Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kauli ya iko siku atakupigia magoti ni siku gani hiyo kumbuka kuna presha kwa ajili ya mawazo hajui lini atafurahia ndoa yake tena.
Unaona wivu kwani? Hamna bahati ndiyo kwani uongo
Hamna namnaKibomba cha maji kisikien tu
Hiki kitu ni hatariiii sana. Yaani kisikie sehemu tu..usijaribu. Daah Ngoja nitaendelea kuandikawww.jamiiforums.com
Sent using Jamii Forums mobile app
UmemissikaaaaaaaaVile mnanipenda nimeacha tabia mbaya aisee humu ni km familia sikutegemea doh nawapendeni pia
Hukuweka booking kablaKuwa kwenye mahusiano na mtu mwenye watoto kabla yako ni ngumu sana. Birthday yangu ni New Year, huo mwaka nilichukua holiday kazini nilijua New Year na birthday itakuwa romantic time. Khee nimeambiwa wanakwenda sea side
Pole na mm Nina mtoto kabla ila naishi naye toka 4yrs old leo yuko form3 tuliyaweka swwa kabla na mama yake likizo moja kwangu ingine kuwa mama yake she has two mamas she told me she is among the lucky child to have two mother..... Sijui kama iko practical kwa wengineHukuweka booking kabla
Pole sana jamani kakaBasi na wewe uache kuita watu mafurushi, sijui huwa mnajisikiaje ku-intimidate wenzenu kwa maneno yenye karaha, japo kila mtu anafanya anavyoona inafaa..
Too much of anything is harmful. .si unaona alivo take advantage? ? Kuna mahala Hawachi amesema " kwenye mahusiano/ ndoa kuna sehemu inatulazimu tuwe katili tu inapobidi. . No wayyYaani hata mimi nasema niwe na ujasiri tu wa kuignore mambo yake ila nahisi ninampenda ndp maana nasumbuka
Mmmh! Mwenzangu we acha tu dada kumbe raha ya ngoma ni kuingia ucheze.
My dear abuse is abuse no matter it's form...kua abused sio lazima physically. Huyo mume ana mu abuse emotionally,mentally and financially....which in my view is far worse than physical abuse.Why?Because in my opinion ukiwa abused physically unaweza kujitetea kwa kurudisha mapigo (if you can)na ni rahisi watu kukutetea kwasabu watakuona na majeraha.Masai dada jipe raha, muhimu hulipi kodi na pesa ya kula anatoa na hakupi physical abuse.
Kuwa kimya usiongelee lolote wakati watu wanajadili ya kufanya hapa.
Mumeo ana mentality ile wewe ni mama wa kambo.
Nikitulia nitarudi tena kushauri hapa nipo juu juu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, as long as anahudumia familia, wewe mambo yote yapuuze. Focus maisha yako na wanao. Kikubwa ukipata pesa anza ujenzi wa nyumba yako jina andika la mama yako, hati usiweke nyumbani mwako. Pia hakikisha mama yako anaandika usia na kusainiwa na ndugu na mwanasheria kukurithisha nyumba hiyo wewe peke yako ili huko mbele ndugu wasijegombea kusema mgawane wakidhani ni ya mama au wengine kulazimisha kuwa ni ya mama huku wakiwa wanajua ni yako.Sipo after mali dear...ndo maana nilipambana na ninapambana...
Asante mdogo wangu!Pole sana jamani kaka
You remind me of Lara 1Acha tu.
Mwenzetu yamemkuta kaanza vibaya hana sh mia na anadaiwa rejesho la riba, dudu pia hapati na mume anamsakama tunamsaidiaje?
Sent using Jamii Forums mobile app