Ushawahi kununua gari Be Forward?

The CIF price of the car to Dar es salaam is $4000, the guy says at Dar es salaam port Taxes will be almost same price as buying price, so totall i will have to prepare about $8000, thats what i was wondering, how come taxes are so high?
there is that TRA calculator, you can forecast based on your car model
 
That is the mode of taxation in TZ. It might even go higher! Quite exorbitant!
Lakini kodi pia inategemea gali limetengenezwa lini (mwaka)...kama jipya, Kodi haiwezi kuwa kubwa khivyo. Ingawa gari jipya ni ghari zaidi.
 
Lakini kodi pia inategemea gali limetengenezwa lini (mwaka)...kama jipya, Kodi haiwezi kuwa kubwa khivyo. Ingawa gari jipya ni ghari zaidi.
Nakubali kabisa, haya ya used nadhani wanayatax sana bila sababu ya msingi hata kama ipo ni too high! huge tax one can declare!
 
Siku nikitaka kununua gari naenda direct kwa wauzaji jamaniii
 
Beforwad ukitaka kununua gari bei chee subiri kipindi cha mwaka mpya na christmas pale gari huwa zinapata punguzo la hadi asilimia 98 fob. Usafiri huwa hauzidi dola 1200 kwa gari ndogo, shida huwa zikifika bongo ushuru ndo balaaa ni kama 4mil kwa gari ndogo. Kama upo dar nenda pale oceanroad kuna ghorofa hivi wanaishi wafanyakazi wa ikulu, chini kuna ofisi zao. Ukifika pale unachagua gari wanakupa gharama zote then unalipia nusu, na nusu utamalizia gari ikifika, wanafanya wao mpaka crealence wewe unaenda kuchukua gari ofisini kwao na kuendelea na ustarabu binafsi
 
Kodi ipo vizuri, ukitaka kulipa kodi halali nunua gari mpya
 
KARIBU PIA NA WENGINE MUAGIZE GARI ZENU KUPITIA SBT JAPAN, Tunarahisisha mchakato hadi kukukabidhi gari mkononi. Week 6 tu gari unakabidhiwa. Gari za uhakika kwa sasa ni SBT. Karibu, ukipenda tafadhari wasiliana nami 0692096669; au Tembelea: www.sbtjapan.com
Chagua gari kisha nipe stock Id yake tukupe bei.
 
Hiyo gari mpk uipate itagharimu milioni kama 20 na kidogo. Halafu hiyo bei kama kubwa sana kwa vitz. Mie nilinunua Harrier usd 3900 mwaka juzi ya 2004
Okey hiyo harrier yako kufikia kuipata ulikuwa umetumia kama Mil ngapi?
 
Asante kwa ushauri chief
 
Kabla hujaagiza gari chagua gari unayoitaka then nenda TRA calculator ingiza hizo details za hio gari utapewa kiasi halisi cha kodi inachobidi ulipe....
NB.
Make sure CIF yako iwe ndogo zaidi ya Ile CIF(custom value) inayosoma kwenye ubao wa TRA calculator, maana CIF yako ikiwa kubwa basi gari ikifika wataipigia kwenye CIF yako ambayo ni the highest
Pia vile TRA wanatumia identical goods custom valuation kwenye magari, so wanapanga CIF kutokana na market value ya hio gari so gari mpya inakua ina CIF kubwa kuliko ya zamani pia ili kodi iwe ndogo nunua gari iliyokua manufactured after 2010
 
Serikali inategemea kodi ipatikane hapo
 
Kwa hio hela ni bora ninunue a more good looking car, kuna gari inaitwa toyota fielder iko underated sijui niseme discouraged na wanunuzi ila its a very good looking car and very economical iko na engine kama ya ist tu. Ni type ya corolla ila body yake ni kama wish, spacio,isis,opa.

Bei yake ipo reasonable sana ukiangalia ya tokea 2009-2013 zinanunulika kwa bei poa na zina looks fiti venye uki compared na huto tu toy twa vitz!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…