Inciden
Pole sana Masai Dada!
Kwa kina kabisa nimeelewa na kuguswa sana na tatizo lako. Kubwa babisa ni ni ule ukweli kuwa wewe ni mke halali wa ndoa na ndicho kimepelekea wewe kujitoa kwa moyo wako wote kuihudumia nyumba yako na kudumisha upendo ndani ya ndoa yako. Ni una ndoto na malengo makubwa juu ya familia yako.....mume, mtoto na wewe mwenyewe..... na ndiyo maana umetafuta hata mikopo kusaidia ujenzi wa nyumba.
Sina hakika sana japo natamani kusikia historia yako na mwenza wako namna mlivyoanza mahusiano na hatimaye kuingia kwenye hiyo ndoa. Hili kama nikilifahamu linaweza kunipa picha pana ya aina ya mahusiano yenu na nini kilipelekea hadi kuingia kwenye hiyo ndoa. Ninachotaka maanisha hapa si kwa nia mbaya bali kutengeneza njia ya namna gani kugundua tatizo lilipoanzia na hapo unaweza kupata chanzo sahihi cha kuanza kulitibu.
Nashawishika kusema huenda kuna maqmbo yako nyuma ya panzia na hivyo kuzuia hata watoa ushauri wakatoa ushauri wa kuweza kutibu hili tataizo. Mambo yanayoweza kuwa nyuma ya panzia ni mf uwiano wenu ki haiba......mnafananaje urembo wako na utanashati wake...... Mali anazomiliki yeye na zile unazomiliki wewe...... viwango vya elimu zenu nk. Haya ni mambo muhimu sana japo unaweze kuyaona si yamsingi kwa kudhani tu mwanaume vile alisha kubali kufunga ndoa na wewe haya si muhimu.
Wanaume tunatofautiana mambo mengi sana. kuna mwanaume anaethamini mahusiano yake yaliyo halali mbele za mungu bila kujali aliingia mahusiano hayo na mtu mwenye viwango gani kwa chochote kile katika uumbwaji wake huyo mwenza na vile avimilikivyo. Lakini pia uwezo wa kujitambua kwamba umekuwa nani baada ya kuingia kwenye ndoa na ni kwa jinsi gani kuchukuliana na mke wako kwa nyakati zote. Nachelea kusema wapo wengi tu wenye utambuzi mdogo kabisa kwenye haya mambo. Sitaki kumshutumu mumeo moja kwa moja lakini inaelekea kwa maelezo yako mume ni tatatizo/cahanzo cha hili tatizo maana wewe umekuwa ukumshauri mambo mengi kwa busara kubwa lkn yeye anabisha tu sababu ni mwanaume au sababu ya hadhi yako kama nilivyoeleza awali hawezi kukusikiliza.
Kwa uchache tu niseme wewe ni mke halali wa hiyo ndoa.....japo sina hakika ya imani gani.....lkn inatosha tu kwa mujibu wa sheria za nchi ambazo ni supreme mbele ya imani ninyi ndiyo wamiliki wa hizo mali hususani nyumba japokuwa huyo mtoto wake anaweza kuwa na sehemu na si umiliki wote kama anavyotaka kukutisha. Labda awe alijenga hiyo nyumba na huyo mwanamke mwingine kabla ya kukuoa japo pia si kweli kwa mujibu wa maelezo yako. Mumeo atakuwa na hulka ya kuongea na kuropoka aidha akikwazwa au kwa nia ya kutaka kukutocha tu ......sadist.... japokuwa ayaongeayo yanakuumiza. ushauri wangu tumia busara zako japo ziwe na kiasi kwa kutoruhusu maneno yake kutengeneza kidonda moyoni mwako. Jaribu kutafuta furaha itakayokufanya uwe huru hata pale anapotafuta kukuumiza. Atakapokuona umejawa amani na huumizwi na makwazo yake ndipo atagundua kuwa kumbe kazi aifanyayo ni bure na hakika atatafuta namna ya kurudi kwako na kukupigia magoti.
Utanisamehe nimeandika kwa haraka sana maana watu wamejaa mlangoni pa ofisi yangu wakihitaji niwahudumie kwa sasa. Nikipata muda nitakushauri vizuri zaidi na hakika faraja itakurudia tena. Pole sana na Mungu akupiganie.
Incidence niliyoiona pale juu, Masai Lady, alikuwa mpweke almost weeks, na kwamba inaonekana jamaa ameanza tabia ya kudu na mkewe yeye akipenda, wkt mwanamke akitaka jamaa hana muda, kwa kifupi jamaa hamjali mkewe kwenye kulila tunda, ama wakati mwingine jamaa hajali mazingira ya kula na kuliwa, kidu na kudukuliwa, mahaba na mahabuba jamaa hana time.
Sasa kisaikolojia jamaa amediss mkewe, According to auther Masai girl, mumewe anatoa mahitaji ya nyumbn ni sawa na tukisema anaweka kodi mezani. Swali ni kwanini hajali!! Anawezaje kulala na mtoto wa 7rys na ameshauriwa wamtenge kwa kuwa kiwasha BBC usiku mtoto yupo haifai,sio maadili, masai aliendelea kumshauri mumewe, huyu jamaa kiburi anakipata wapi??
Mrs anatakani mechi mchana jamaa hadi atake yeye na wakienda wakimamanua, jamaa akimaliza kuchochea moto ukiwaka akitema mate amemaliza, masai anavumilia.
Mm nikasema, kwa tatizo la masai kulalamika, mara ndg wa mumewe wanakaa tu ndani, wifi ake anakaa tu, anakula tu, analala tu, nimeamua kama mzanzibari nirudi upande wa muungano, niangalie maeneo yakukubaliana ktk muungano wa kuwa mwili mmoja
Nimebaini
masai ni mchoyo
Masai anaangalia nani yupo ndani
Masai ananyooshea vidole raia wa upande mwingine wa muundano
Masai akadukuduku
Its as if masai anatamani wawe yeye na mr wake wawili tu ndani, kwani muungano unasemaje, mjiwa mwili mmj mfanyeje ndg wa pande zote wanapowatembelea, kwenye ndoa yao kuna beef la kutoku
Kwenye ndoa hakuna kosa kubwa kama kutengwa na wakwe. Ndg wa wakwe, kubwa ni kwamba tafuta mbinu ya kujenga uhusiano mzur na mamake au babake mumeo, wajomba zake nk
Hakikisha jamaa humuachii nafasi hata kama aanajipa moyo nyumb sijui ya nani, si kweli, kisheria ni yenu wote. madam umeweka jasho lako, usisusie nguruwe shamba lako..watalila