Ushawahi kupata mwenza humu JamiiForums?

Kha! Kwa hiyo ile 30k nilikutimia kumbe nimetumia dume lezangu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ngoja nijichungulie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ongeza 70 itimie bhana[emoji2957]
 
Subiri aingie kama ataingia

Yan kama ana vigezo vya kuingia 🀣

Akitemwa atafyata kama ulivyofyata
Usimuonee wivu

Hahaha
Eti cocaaa na we utaingia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’ƒ
Bwahahahahahaa ebu ncheke kwanza mieeee 🀣🀣🀣🀣!! cocastic shougaaangu una vigezo kwanzaaaaa! Yule mtyu wa watyuu wa viwango shossssssss usiwe sura ngumu ka mie hapaaaaa kimbilio la wakosefu AuwiiiiiiiiiiπŸ€—

Dj waletreeeeee πŸ’ƒπŸ’ƒ
 
Subiri aingie kama ataingia

Yan kama ana vigezo vya kuingia [emoji1787]

Akitemwa atafyata kama ulivyofyata
Usimuonee wivu

Hahaha
Eti cocaaa na we utaingia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji126]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kheeeeh kumbe kuingia huko kunatakiwa vigezo? Haya mnijuzee ni vigezo gani hivyoooo???

Mie hata nikitemwa sitaufyataa as if nikiingia lakini,

Kwa JF hapanaaaaa, siwezi ingiaaa. Wa mtaani wanatoshaa eti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…