Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

My take on this, mume wako anakuelewa na anakupenda sana tu, ila kaamua kukunyoosha kidogo.
Jambo la msingi ,tafuteni namna bora ya kumanage hizo conflicts zenu, either kwa kushirikisha professionals au wazee wenye busara.
 
Wiki 2 bila tendo la ndoa ni nyingi za kulalamika JF?
Hadi mtu mzima amelalamika; basi kwake ni tatizo. Hapa hatu-generalise kwa sababu binadamu hatufanani; wengine kumaliza hiyo week tu ni mtihani especially wanapokuwa pamoja. Afu alisema week mbili; hatujui kama iliishia hapo kwa week mbili au inaendelea hadi lini
 
Sasa sijui aendelee kujiombesha dudu la yuyu au asubiri hadi siku akipewa offer mweeh.


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] walah we mtoto umejua kunichekesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiniuliza; the right person kumwomba ushauri ni Mungu tu + watumishi wa Mungu. Sisi wengine wote; regardless of status zetu; tutakupa ushauri kutokana na tunavyojisikia. Hata hao wenye miaka 50 ya ndoa, sio kwamba wamepitia exactly anachopitia na sio kwamba wana stamina sawa ya kuhimili changamoto hiyo. Viatu vyake ni vya kwake peke yake; yeye ndo ataamua afanyaje kwa sababu ndoa yake ni yake haifanani na ya mwingine na yeye ndo anayeiishi.

Afu miaka mingi ya ndoa haimaanishi mtu amepitia experience zote; tena siku hizi majority ya wanandoa mioyo imeshakuwa ya baridi; wanahesabu tu siku pamoja; hakuna cha furaha ni kupeleka tu siku pamoja; watakushauri nini positive?

Mtu yeyote hata aliye single anaweza kukupa ushauri constructive; ni wewe kuchanganya za kuambiwa na akili zako. Mfano akikwambia "muombe Mungu tu", hutomsikiliza kwa sababu ni single au?
 
Mtaendelea kuchepuka bila sababu ya msingi...
 
Inciden
Incidence niliyoiona pale juu, Masai Lady, alikuwa mpweke almost weeks, na kwamba inaonekana jamaa ameanza tabia ya kudu na mkewe yeye akipenda, wkt mwanamke akitaka jamaa hana muda, kwa kifupi jamaa hamjali mkewe kwenye kulila tunda, ama wakati mwingine jamaa hajali mazingira ya kula na kuliwa, kidu na kudukuliwa, mahaba na mahabuba jamaa hana time.

Sasa kisaikolojia jamaa amediss mkewe, According to auther Masai girl, mumewe anatoa mahitaji ya nyumbn ni sawa na tukisema anaweka kodi mezani. Swali ni kwanini hajali!! Anawezaje kulala na mtoto wa 7rys na ameshauriwa wamtenge kwa kuwa kiwasha BBC usiku mtoto yupo haifai,sio maadili, masai aliendelea kumshauri mumewe, huyu jamaa kiburi anakipata wapi??

Mrs anatakani mechi mchana jamaa hadi atake yeye na wakienda wakimamanua, jamaa akimaliza kuchochea moto ukiwaka akitema mate amemaliza, masai anavumilia.

Mm nikasema, kwa tatizo la masai kulalamika, mara ndg wa mumewe wanakaa tu ndani, wifi ake anakaa tu, anakula tu, analala tu, nimeamua kama mzanzibari nirudi upande wa muungano, niangalie maeneo yakukubaliana ktk muungano wa kuwa mwili mmoja

Nimebaini

masai ni mchoyo
Masai anaangalia nani yupo ndani
Masai ananyooshea vidole raia wa upande mwingine wa muundano
Masai akadukuduku
Its as if masai anatamani wawe yeye na mr wake wawili tu ndani, kwani muungano unasemaje, mjiwa mwili mmj mfanyeje ndg wa pande zote wanapowatembelea, kwenye ndoa yao kuna beef la kutoku

Kwenye ndoa hakuna kosa kubwa kama kutengwa na wakwe. Ndg wa wakwe, kubwa ni kwamba tafuta mbinu ya kujenga uhusiano mzur na mamake au babake mumeo, wajomba zake nk

Hakikisha jamaa humuachii nafasi hata kama aanajipa moyo nyumb sijui ya nani, si kweli, kisheria ni yenu wote. madam umeweka jasho lako, usisusie nguruwe shamba lako..watalila
 
