Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Ah ah mmeanza michezo Ile ya kipindi kile maana kimbu alipata tabusa sana kwel Jammiforum never get old
Somo la ufupisho ulihudhuria 😅upo vZuri kiswahili one
Oya basi tume 60/100 bado ipo vZuri maana hiyo ni BAh ah apo amechemka bila kuwataja wale wajomba wa mchongo hapana habari bado ijafupishwa na kueleweka 🤣🤣🤣
Imenikuta wiki iliyoopita tuDah Patrick anasimulia real life situations, hiyo ya kufanya ujinga then unaanza kujilaumu na unabembeleza mtu haelewi ni kulia tu ilishawahi nitokea, ukiwa na moyo mwepesi unaweza kujinyonga maana ukifikiria jamii itakuonaje na hadhi uliyokwisha kujijengea unaona dunia imekutenga
NGUMU KUMEZA 🌚Wakati tunasubiri kikao cha patrickk na mama mkwe tuendelee alipoishia
.......
Nilitoka kazini kama kawaida nikapitia kwenye ule mgahawa alikuwa akifanya kazi Rechal dadake G nikamkuta yule rafiki yake wa zamani,amependeza kwelikweli,nilivutiwa naye nikachukua namba,nikasepa zangu,
Nikiwa njiani G akanitumia meseji , "kaka tuonane kabla hujaonana na mama ,nakuja huko nyumbani " nikajibu "OK" nimefika home nikamkuta G ananisubiri huku amechangamka isivyo kawaida, nikamuHUG pale tuakingia ndani ,kama mjuavyo wapenzi wasomaji mapenzi yana nguvu tuliishia kulala ,nimekuja kushtuka mida ya saa 4 usiku,kucheck simu naona missed call kama 10 za mama mkwe........
Mara nikasikia sauti huko nje,kumbe mama mkwe alikuja na wale wazee waliopanga mahali ya rechal.......
Itaendelea saa 3:42 usiku
Pale unapojitahidi kupunguza arosto lakini inashindikana apa hatima yetu ipo kwa kaka patrickk labda leo atakuwa kazini ivyo tuwe na subla Ndugu zanguWakati tunasubiri kikao cha patrickk na mama mkwe tuendelee alipoishia
.......
Nilitoka kazini kama kawaida nikapitia kwenye ule mgahawa alikuwa akifanya kazi Rechal dadake G nikamkuta yule rafiki yake wa zamani,amependeza kwelikweli,nilivutiwa naye nikachukua namba,nikasepa zangu,
Nikiwa njiani G akanitumia meseji , "kaka tuonane kabla hujaonana na mama ,nakuja huko nyumbani " nikajibu "OK" nimefika home nikamkuta G ananisubiri huku amechangamka isivyo kawaida, nikamuHUG pale tuakingia ndani ,kama mjuavyo wapenzi wasomaji mapenzi yana nguvu tuliishia kulala ,nimekuja kushtuka mida ya saa 4 usiku,kucheck simu naona missed call kama 10 za mama mkwe........
Mara nikasikia sauti huko nje,kumbe mama mkwe alikuja na wale wazee waliopanga mahali ya rechal.......
Itaendelea saa 3:42 usiku
yaah sure aisee!! Kuna ka feeling fln ivi kakanipitia tu. nilipo fika hapo.Hapo kwenye "kaka nisamehe" pameniumiza kihisia kwakweli.
Upo sahihiAisee kusema na ukweli hiyo familia kuanzia mama na watoto wake wote hawana maadili yaani hapo haiusiani na kwamba wao ni familia ya uswahilini… familia haina nidhamu hata kidogo
Hivi mama unawezaje kwenda kwa mkwe wako hovyohovyo hivyo… tena binti yako alishaachwa et unapeleka binti yako ambae ni mdogo kabisaa akashinde nyumbani kwa shemejii yake.. inahitaji akili finyu kabisaa mpk mtu afikie hatua hiyo
Hiyo familia haina adamu na 90% mama amechangia kuharibu mabinti zake.. mtoto kulikuwa kuna uwezekano wa Patric kumuona akiwa hukohuko kwa mama mkwe wake.. yaani binti mdogo sana huyo Grace anafanyiwa ukatili na shemejii mtu.. familia ya kishenzi sana hiyo[emoji41]
😂😂😂😂Kikao kwenye 1 na 2. Mama mkwe alishajua unakula binti yake mdogo sasa subiri ukutane na wale wazee wa mara ya kwanza kwenye kikao cha Recho 😂😂
Jamaa ajiandae vizuri sana 😂😂Kikao cha majadiliano ya kutafuna mtu na dada yake wazee watapiga afaini ya kujenga ghorofa [emoji23]
Ana balaa huyu jamaa 😂😂😂Kumbuka hapo bado wanamdai mahali ya Recho,sasa faini ya G sijui itakuwa bei gani,kumbuka G alikuwa bikra