Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Si wote tungekuwa walokole tu jamni tumkatae shetani na mamboyake 😀😀Kila mtu anapenda sema mwingine yupo huru kueleza mwingine kama ndo Ile kimya kimya, eb fikiria maisha bila hayo maniaje😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si wote tungekuwa walokole tu jamni tumkatae shetani na mamboyake 😀😀Kila mtu anapenda sema mwingine yupo huru kueleza mwingine kama ndo Ile kimya kimya, eb fikiria maisha bila hayo maniaje😁
Leo nachelewa Sana kulala lazima episode itashuka tu mkuuShusha epsod ingine au mpaka kesho mkuu.
Tunasubiri kesho nisinzie vizuri kwenye mitihani 😀Leo nachelewa Sana kulala lazima episode itashuka tu mkuu
Mitihani ya nini tena?Tunasubiri kesho nisinzie vizuri kwenye mitihani 😀
Test tu za kawaidaMitihani ya nini tena?
Huyu sio kwamba nilikua namuogopa, nilikua naenda nae kiakili sababu ya mtoto, maana sheria zetu kama hakuna kipangamizi Cha msingi mama ana Haki ya kukaa na mtoto mpaka afike miaka 7Ila Recho sio wa kumuogopa kabisa
Kila kizuri ni Cha shetani bangi shetani, mapenzi shetani, mpira shetani, kitimoto shetani, pesa shetani & pombe shetani 😂😂Si wote tungekuwa walokole tu jamni tumkatae shetani na mamboyake 😀😀
Poleh Sana, elimu Haina kikomoTest tu za kawaida
Kusoma uzeeni tabu sana😀
😀😀😀😀Bangi TenaKila kizuri ni Cha shetani bangi shetani, mapenzi shetani, mpira shetani, kitimoto shetani, pesa shetani & pombe shetani 😂😂
Test 2Test tu za kawaida
Kusoma uzeeni tabu sana
YeahTest 2
Kila la heriYeah
Kila kinacholeta vibe kimenasabishwa na shetani😀😀😀😀Bangi Tena
😀😀Kumbe inaleta vibe eehKila kinacholeta vibe kimenasabishwa na shetani
AminKila la heri
AsantePoleh Sana, elimu Haina kikomo
Poa ngoja niandike, karibu whiskey mkuu Ili kesho ukiingia kwenye test unakua na confidence kama ba mdogo😀Asante
Muendelezo mkuu tunasubir
We zuga tu kama huelewi😀😀Kumbe inaleta vibe eeh