Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

Hii ndoa haina hata miaka 5.
Kwa kweli tubakie mabachelol hivi hivi.
Nakumbuka masai dada alikuwa anatafuta sana mume humu na thread.
Akaja kumpata kimasihara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo huyo ni wa humu? Hizi ndo changamoto tusipoolewa tunasemwa

Lkn asimilia kubwa na ya wanawake ndani ya ndoa wanavumilia maumivu makubwa
 
Kuna mvurugano hapo...
Bi mkubwa anataka arudi kambini,inawezekana anapambana kweli aweze kuchukua jimbo.

Ushuri wangu kwako:-
Angalia maisha yako,na mipangilio yako mingi lenga kwa mtoto wako na wewe.
Muda wowote unaweza kuondolewa hapo.
Jaribu kuwa mtulivu na wala usiwekeze nguvu nyingi kwa huyo Mr. na uwe tayari kwa lolote litakalotokea.
Kimaisha na kiuchumi; jaribu kutafuta shughuli za kufanya ili ujiongezee kipato kwa sababu hapo ulipo kuna lolote linaweza kutokea.
 

Sijawahi kuongelea nyumba hizo topic yeye ndo anazipenda.
 
Nenda insta kamfolow idd makengo utakutana na wenye shida kama yako na wengine zaidi yako hautabaki kama ulivyoenda utajifunza kitu, sijaolewa ila sikushauri uondoke mpuuze na kitanda wanacholala na mwanaye kitandike tena vizuri kama mnalala wote hichohicho weka mwambie mtoto alale katikati, kwa kuwa anahudumia familia hela yako sasa dunduliza ukipata anza kujenga taratibu usimbugudhi, hapo usiondoke labda aondoke yeye.
 
Naogopaga hata kumshakia kwa Mungu maana kuna jambo lilimpata acha tu..acha
Yaani basemaga maombi ya mnyonge usikilizwa ila naomba Mungu asimuadhibu
 
Afu bora mru awe mbali akiwa karibu unakua unahamu afu yeye hana mpango
 
Yaani ndo nimechanganyikiwa zaidi na zaidi.nimeamua kukaa kimya tu sina namna kwa sasa.
 
Na mimi nimeandika hivyo hivyo!
Wanaume watatuona jeuri lakini hapaana, nyuma ya hizo nyumba za siri kuna siri nyingi saaana!
Laiti wangekumbuka zile akili waliambiwa watumie maisha yangekuwa rahisi sana. Hakuna mwanamke jeuri kwa mwanaume mwenye akili jamani, hayo yote ni matokeo ya ufurushi wao.
Ndoa nyingi zipo kwasababu zina wanawake wavumilivu wa maumivu mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…