Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

Asante sana..siwezi kutoka nje ya ndoa

Ila sasa unajua binadamu tupo tofauti tulivyoumbwa yaani mimi ni ile type ya siwezi ku ignore kabisa hata kama nikinyamaza nitaingia chumbni na nitalia sana.

I wish niwe na uwezo huo nahisi naweza kusogeza siku mbele maana naona mambo yamenilemea sana.

Ushauri nilimuomba mama yangu ki ukweli huwa anasema nipambanie ndoa ila mimi siwezi kabisa.naona nimeshindwa kuhold on..nazipi kupata maumivu tu kila uchao
Nimesoma nyuzi zako za nyuma...unasema mwanzo mlikuwa mnaishi kwa upendo na amani.

Kwanini unahisi kabadilika?
 
Ningekua nimesimama kiuchumi hata kesho ningeanza upya.
Inaumiza sana kuishi na mtu asiekupenda ila wewe unampenda ni bora na wewe mapenzi yawe yameshaisha
Uvumilivu huwa una kikomo pia!!
Kuna siku huo upendo utakoma, ndo ari ya kusimama mwenyewe itakapokuwa kubwa!!

Kusimama kiuchumi ni taratibu mamii, save kidogo kidogo upate kamtaji ka kuanzia! Kwa sasa inabidi uvumilivu uwepo kwanza!

Hakuna kitu kinaumiza kama hicho, mtu anachukulia advantage ya wewe kumpenda kukuumiza, hajali wala haoni umuhimu wa uwepo wako!! I feel you dear!
 
Uvumilivu huwa una kikomo pia!!
Kuna siku huo upendo utakoma, ndo ari ya kusimama mwenyewe itakapokuwa kubwa!!

Kusimama kiuchumi ni taratibu mamii, save kidogo kidogo upate kamtaji ka kuanzia! Kwa sasa inabidi uvumilivu uwepo kwanza!

Hakuna kitu kinaumiza kama hicho, mtu anachukulia advantage ya wewe kumpenda kukuumiza, hajali wala haoni umuhimu wa uwepo wako!! I feel you dear!
Unajua watu jf wanafikirigi watu wengine wanaletaga stor ila aisee kuna point mtu unafikia unahitaji msaada kabisaa
Yaani natamani ni attach sms moja hapa ila aia maana
Maana mimi nilimwambia sipendi haya maisha ya manyanyaso kwangu akasema
Haya maisha wewe ndo utakaeumia maana mimi siumiagi nadhani unajua hilo
Yaani nikajiuliza kuna mtu duniani asiemia kwa namna yoyote?
 
Unajua watu jf wanafikirigi watu wengine wanaletaga stor ila aisee kuna point mtu unafikia unahitaji msaada kabisaa
Yaani natamani ni attach sms moja hapa ila aia maana
Maana mimi nilimwambia sipendi haya maisha ya manyanyaso kwangu akasema
Haya maisha wewe ndo utakaeumia maana mimi siumiagi nadhani unajua hilo
Yaani nikajiuliza kuna mtu duniani asiemia kwa namna yoyote?
Hakuna atakayeelewa maumivu yako mpaka siku ayaonje kidogo! Ni kuombeana tuu!!

Yeye haumii labda sababu moyo wake ulishakuwa sugu, nawe sasa inabidi uufanye moyo wako uwe sugu japo ni ngumu sana! Nami nilishaambiwa hilo, haumii kwa lolote! Sasa dear inabidi ujifunze kupuuzia japo inauma ila utazoea, umuombe na Mungu akusaidie maana mwenyewe hakika huwezi!!
 
Kwenye ule uzi...kuna mtu aliniambia WEWE NDO UNAMPENDA NA SIO YEYE yaani tunaishi kwa amani kwakua nampenda so vitu anavyofanya nina ignore
Ndoa nyingi unazoziona sio kwamba wenza wanapendana kwa viwango sawa masai dada lakini zina move. Mwanaume anaweza asiwe anakupenda ila anakuheshimu na kukuonea huruma kwa kuyaangalia maumivu na machozi unayodondoka kila uchwao.

Ni vyema ukajua mmeo alipoanza kubadilikia kama mwanzo mlikuwa na amani. Kipi kilimfanya aanze kuwa na hizi tabia za kutokukupa attention. Ok hakupendi wewe, je mwanae wa kumzaa?

Inaenda mbali unasema hata mtoto wake pia hamthamini kama anavyomthamini wa mama mwingine. Kwanini? Kuna ishu hapa ulitakiwa uigundue na kama bado haujaigundua jaribu kudadisi.
 
Hakuna atakayeelewa maumivu yako mpaka siku ayaonje kidogo! Ni kuombeana tuu!!

Yeye haumii labda sababu moyo wake ulishakuwa sugu, nawe sasa inabidi uufanye moyo wako uwe sugu japo ni ngumu sana! Nami nilishaambiwa hilo, haumii kwa lolote! Sasa dear inabidi ujifunze kupuuzia japo inauma ila utazoea, umuombe na Mungu akusaidie maana mwenyewe hakika huwezi!!
Amina...
 
