Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Kijana pole sana,unamajanga sana
Nasisitiza nataka namba za Mary
Una baba mdogo wa maana sana
Majanga yako ni sawa na mtu anayetomba volcano
Unazungumziaje uchaguzi wa Chadema hasa Yeriko na Ntobi kipara na hoja zao?
 
Pole mkuu naona wazee wa TGS D wanataka kukutoa roho na laki 6
 
Sasa huyu Binti(Rachel) kumbe kichwa chake kina wadudu, nilikua simjui vizuri

Umeishia penyewe
Sijui tu balaa la huyo mwanamke, na imagen kuna wanawake fulan hvi huwa wanaongea kama mtu kafungiwa mashine mdomoni, sasa uje ukutane na mwanamke wa vile, utajuta.
 
Mbona mm hunilipi lile deni langu sasa?
Ila watu wakigundua huo udhaifu watakutumia vibaya hadi uombe poo... Yaani mwendo wa kukaza, kabia juu mpaka watu waseme.
 
Usiisome sasa
 
Kwa taarifa tu rachel ataenda kwa patrickk na atataka waishi wote na mdogo wake, yaani hata kulala walale wote 3 kitanda kimoja.
 
Mbona mm hunilipi lile deni langu sasa?
Ila watu wakigundua huo udhaifu watakutumia vibaya hadi uombe poo... Yaani mwendo wa kukaza, kabia juu mpaka watu waseme.
Hahah njoo nikulipe
Bibiyngu aliniita sikumoja alinichamba yule mzee alinmbia sitoendelea Yan nisipoangalia nitakuwa maskin nikiendekeza hiyo tabia kias nimepunguza kunamda nakaza lkn ni nature nafikir kunawakati nashindwa
 
Lete Rechoooo,,,,
 
Hahah njoo nikulipe
Bibiyngu aliniita sikumoja alinichamba yule mzee alinmbia sitoendelea Yan nisipoangalia nitakuwa maskin nikiendekeza hiyo tabia kias nimepunguza kunamda nakaza lkn ni nature nafikir kunawakati nashindwa
Kuna ule uzi wa kulinda vitu upitie, kuna point niliipata kule, kwamba kitu kigumu siyo kupata ila kulinda... Yaaani kupata laki siyo tatizo kuilinda ubaki nayo ndo kazi ...
Usiachie kirahisi kitu ambacho umekipata eti kisa kuna kamtu kanaleta zogo, panda naye juu mpaka haki yako ibaki...

Au tu uwe karibu yangu niwe nakufundisha mara kwa mara 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…