Uboboh
JF-Expert Member
- May 21, 2023
- 307
- 904
Hahaha enzi za ujana wangu niluenda mtembelea bibi huko Tanga, Alikua anamiti ya ugoro na tumbaku + ule ugoro wa kununua
Nilikuwa na gonga nae pasu pasu alinipenda sana soon nitaenda kumuona tena
Ni feel the difference
Gily
mshamba_hachekwi
Mshawahi pata hii kitu
Na members wengine toeni experience zenyuuu
Nilikuwa na gonga nae pasu pasu alinipenda sana soon nitaenda kumuona tena
Ni feel the difference
Gily
mshamba_hachekwi
Mshawahi pata hii kitu
Na members wengine toeni experience zenyuuu