Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Dah Patrick anasimulia real life situations, hiyo ya kufanya ujinga then unaanza kujilaumu na unabembeleza mtu haelewi ni kulia tu ilishawahi nitokea, ukiwa na moyo mwepesi unaweza kujinyonga maana ukifikiria jamii itakuonaje na hadhi uliyokwisha kujijengea unaona dunia imekutenga
Imenikuta wiki iliyoopita tu
 
Wakati tunasubiri kikao cha patrickk na mama mkwe tuendelee alipoishia

.......
Nilitoka kazini kama kawaida nikapitia kwenye ule mgahawa alikuwa akifanya kazi Rechal dadake G nikamkuta yule rafiki yake wa zamani,amependeza kwelikweli,nilivutiwa naye nikachukua namba,nikasepa zangu,
Nikiwa njiani G akanitumia meseji , "kaka tuonane kabla hujaonana na mama ,nakuja huko nyumbani " nikajibu "OK" nimefika home nikamkuta G ananisubiri huku amechangamka isivyo kawaida, nikamuHUG pale tuakingia ndani ,kama mjuavyo wapenzi wasomaji mapenzi yana nguvu tuliishia kulala ,nimekuja kushtuka mida ya saa 4 usiku,kucheck simu naona missed call kama 10 za mama mkwe........
Mara nikasikia sauti huko nje,kumbe mama mkwe alikuja na wale wazee waliopanga mahali ya rechal.......

Itaendelea saa 3:42 usiku
 
Wakati tunasubiri kikao cha patrickk na mama mkwe tuendelee alipoishia

.......
Nilitoka kazini kama kawaida nikapitia kwenye ule mgahawa alikuwa akifanya kazi Rechal dadake G nikamkuta yule rafiki yake wa zamani,amependeza kwelikweli,nilivutiwa naye nikachukua namba,nikasepa zangu,
Nikiwa njiani G akanitumia meseji , "kaka tuonane kabla hujaonana na mama ,nakuja huko nyumbani " nikajibu "OK" nimefika home nikamkuta G ananisubiri huku amechangamka isivyo kawaida, nikamuHUG pale tuakingia ndani ,kama mjuavyo wapenzi wasomaji mapenzi yana nguvu tuliishia kulala ,nimekuja kushtuka mida ya saa 4 usiku,kucheck simu naona missed call kama 10 za mama mkwe........
Mara nikasikia sauti huko nje,kumbe mama mkwe alikuja na wale wazee waliopanga mahali ya rechal.......

Itaendelea saa 3:42 usiku
NGUMU KUMEZA 🌚
 
Wakati tunasubiri kikao cha patrickk na mama mkwe tuendelee alipoishia

.......
Nilitoka kazini kama kawaida nikapitia kwenye ule mgahawa alikuwa akifanya kazi Rechal dadake G nikamkuta yule rafiki yake wa zamani,amependeza kwelikweli,nilivutiwa naye nikachukua namba,nikasepa zangu,
Nikiwa njiani G akanitumia meseji , "kaka tuonane kabla hujaonana na mama ,nakuja huko nyumbani " nikajibu "OK" nimefika home nikamkuta G ananisubiri huku amechangamka isivyo kawaida, nikamuHUG pale tuakingia ndani ,kama mjuavyo wapenzi wasomaji mapenzi yana nguvu tuliishia kulala ,nimekuja kushtuka mida ya saa 4 usiku,kucheck simu naona missed call kama 10 za mama mkwe........
Mara nikasikia sauti huko nje,kumbe mama mkwe alikuja na wale wazee waliopanga mahali ya rechal.......

Itaendelea saa 3:42 usiku
Pale unapojitahidi kupunguza arosto lakini inashindikana apa hatima yetu ipo kwa kaka patrickk labda leo atakuwa kazini ivyo tuwe na subla Ndugu zangu
 
Aisee kusema na ukweli hiyo familia kuanzia mama na watoto wake wote hawana maadili yaani hapo haiusiani na kwamba wao ni familia ya uswahilini… familia haina nidhamu hata kidogo

Hivi mama unawezaje kwenda kwa mkwe wako hovyohovyo hivyo… tena binti yako alishaachwa et unapeleka binti yako ambae ni mdogo kabisaa akashinde nyumbani kwa shemejii yake.. inahitaji akili finyu kabisaa mpk mtu afikie hatua hiyo

Hiyo familia haina adamu na 90% mama amechangia kuharibu mabinti zake.. mtoto kulikuwa kuna uwezekano wa Patric kumuona akiwa hukohuko kwa mama mkwe wake.. yaani binti mdogo sana huyo Grace anafanyiwa ukatili na shemejii mtu.. familia ya kishenzi sana hiyo[emoji41]
Upo sahihi
 
Back
Top Bottom