Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?


Hawana adabu hiyo familia.. kitendo tu cha mama mkwe kumuuliza Patric anampango gani na binti yake na wakati hawafahamiani tayari kilishusha heshima yake..

Mama anatoka out na mkwe wake tena ambae walishaachana na binti yake.. mimi sikujua kama wamama wa kisukuma wanaweza kuwa na tabia hizo kuzoeana na mkwirima wako ni upuuzi
 
Shemejiiiii mrudie mwana….πŸ˜‚
 
Shemeji hebu Muoneee huruma Mtoto wa Mwanamke Mwenzio, Jamaa yetu anakumiss mno!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…