bora uvute bangi 😂Kwani utaenda nayo mbinguni?
Wapo wengi tu. Kabila halina uhusiano wowote na taaluma.Mmasai wa kwanza kuwa Dr hongera
mtoto wa zanzibar wewe 😂Huku chuga bangi ka amila tu tunaumulia maandazi
Hadi bange nimevuta sema ugoro unashawishi mtu uende kunya chap chapHahaha enzi za ujana wangu niluenda mtembelea bibi huko Tanga, Alikua anamiti ya ugoro na tumbaku + ule ugoro wa kununua
Nilikuwa na gonga nae pasu pasu alinipenda sana soon nitaenda kumuona tena
Ni feel the difference
Gily
mshamba_hachekwi
Mshawahi pata hii kitu
Na members wengine toeni experience zenyuuu
Huyo mpuuzi tu. Ukiitwa Mmasai unabadilika? Ulimbukeni.I know but jokes tu
Kuna demu mmasai hataki umuite mmsai hata kwa bahati mbaya
Vp mizizi unayo?
Naomba umuulize huyu Dr Restart kama ni Me au ni Ke. NimemuliA mar tatu hajawah nijibu hata siku moja. Ananiambia huu uandish ni wa me au ke?Mmasai wa kwanza kuwa Dr hongera
Wapiiii?mtoto wa zanzibar wewe 😂
Mkuu tayari nimekuadd kule tupiemo basiHadi bange nimevuta sema ugoro unashawishi mtu uende kunya chap chap
Huyu ni meNaomba umuulize huyu Dr Restart kama ni Me au ni Ke. NimemuliA mar tatu hajawah nijibu hata siku moja. Ananiambia huu uandish ni wa me au ke?
Mbona humu ndani malalamiko ni menginimeoa mwanamke wa kimasai aisee kama huyajui mapenzi oya mmasai itafurahi sama. Ananifanyq nijihisi mfalme😊
ugoro sijawahi tumia. Ila nimeshaeahi tukia Kuber mara moja nina uhakika ulikuwa hujazaliwa🤣