Ushawahi kula ugoro wewe?

Ushawahi kula ugoro wewe?

Uboboh

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2023
Posts
307
Reaction score
904
Hahaha enzi za ujana wangu niluenda mtembelea bibi huko Tanga, Alikua anamiti ya ugoro na tumbaku + ule ugoro wa kununua
Nilikuwa na gonga nae pasu pasu alinipenda sana soon nitaenda kumuona tena
Ni feel the difference

Gily
mshamba_hachekwi
Mshawahi pata hii kitu

Na members wengine toeni experience zenyuuu
 
Kuna jamaa mla ugoro kila akistua lazima akanye kama bata.
😂😂😂😂 Chai
FB_IMG_1685300084423.jpg
 
Hahaha enzi za ujana wangu niluenda mtembelea bibi huko Tanga, Alikua anamiti ya ugoro na tumbaku + ule ugoro wa kununua
Nilikuwa na gonga nae pasu pasu alinipenda sana soon nitaenda kumuona tena
Ni feel the difference

Gily
mshamba_hachekwi
Mshawahi pata hii kitu

Na members wengine toeni experience zenyuuu
Hadi bange nimevuta sema ugoro unashawishi mtu uende kunya chap chap
 
I know but jokes tu
Kuna demu mmasai hataki umuite mmsai hata kwa bahati mbaya
Vp mizizi unayo?
Huyo mpuuzi tu. Ukiitwa Mmasai unabadilika? Ulimbukeni.

Hapana..tafuta vijana watakusaidia.
 
mtoto wa zanzibar wewe 😂
Wapiiii?
Hadi bange nimevuta sema ugoro unashawishi mtu uende kunya chap chap
Mkuu tayari nimekuadd kule tupiemo basi
Naomba umuulize huyu Dr Restart kama ni Me au ni Ke. NimemuliA mar tatu hajawah nijibu hata siku moja. Ananiambia huu uandish ni wa me au ke?
Huyu ni me
nimeoa mwanamke wa kimasai aisee kama huyajui mapenzi oya mmasai itafurahi sama. Ananifanyq nijihisi mfalme😊
Mbona humu ndani malalamiko ni mengi
ugoro sijawahi tumia. Ila nimeshaeahi tukia Kuber mara moja nina uhakika ulikuwa hujazaliwa🤣
FB_IMG_1685300084423.jpg
 
Back
Top Bottom