Mkuu nilishasaligi huko nyuma mpaka nikaona acha nikae tu labda uenda ndo Mungu kapanga hivi
Daaah pole sana ila usikate tamaa sijui kwa nini mapenzi yana mambo ya kijinga ukimpenda sana mtu anazingua hovyo mpaka kero ubayq ni kwamba unavyozidi kujishusha ndio anazidi kuzingua kiukweli itachukua muda saana mpaka mkae na muelewane sana kuna vitabu viwili vinaweza kukupa idea ufanye nini japo vipo kwa kiingereza
 
Mkuu mara nyingi mambo huwa hayaendi hivyo yani binadamu huwa tunahangaika sana na vitu ambavyo hatuna so ukitaka kumuoneshw yeye ndio kila kitu ndio unaharibu kabisa ni ngumu sana kunielewa
 
This is the best comment ever
 
Mkuu, uko sahihi 100%
 
Ningekua nimesimama kiuchumi hata kesho ningeanza upya.
Inaumiza sana kuishi na mtu asiekupenda ila wewe unampenda ni bora na wewe mapenzi yawe yameshaisha
Ukiweza fanya nje na mtu hata mara moja tu itakata hilo wenge juu yake looote ama litapungua sana
 
Ndoa usiache its not worth it mana huko nje nako ni tabu tu
Pambana ndani humohumo
Low key tu
Am sure wapo wanaume wanaokutongoza choose one fanya siku moja tu utaniambia
Nyumbani keep low profile

shida kwny ndoa hizi bwn
Unaweza kuwa bize na uaminifu ama uvumilivu ila huo uaminifu mwenzio hauhitaji
Be selfish smtimes ts about you not him
Asijue wala usimdiss potezea tu
Ukirudi home angalia mtoto pika weka nyumba yako sawa, lala
Akitaka mechi toa
Asipotaka pia sawa ushatoa nje huna ukakasi maisha yanaenda utasahau tu utarudi kuwa sawa wala hutojali abt him na hutoumia
 
Kuna kesi zinazohusu hisia kuzitatua kunahitaji uwe na hekima sana maana hapo hatuongelei kitu kingine tunaongelea moyo unaotaka faraja na pumziko.

kesi za namna hii kwa muhusika kama wewe Masai dada,najua unampenda mume wako sana na ndio mana hadi leo hujapata hata wazo la kudanganyia toto umsaliti,hiyo inaonyesha jinsi gani umekwiva kwenye haba na mumeo.

sasa kwa case hii mpk umeifikisha hapa yaonyesha unahitaji pumziko,na hili pumziko ili lisije kwa kudhuru mtu yeyote (hasa mwanao na wewe) nashauri ufunge macho ufanye hiki ninachoenda kukushauri.

Nenda mahakamani,elezea lengo lako lakutaka kuachana na mwanaume Mumeo ataitwa Mtatenganishwa kisheria,kuhusu nyumba ambayo deni lake bado unalilipa itauzwa hiyo nyumba kwa AMRI YA MAHAKAMA kisha pesa zita clear deni na amount itayobaki mtagawana pasu kwa pasu.

Amount utayopewa na mahakama itakua ndio kiinua mgongo chako cha kuanza upya maisha yako hta kama utaanza ktk kupanga its ok as long as upo kwako na moyo wenye amani.

Ambacho sitaki ukifanye kwa sasa ni Kujiingiza tena kwenye mahusiano na mwanaume yeyote simama kwa miguu yako mwenyewe nakuhakikishia hautaanguka tena kwan umeshajua makosa uliyapata wapi.

Ukifika muda sasa umeshaimarika na unaiona future yako sasa ruksa kutafuta yule umtakae ambae una uhakika atakuja na kufukia mashimo na si kuongeza mashimo na majeraha (kuwa makini eneo hilo)

ila kwasasa namalizia kwa kurudia tena Ukiufata moyo wako ukaendekeza mapenzi mazito juu ya mume wako,nakuona utakavyoenda kufa kwa kujiua au kugongwa hata na gari barabarani kisa tu ni mawazo.

Vunja hiyo ndoa mahakamani,Start again.

Asante na pole sana masai dada
 
Run dada run

Ila.tulia

Jipange kiuchumi

Kisha sepa

Huna mume hapo una bazazi tu

Tena ashukuru huchepuki


Anyway usirudie tena kukopa kumpa.mwanaume regardless ni mume au boyfriend

Na ndio.muelewe kwa nini baadhi ya wanawake hujenga nyumba zao kimya kimya

Ila kiufupi hupendwi

Jipange kuishi kivyako

Huyo sio mwanaume pekee duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…