Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Sema nini binadamu tupo tofauti sana, mimi hata kama ni ndugu wa damu akinipeleka selo na undugu unakufa.

Unajua kabisa mwanamke ni dege lisilolika unarudi tena pale pale, aisee!!! Hivi mkuu ulishajaribu kupima? Mana huko Geita Gold sio poa.
 
Mimi huwa nawashagaa sana wasomi, au kuna siri gani kwenye pombe na madawa yakulevya haya. Unakuta msomi mzuri tu lakini pombe singira na makolokocho kibao anatumia

Mimi ambaye nilishia darasa la 7 tulifudishwa hivyo vitu ni hatari kwa afya zatu za akili na mwili,.

Hadi leo naviogopa kama mamamkwe wa patrickk.

Nyie wasomi hebu nifungueni hii code au uko mbele huwa munafundishwa siri yakutumia pombe.
 
Wasomi wengi ni wapweke
 
Hii ni simulizi boss ilishapita mpaka kuona mtu anasimulia ni zilipendwa mara nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…