Ushawahi kumlipia mchepuko wako kodi ya nyumba?

Ushawahi kumlipia mchepuko wako kodi ya nyumba?

Michepuko kwa kuroga tu [emoji119][emoji119][emoji119]
Waache waiendekeze

Watakula sana takataka hadi nyama zilizovundikwa sehemu za siri

Watachomewa chumvi na kufunikwa kwa nyungo mpaka wachanganyikiwe

Si hawaridhiki na wake zao!!!!
 
Waache waiendekeze

Watakula sana takataka hadi nyama zilizovundikwa sehemu za siri

Watachomewa chumvi na kufunikwa kwa nyungo mpaka wachanganyikiwe

Si hawaridhiki na wake zao!!!!
Wanaume wanarogwa kwakweli, ni wa kuonea huruma tu
 
Inatehemea unakula ya nani, ukiendekeza hizi za mtaani kwa mtogole na buza utakishwa hadi mkojo
Wala hata sio hao tu....
Mi kuna best angu alikua akinisimulia daaah nabaki kucheka tu wala sio wa mitaa hiyo ni mdada wa maana mwenye biashara zake anamwendea kwa mtaalamu mme wa mtu yani akikohoa mwanaume kafika akiomba hela hakuna cha kusubiri hahahha
 
Kuna mwanamke hapa namfatilia ni almost mwaka sasa , hajawahi kunipa game japo huwa tunatoka outing mara nyingi lkn nikimgusia mambo ya sex tunagombana hata kusikia anasema mpaka ndoa hataki kutoa mzigo ila nimekuwa msaada kwake kwa mambo mengi lkn mishen yangu ya kusex nae haijatimia,

Na kila nikitaka kuachana nae naona ananipotezea mda najikuta nimemchek na kumsaidia kitu fulan yeye hana zile papara sna na mimi but akiwa na shida atanichek, uzur nishajua ana mshikaji wake yupo nae kitambo na hilo alisema mwenyewe but Yaan tupo tu Yaan sametimes nakuwa sielew kwann tunakuwa pamoja

Now nilimwambia huko unapokaa itabid uhame maana yupo Arusha ni mbali kidogo na mjin nataka nimpagie nyumba mjin na yy kakubali na kasema ukifanya hivo atafurah na ntakuwa naenda kwake pia ..

Sasa just najiuliza hili wazo limekujaje kichwan ivi inawezekana kweli mtu ukatoa almost 2mil kumpangia mwanamke ambaye sio future yako nyumba kwa lengo tu la kutaka kufanya nae sex?

Huko napo elekea nahis ntafanya hivo nafsi ya kizinifu inaniforce hivo

Hebu tushare experiences km ushawahi kujitoa katika hilo na huku ukirefer una familia ndani inakutegea,

Huwa picha ya huyu mwanamke inaniijia kichwan jins alivyo mzur na alivyo umbika juz tu hapa nmeenda bank nikarudia njian nilitaka kwenda kutoa hizo pesa za kodi but nikamwaza mama watoto wangu na kids wangu nikasema sibora tu nikawanunulia wao vitu nikaongeza upendo kwao

But kuna nguvu kubwa sana ya mvutano baina ya nafsi yangu na napoelekea Mchepuko utashinda kodi naenda kutoa jmn daaa.

Nina akili zangu timamu tu na nahis Man wengi inawatoea hii kitu kutoa pesa na huduma kwajil ya papunch tu na ubaya ni pale unapoifukuzia na ushatoa garama zako nyingi na hujapata kuacha inakuwa ngum maana utakuwa umekula hasara.
Limbwata linakuhusu
 
Inatehemea unakula ya nani, ukiendekeza hizi za mtaani kwa mtogole na buza utakishwa hadi mkojo
Michepuko wengi hutumia ndumba ili aliyenaye ampandishe daraja.......hasa ukute wale umri umeenda, single maza,
 
Nakuhakikishia ushalogwa ww yani mbususu hujapewa unataka umpe milioni mbili usawa huu embu acha huo ujinga haraka mle kimasihara
 
Una madhaifu, huwez zunguka na mwanamke two years hujamla na still unamuwaza na kumgharamia! Huyo ashajua madahaifu yako, ukimlipia nyumba anaweza akakuonjesha kwa mashart sana ila kisha atakuchukia sana na pia na ww itakuuma sana sana hiyo fedha na utakuwa huna la kufanya.

Iko hivi:

Wanawake hawahutaji kugharamiwa fedha nyiingi No watalaam wanasema tunakosea hapo, japo nadhan hutanielewa, hebu nikuulize wale wanaoitwa play boy hana kazi wala hana hela hela zake ni kununua nguo kali, raba kali, basi! Wale jamaa wanakula demu yoyote na demu anaweza lipia penzi hilo, na demu anamgamda hatak amuache.

Kwa nn hawa play boy wasio na hela wanakula mtu yoyote wanaemtaka

1. Wanachukua hatua na huwa wanamuongoza mwanamke sio mwanamke kuwaongoza

2. Confidence (wanajiamin)

3. Wana lugha na miondoko wanayotaka mwanamke (little swaga)

4. They dont invest in women, they invest in themselves (less is more)

5. Wanavaa vizuri (dress up)

6. Wanawake wanataka mwanamme anaetakwa na wanawake (playboy anagonga kila demu, hao hao wanamponda ila ndio hao hao anawala sana). Ukijifanya huna mademu mwanamke anaona kama kaokota mtu ambae wengine hawamtaki.


Nitarudi ukinihitaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Fact kabisa
 
We nae umezubaa sana unalipiaje kodi Mwanamke ambaye hujamuonja. Yani huyo Muite mwambie aje achukue kodi piga mashine kwanza ndio utoe pesa ya kodi. Je ukikuta mashine mbovu alafu ushalipa 2 Ml?
 
Back
Top Bottom