Ushawahi kumlipia mchepuko wako kodi ya nyumba?

Acha ujinga Kaka. Hiyo pesa tumia kwa mkeo, mtoto wako na wazaz wako. Binafsi sipo tayar kuwa mtumwa wa uchi
 
Huwezi amini. Unaweza kuta kuna boya anamla kilaini tu ila kwako anakaza pengine kwa jinsi unavyomuona wa matawi.
 
Acha kuhalalisha, huyo demu kakuona boya tu asee.
Kitendo cha kukwambia ana mtu wake na wewe bado ukaendelea kumsaidia akilia shida ndio kosa kubwa.
Ungemfungia vioo yeye ndo akutafute.

Kama mwamba alivyosema hapo juu, wanawake wanapendaga sana play boys na vichwa ngumu. Ila wewe laini tu

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Sex ulianza ukiwa na miaka mingapi???
Mpaka umeoa ulishatembea na wanawake wangapi???

Nachokiona mimi ni mshamba wa wanawake kaweka post yake tu comment au basi mtu aliyelogwa.Kifupi sio mtu timamu hapa
 
Huwezi amini. Unaweza kuta kuna boya anamla kilaini tu ila kwako anakaza pengine kwa jinsi unavyomuona wa matawi.
Unaweza kuta kuna Bodaboda ndiyo anabembelezwa,akichunwa pesa yote anapelekewa msela wake wa bodaboda!!
 
Siyo kila demu utakae muhonga lazima umle,ukiona kuna ugumu sana wa kupewa mgeggedo wwe potezea! na Kama ni zali lako utatafutwa tu na utapewa kiiulaini bila kuforce king!!
 

Kosa kubwa la kwanza ulilolifanya, ni kuanza ku spend hela nyingi kwa mwanamke kabla hujamla. Kwahiyo sasa unaona shida kuachana nae maana unawaza hela zako nyingi ulizotumia zitakua zimeenda bure! Na huyo mwanamke analijua hilo, ndio maana anaendelea kukuvuta ili aendelee kukutumia zaidi. Na wewe unadhani kuwa ukiendelea kupandisha dau ndio utampata! Ila amin amin nakuambia, huyu mwanamke hutakaa umle labda umuwekee madawa ya kulevya umbake!!! Hii ni kwasababu yeye mwenyewe anajua kabisa kwamba ukishamla utakata mrija wa hela na wakati yeye bado hajamalizana na wewe.

Kosa la pili, kila siku nasema humu. Unapoanzisha mahusiano na mwanamke, hasa kama huyo mwanamke ni mzuri, una kipindi kifupi sana cha kuhakikisha umemla! Mimi hua nasema isizidi wiki mbili, maana ikishazidi hapo kumbuka mwanamke mzuri ana wanaume wengi wanaomfukuzia kwa mbinu mbalimbali. Kadri muda unavyopita bila kumla, ndivyo mvuto wako kwake unavyoenda ukipungua na mwisho anakua hana tena mzuka na wewe. Anabaki kukuchuna tu.

Mwisho kabisa nikushauri tu. Hakuna papuchi yenye thamani kubwa kiasi icho ambacho unataka kutoa. Hata ikitokea ukaja kumla, utajilaumu sana kwanini ulitumie hela zako nyingi wakati hautakuta maajabu yoyote.
 
Mkuu unaenda kuharibu maisha yako kwa kitu kidogo ambacho unaweza kukiepuka.....

Hiyo nafsi iliyokusitisha usifanye muamala endelea kuisikiliza.

Huyo dada hana cha kukupa zaidi ya alivyonavyo mkeo.
 
Mkuu unaenda kuharibu maisha yako kwa kitu kidogo ambacho unaweza kukiepuka.....

Hiyo nafsi iliyokusitisha usifanye muamala endelea kuisikiliza.

Huyo dada hana cha kukupa zaidi ya alivyonavyo mkeo.
Halaf kamu-overate kwenye mindset yake ilihal huyo demu anapuu chooni choo kinajaa harufu, anakojoa na sometime mkojo unamchrizika ndani ya kyupi, analeta pozi kwa vile kapata wa kumfanyia pozi ila kiukwel mademu waliumbwa kwa ajili yetu tuwale, hizo zingine huwa mbwembwe tu zisizo na mshaiko, jamaa akijiongeza kidogo kwa kutuliza akili anamkula simple tu bila kutumia garama zote hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point
 
Mpaka hapo brain yako ishafanya maamuz huku nazan umetushirikisha tuone ulivyo kichwa kumaji kwan kiwango chako cha kufikili na kutenda kimesha kamilika.
But naomba usitujumlishe kuwa wanaume wote tuna akili kama zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…