Ushawahi kumkimbia mwanamke guest?

Ushawahi kumkimbia mwanamke guest?

Sikuhizi kuna style moja
Wanakupa utom....e tu huku kwenye maziwa anagoma kunyofoa nguoo

Ndugu kuna mmoja niliforce bahati nkamhakikishia nampa 20 badla ya 10k

Kufungua nguo madonda kama yote yamezingiraa maziwa juu chini....tukabywa nkaset saa alarm baada ya dk 15 ikaita kama simu imepigwa

Nkamwambia hny nafika hapo afrikasana hip 2022..akasema hurudi hny akanza kunihold nkamwambia kama huaminishikaa hii 10000 tukigongana namalizia 10000 nkaacha bia nzima nanusu yangu....

Nimepanda basi kufika mwenge nkamusms malov yaan sis kapata shida huku wewe malizia hioo bia mpenzi...

Duduloteee lililala chini siku 3 sinahamuu
Kwa haraka haraka ulihisi madonda hayo yametokana na nini?
 
Embu simulia wengine uwenda walikutana navyo wakaona kawaida
Nimesema hio leo sisimulii ila kagueni mapele kabla ya kuanza gemu yanaotaga sana mgongoni nilitoka umeme ngiri akasome, hakikisha umewasha taa mwanga wa kutosha sio mwanga hafifu tembea na LED bulb au beba LED lamp la solar mmulike umeme ukizima usilale nae gizani
 
Je ulishawai mkimbia mwanamke au kumuacha mwanamke gesti baada ya kutofautiana na je sababu ilikuwa ipi ukamuacha peke yake ukasepa zako?
Nilikutana na pisi moja hapa Dom siku hiyo wife alikuwa safari kama week hivi upwiru umenikaba balaa ikabidi nizame restaurant flani karibu na UDOM kuna demu mmoja mzuri ana tako balaa ni mhudumu wa restaurant ananifahamu huwa naendanga hapo mara moja moja kuwinda vitoto vya UDOM
Sasa siku hiyo nikampanga huyo demu akaniahidi nisubiri mida ya saa tano usiku atoke kazini muda ulipofika nikamchukua mpaka lodge kilichonikuta niliishiwa hamu kabisa!
Demu ana uchi mkubwa kama kikapu Yaani niliingiza nikawa sihisi chochote wala sigusi hata ukuta halafu kuna harufu kama uozo wa samaki aina ya Sangara🙌🙌
Kifupi nilimuaga kwamba nachukua vocha nje ni kapita hivi
 
Je, ulishawai mkimbia mwanamke au kumuacha mwanamke gesti baada ya kutofautiana na je sababu ilikuwa ipi ukamuacha peke yake ukasepa zako?
Sikumkimbia ...nilimfukuza kabisa kwangu akatafute nauli mbele huko ..... Nilimtumia nauli aje home ni yaani atoke Mwanza mjini aje Sengerema..na hesabu zilikuwa ni alale ..akaja kweli ... Sasa alipofika mida ya mchana kama saa 8 hivi akafika kweli .... Issue ikaja eti oooh nyumbani sijaaga ..tufanye harakaharaka nirudi .... Nikambembeleza weee haelewi ... Nikamwambia tu haya Nenda ..siwezi kufanya harakaharaka hivyo kama kuku.... Una haraka haya wahi basi uwahi feri.....
 
Back
Top Bottom