Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Hawa wazee wanasema siku ya tambiko lazima tuwepo hasahasa wewe, tuwe makini Mzee Hawa watu huku ni wajinga Sana tunaweza kwenda kichwa kichwa tukaishia kuchapwa viboko na uzee huu"
Aisee nimecheka Sana🤣🤣🤣🤣
Huyu Mzee wa mission ananikumbusha Baba mdogo wangu mmoja ivi..Yaani maneno kibao utafikiri kazaliwa mjini kumbe hamna kitu😂
 
😀😀eti kuchapwa viboko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…