Daaaaahh umeongea kwa hisia Sana hadi nimeumia kwa kweli pole Sana Dada angu

Ninacho weza kukwambia ni kwamba huyo ni mmeo hivyo usifikilie kumsaliti ila fikilia kumuweka karbu Zaid na Zaid haijalishi itakugarimu kiasi gani kwauda wako na kwa hisia zako but hakikisha una fanikiwa katika hili

Unaweza kuomba nafasi ya kutoka out ukiwa wewe na yeye tu hapo nenda kamuoneshe jinsi gani una mpenda na hauko tayar kumpoteza mpe mapenzi kwa hisia za ndani Sana shoe him how worth he is then baada ya yote mwambie you need a peaceful life na yeye ndie mwenye peaceful life kwako hivyo asikuumize tena

Pia katika out yenu akiwa kwenye mudi nzuri ongea nae juu ya future yenu kuhusu mwanao na huyo na mwanae yule mwambie wote ni wake na wote wanajua yeye kama baba yao hakuna mwingine Zaid yake hivyo ni bora kujenga future sawa kwa wote




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa nyingi unazoziona sio kwamba wenza wanapendana kwa viwango sawa masai dada lakini zina move. Mwanaume anaweza asiwe anakupenda ila anakuheshimu na kukuonea huruma kwa kuyaangalia maumivu na machozi unayodondoka kila uchwao.

Ni vyema ukajua mmeo alipoanza kubadilikia kama mwanzo mlikuwa na amani. Kipi kilimfanya aanze kuwa na hizi tabia za kutokukupa attention. Ok hakupendi wewe, je mwanae wa kumzaa?

Inaenda mbali unasema hata mtoto wake pia hamthamini kama anavyomthamini wa mama mwingine. Kwanini? Kuna ishu hapa ulitakiwa uigundue na kama bado haujaigundua jaribu kudadisi.
mi nishamuulizaga mara kibao tu kuhusu mwanangu..ila hanipagi jibu .ngoja nijaribu kudadis hilo.
Alibadilika taratibu ila kuna matukio alishanipiga huko nyuma aisee yanasikitisha zaidi
 
Ndoa yenu ni ya Kiislaam, Kikristo, ah ya serikali, mimi ninachoona umeigamia sana kwenye Mali na umesahau mapenzi m-treat Mr vizuri atakuja kubadilisha msimamo maana wote ni wanae.

Ila kuhusu kulala na Bint yake jamaa kaonesha udhaifu mkubwa sana na kuonesha hana mapenzi na wewe zaid ya mwanae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaaahh umeongea kwa hisia Sana hadi nimeumia kwa kweli pole Sana Dada angu

Ninacho weza kukwambia ni kwamba huyo ni mmeo hivyo usifikilie kumsaliti ila fikilia kumuweka karbu Zaid na Zaid haijalishi itakugarimu kiasi gani kwauda wako na kwa hisia zako but hakikisha una fanikiwa katika hili

Unaweza kuomba nafasi ya kutoka out ukiwa wewe na yeye tu hapo nenda kamuoneshe jinsi gani una mpenda na hauko tayar kumpoteza mpe mapenzi kwa hisia za ndani Sana shoe him how worth he is then baada ya yote mwambie you need a peaceful life na yeye ndie mwenye peaceful life kwako hivyo asikuumize tena

Pia katika out yenu akiwa kwenye mudi nzuri ongea nae juu ya future yenu kuhusu mwanao na huyo na mwanae yule mwambie wote ni wake na wote wanajua yeye kama baba yao hakuna mwingine Zaid yake hivyo ni bora kujenga future sawa kwa wote




Sent using Jamii Forums mobile app
Coment yako imeniliza
 
Pole sana mpenzi. Kama mtu hajapitia unachopitia anaweza fikiri ni story tu kama za Iddi Makengo ila kiukweli haya mambo yapo na yanaumiza.

Kuna muda najikuta najipongeza kwasabu sikufikiri kama maumivu yangu yangeisha na ningekua hivi nilivyo leo.
Kama bado unaipenda ndoa yako fight na pambana hadi isimame na irudi sawa.

Mara nyingine kum-ignore na kupambana kivyako inaweza saidia kumrudisha katika mstari.
Usiishi kwa maumivu kwasabu ukiumia na kukosa furaha itamuathiri mwanao.

Ukishindwa kumbadilisha basi kubali kua imeshindikana na focus on your life n child.

Praying for You.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa yenu ni ya Kiislaam, Kikristo, ah ya serikali, mimi ninachoona umeigamia sana kwenye Mali na umesahau mapenzi m-treat Mr vizuri atakuja kubadilisha msimamo maana wote ni wanae.

Ila kuhusu kulala na Bint yake jamaa kaonesha udhaifu mkubwa sana na kuonesha hana mapenzi na wewe zaid ya mwanae

Sent using Jamii Forums mobile app
Yasikie kwa mwenzio ndoa kikristo aisee
Kulala na bint yake anaona sawa kabisa na kumwambie akalale kwa dada ndo chanzo cha ugomvi
 
Mimi naona km mtoa mada alianzisha migogoro ya Mali (Nyumba) ikapelekea haya na jamaa kuona ivyo kaona km mkewe macho yake yapo kwenye mali zaidi ya kutunza familia

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana nasema hii kesi atafute watu wazima wanao jua hili suala atleast A-X if not Z.

Wataweza kumshauri kwa umakini saana. Wanaume tunabadilika kwa mambo mengi ambayo mwanamke hawezi kuyatarajia.

Hasa.
-Mali kama ulivyosema.
 
Nilichojifunza kwa mwaka 2019...Njia sahihi na salama kwa mwanamke kuwa free kisaikolojia,kihisia na kimahusiano ni kuwa na uhuru wa kiuchumi..Inuka,pambana,fufua biashara yako then raha jipe mwenyewe(ila usiache kumtii coz ni mmeo...

Mungu akutie nguvu,ndoa zina changamoto sana yaani usipokuwa tough unaweza ukakimbia mchana kweupee
 
Back
Top Bottom