aliyelalamika kuwa anataka kuchimba dawa wala kushangaa njiani maana dereva akibanwa tu, akishuka nasi tunashuka kujinyoosha, kupunga upepo au kuchimba dawa...tumeingia Dar, dereva yuko hoi maana si kwa kuhara kule njia nzima.
Mbuzi alifia kwa muuza supu aisee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji23] hilo shuzi lake si mchezoWaambie wale mayai ya kuchemsha wakiwa safarini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wawaambie na abiria wengine wafungue vioo kabisa.
Pole sanaKawaida nikiwa safarin sipendelei kula njiani, siku moja nasafir mwanza to kibondo kwa mara ya kwanza ile njia nilikuwa siijui kabisa. Sasa tumefika sehemu moja tukaacha rami tukaingia barabara ya vumbi tu aseee basi za kule zinakimbia balaa yaan zile mabonde ni kama hawazioni mzee ilifika hatua nikahisi tumbo linauma balaa kama vile utumbo unataka kukatika, safari ikawachungu natamani nipae nifike mwisho wa safari.
Ikanibidi nimuulize jiran yangu vipi tu karibu kufika, akanijibu bado sana. Hapo na maumivu yakazidi zaidi ilinibid niachie siti nisimame kwa muda kidogo hadi nilivyofika kituo kinachofuata ilinibid ninunue ndizi mbivu nikaweka tumboni angalau nikapata afadhali.
Huwatakii mema[emoji23][emoji23]Waambie wale mayai ya kuchemsha wakiwa safarini
Soma vizur mzee, tatizo watu mmekaa kupingapinga kila kitu mpaka mnakosa umakiniNusu saa nzima unasubiriwa na tena ukaenda na pharmacy kununua dawa.
Kuna kitu hakipo sawa.