Kwaiyo huyo ni wa humu? Hizi ndo changamoto tusipoolewa tunasemwaHii ndoa haina hata miaka 5.
Kwa kweli tubakie mabachelol hivi hivi.
Nakumbuka masai dada alikuwa anatafuta sana mume humu na thread.
Akaja kumpata kimasihara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana dada! Heri ya mwaka mpya 2020
Suala la mumeo kukwambia nyumba ni ya mtoto linatokana na alichosikia either kutoka kwa marafiki zako au ndugu zako, huenda ikawa unaongelea sana hiyo nyumba na huenda ukawa unaongelea kwa mazuri hauna maana mbaya ya kuwa unaifikiria sana hiyo nyumba. Jitahidi uache kuongelea mali kwa mtu yeyote yule.
Kuhusu kukataa kufanya mapenzi after P nionavyo mimi either anakukomoa baada ya Kukereka aliposikia unaongelea sana mali au ana mtu nje. Endelea kumpenda na muandalie kila kitu kama zamani ila usiongelee masuala ya mapenzi kwa muda wa mwezi mzima au zaidi na uwe unapendeza mara kwa mara especially jioni ili awe anahisi unataka kutoka out, hiyo itamfanya asitoke au awe anatoka huku roho ikiwa juu juu kuwa na wewe unaweza kutoka muda wowote na uonyeshe uko happy!
Ongea na ndugu yake anaekuelewa zaidi kuhusu matatizo yake na onyesha kuwa bado unampenda na unaipenda ndoa yako.
Endelea kupenda mtoto wake na uwe unamuulizia maendeleo yake ya shuleni na likizo wasiliana na mama yake mtoto ili aje tena ku clear hicho kiwingu kilichojitokeza kuhusu kutompenda.
Wish all the best! Be patient kama umeolewa na mmasai huwa wako hivyo kuna ndugu yangu anateswa kama wewe na hapewi hata mia!! Jamaa huwa anaenda sokoni mwenyewe.
Hapa nimeskip vingi kulinda baadhi ya p.info zakeYes, lakini siku realize kama hali ni mbaya kiasi hiki
Naogopaga hata kumshakia kwa Mungu maana kuna jambo lilimpata acha tu..achaKwa sisi wakristo huwa inasemwa alichounganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe. Mbili kaa kimya kama unaweza kukaa kimya maana mawazo yatakuua dada yangu. Tuliza kichwa na kwa vile upo mwenyewe usimwambie mtu maana kama atakua mwanaume ataitumia kama nafasi ya kukutaka na kama ni mwanamke atakutangaza mtaa mzima. Mwambie Mungu kwenye maombi yote na muombe uwezo wa kushinda. Trust me sijapitia yako ila matatizo yangu huwa nalia na Mungu na sina tena msongo wa mawazo maana unaweza kukuua bila kutarajia. Fanya biashara zako ndogo ndogo huku ukilipa mkopo wako taratibu, nunua kiwanja jenga. Andika jina la mama yako maana ukiandika lako anaweza kudai share yake siku ya kuachana.
Baada ya hapo msome anaendaje ila pia jiepushe kuzaa mtoto mwingine na yeye. Hii plan itakuchukua hata miaka miwili ila siku unaondoka kwake hataamini. Maana ukibeba mimba nyingine mateso ya mwanzo yatakua madogo kuliko ya pili. Mvumilie usimuulize chochote ila jipange maana hapo hata wakwe tu inaonekana hawapo upande wako. Umebaki na Mungu pamoja na kichwa chako. Fanya uamuzi mwenyewe dada yangu la sivyo utalia mpaka utakua kichaa
Umeongea kila kitu kuhusu hii ndoa kwenye hii coment.Na mapenzi pia ni yapo upande mmoja wa mke. Mume ni kama yupo vitani wakati wote. Anatafuta tu uongee ayakuze
Sipo after mali dear...ndo maana nilipambana na ninapambana...Mimi pia Nahisi hii kitu ilitokea! Mwanaume akigundua kuwa upo after mali hata kama una upendo lazima atapoteza mapenzi kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ndoa haina hata miaka 5.
Kwa kweli tubakie mabachelol hivi hivi.
Nakumbuka masai dada alikuwa anatafuta sana mume humu na thread.
Akaja kumpata kimasihara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu bora mru awe mbali akiwa karibu unakua unahamu afu yeye hana mpangokupigwa mswaki kwenye ndoa kunauma Sana. Imagine unasubiri mechi kwa hamu halafu mwenzio anakataa dah hakuna mateso makali kama hayo. Huyo jamaa angekuwa anapasha hata kimoja kwa siku angekupunguzia machungu sana. Pole Masaidada ugwadu ugonjwa mbaya sana
Hapana nilikutana nae duniani
Yaani ndo nimechanganyikiwa zaidi na zaidi.nimeamua kukaa kimya tu sina namna kwa sasa.Hapana hajatokea humu.
masai dada nimeona unaishi karibu na shule kwenye hiyo id ya mimi90.
Funga asikirimu zile za mia mia za ukwaju na ubuyu uza huwezi kosa pockey money wakati mengine yanajisort out.
Ukiwa financial haupo poa na mtu anakuvuruga hivo ni hatari zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mimi nimeandika hivyo hivyo!
Na mimi nimeandika hivyo hivyo!
Wanaume watatuona jeuri lakini hapaana, nyuma ya hizo nyumba za siri kuna siri nyingi saaana!
Laiti wangekumbuka zile akili waliambiwa watumie maisha yangekuwa rahisi sana. Hakuna mwanamke jeuri kwa mwanaume mwenye akili jamani, hayo yote ni matokeo ya ufurushi wao.Na mimi nimeandika hivyo hivyo!
Wanaume watatuona jeuri lakini hapaana, nyuma ya hizo nyumba za siri kuna siri nyingi saaana!
Jesus!! Mkipendwa ndio mwawaita wenzenu kupe!! Haki hizi ndoa[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Bora hiyo kuliko mimi yaani nahisi nmeoa wakati nipo single... Taabu tupu anavyoniganda huyu kupe
Na imani ukiungana na mleta mada,mambo yatakuwa motooooBora hiyo kuliko mimi yaani nahisi nmeoa wakati nipo single... Taabu tupu anavyoniganda huyu kupe
Wewe bado hujaanza tuu dada, nasubiria uanze mimi nifuate hapo nyuma yako! Hawatabiriki hawa!